الموضوع: Corona Virus Na Tangazo La Muujiza Ya Uponyaji Bila Chango Wala Dawa ..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. افتراضي Corona Virus Na Tangazo La Muujiza Ya Uponyaji Bila Chango Wala Dawa ..

    Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’YMani
    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
    24 - ربيع الآخر - 1442 هـ
    09 - 12 - 2020 مـ
    09:01 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )


    [ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=340081

    ____


    Corona Virus Na Tangazo La Muujiza Ya Uponyaji Bila Chango Wala Dawa ..
    فيروس كورونا وإعلان معجزة الشفاء من غير لقاحٍ ولا دواء ..


    Bismillah Al’Rahman Al’Rahim
    Kutoka Kwa Mja Wa Allah Na Khalifa Wake Nasser Muhammad Kwa Watu Wote, Enye binadamu hakika mimi ni Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad sio khalifa wa Allah ju ya Yemen peke; Bali Khalifa wa Allah Ju ya ulimwengu wote, Na Wallahi hakuna tafauti kwangu baina ya myemeni na mchina.


    Na enyi Ma3ashara ya viongozi wa binadamu na watowaji mamuzi katika mataifa yao na kwa kila alio balighi akili yake katika binadamu; Warabu na ma ajami; Mwislamu na kafiri, Sikizeni na mutafakari yale nitakao kuwapa fatwa nayo kwa haki kwa kauli ya uwamuzi wala sio kwa msaha: Natoa Qasam Kwa Allah Al’Wahid Al’Qahar Sijuwi kua muna chanjo na uponyaji kwa yale yalio vifuwani kutokana na adhabu ya Allah mpaka munyenyeke kwa duaa hi bila kiburi ju ya khalifa wa Allah Al’Mahdi Nasser Muhammad, Na maneno ya kuondosha adhabu ya yaliomo ndani ya vifua ni mujiskitishe kwa Allah na munyenyeke kwa Allah kwa yale yatako fwata:


    Rabana Dhalamna Anfusana Ewe Mola Mlezi Wetu Tumejidhulumu Nafsi Zetu Basi ikiwa hutotusamehe na kuturehemu hakika tutakua ni miongoni walio khasirika,” Na baada ya kutubu Basi waseme:” Allahuma Mimi mja wako nakuomba kwa haki ya La ilaha ila anta na kwa haki ya Rahma Yako ambao umeiandika kwa Nafsi Yako na kwa haki Ya Adhim Naim Ridhwan Nafsak “Uwadhimu Wa Neema Ya Kuridhia Nafsi Yako” Ambao Ni kubwa kuliko Neema ya Pepo Yako kwamba uniponye kutokana na Adhabu ya Corona ama iyepushe nami hakika sisi tumwamini mlinganizi wa haki kutoka kwako, Ewe Allah tuondoshe adhabu yako kwa kila mlango ili tufwate njia ya haki kutoka kwako na utukitishe kwa kutimiza yale tulio kuahidi nayo ewe mwenye kugeuza baina mtu na moyo wake, Basi hatuna sisi ispokua Rahma yako ambao umeiandika kwa Nafsi Yako, Basi usipo tusamhe na kutuhurumia hakika tutakua wenye kukhasirika, Allahuma hakika Wewe Umesema Katika ilio wazi maana yake kitabu chako;
    { وَقَالَ رَبُّكُمُ ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ } صدق الله العظيم [غافر: من الآية ٦٠]
    { Na akasema Mola wenu Mlezi niombeni nitawajibuni} Sadaqa Allah Al3adhim [Ghafir:6].
    Basi kwangu duaa na kulekea kwako na kwako ni kunijibu hakiak Wewe hukhalifu Ahdi Yako, Ewe Mola wetu Mlezi Umetukuka Subhanak basi Ahdi yako ni haki na wewe ni Mwingi wa huruma Arhama Arahimin, Ewe Mola wetu Mlezi tukititishe kwa kutimiza utumilifu kwa yale tulio kuahidi nayo kwamba kumfwata mlinganizi wa Allah wa kiulimwengu khalifa wa Allah katika ardhi Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani, Ewe Allah ijalie kutumilizwa kwake ni neema ju yetu wala sio bala ju yetu kwa sababu ya kukanusha ulinganizi wa haki wa Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani”.




    Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani.
    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _____

    ======== اقتباس =========

    اقتباس المشاركة 340081 من موضوع فيروس كورونا وإعلان معجزة الشفاء من غير لقاحٍ ولا دواء ..

    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
    24 - ربيع الآخر - 1442 هـ
    09 - 12 - 2020 مـ
    09:01 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    ________



    فيروس كورونا وإعلان معجزة الشفاء من غير لقاحٍ ولا دواء ..

    بسم الله الرحمن الرحيم
    من عبد الله وخليفته ناصر محمد إلى الناس أجمعين، يا أيّها الناس إنّي الإمام المهديّ ناصرُ محمدٍ لستُ خليفة الله على اليمن فحسب؛ بل خليفة الله على العالم بأسرِه، فوالله لا فرق لديّ بين يمانيّ وصينيّ.

    ويا معشر قادات البشر وصُنّاع القرار في شعوبهم وإلى كل من بلَغ رُشده في البشر؛ العرب والعجم؛ المُسلِم والكافر، اسمعوا واعقلوا ما سوف نفتيكم به بالحقّ بالقول الفصل وما هو بالهزل:
    أقسم بالله الواحد القهار لا أعلم لكم بلقاحٍ وشفاءٍ لِما في الصدور من عذاب الله حتى تتضرَّعوا بهذا الدعاء من غير تَكبُّر على خليفة الله المهديّ ناصرِ محمد، وكلمات كشف عذاب ما في الصدور هي أن تستكينوا إلى الله وتتضرّعوا إلى الله بما يلي:

    "ربّنا ظلمنا أنفسنا فإن لم تغفر لنا وترحمنا لنكوننّ من الخاسرين"، ومن بعد التوبة فليقولوا: " اللهم إنّي عبدك أسألك بحقّ لا إله إلا أنت وبحقّ رحمتك التي كتبت على نفسك وبحقّ عظيم نعيم رضوان نفسك الأكبر من نعيم جنّتك أن تشفيني من عذاب كورونا أو تصرفه عنّي فإنّا مؤمنون بداعي الحقّ من عندك، اللهم اكشف عنّا عذابك من كل بابٍ لنتّبع سبيل الحق من عندك وأن تُثبّتنا على الوفاء بما وعدناك به يا من تحول بين المرء وقلبه، فليس لنا إلا رحمتك التي كتبت على نفسك، فإن لم تغفر لنا وترحمنا لنكوننّ من الخاسرين، اللهم إنّك قلت في محكم كتابك:
    { وَقَالَ رَبُّكُمُ ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ } صدق الله العظيم [غافر: من الآية ٦٠]، فمِنّي الدعاء والإنابة ومنك الاستجابة إنّك لا تُخلف وعدك، ربّنا سبحانك فوعدك الحق وأنت أرحم الراحمين، اللهمّ ثبّتنا على الوفاء بما وعدناك به أن نتّبع داعيَ الله العالميّ خليفة الله في الأرض الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني، اللهم اجعل بَعثهُ نِعمةً علينا لا نقمة علينا بسبب إعراضنا عن دعوة الحق للإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ".

    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _____________
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..


    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 28-05-2021, 09:12 PM
  2. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 21-12-2020, 04:35 AM
  3. Virusi Ya Corona.. Wala Sio Corona Bali Ni Rijzi Yenye Shirika, Mungano Wa Ki Virusi..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 14-07-2020, 10:30 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 22-05-2020, 11:48 AM
  5. Virusi Va Corona Na Bayana Ya Uwamuzi Wala Sio Mchezo ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 22-05-2020, 12:56 AM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •