- 35 -
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
02 - 10 - 1432 هـ
01 - 09 - 2011 مـ
02:37 صباحاً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?14250

ـــــــــــــــــــــ

عاجل من المهديّ المنتظَر إلى كافة الأنصار السابقين الأخيار ..
Hivi Punde Kutoka Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Ma Ansar Wote Walio Tangulia Walio Bira..

Bismillah Al'Wahid Al'Qahar, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah Na Watu Wake Walio Twahirika Vile itakavo Pishana Usiku Na Mchana...

Na enye ma3ashara ya ma ansar? Basi musidai kua nyinyi munampenda Allah zaidi kuliko ma Nabi na Mitume wanavo Mpenda Mola Mlezi Wao! Eee Wallahi lau ange kuweko Al'Mahdi Al'Muntadhar Mwenye Khabari kwa Hali Ya Al'Rahman katika zama zao akawapa fatwa kuhusu Hali ya Mola Mlezi Wao kua Yeye Ana Majuto na Maskitiko ju ya walio potea katika waja wake zaidi kuliko maskitiko yao ju ya Watu; Kwahivo hange omba Nabi ju ya kaumu yake na wange haramisha ma Nabi na Mitume wa Allah wote Bustani ya neema ju ya nafsi zao mpaka Aridhike Mola Mlezi wao Katika Nafsi Yake Awatimizie wao uongofu wa watu wote, Lakini Allah Haku wajulisha Kwa Hali ilio Katika Nafsi Yake Subhanahu Ametakasika Kutoka wa mwanzo wao mpaka khatimu wao babu yangu Muhammad Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
{Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya A'rshi, Arrahman, Mwingi wa Rehema! Uliza khabari zake kwa Mwenye Khabari Yake } Sadaqa Allah Al3adhim [Alfurqaan].
{الّذِي خَلَقَ السّمَاوَاتِ وَالأرض وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتّةِ أَيّامٍ ثُمّ اسْتَوَىَ عَلَى الْعَرْشِ الرّحْمَـَنُ فَاسْأَلْ بِهِ خَبِيراً} صدق الله العظيم [الفرقان:59].

Kwajili ya hivo amesema Muhammad Mtume wa Allah kwenye kuona ndoto ya bishara:
[ Basi Ametwii Muhammad Amri Ya Mola Mlezi Wake. Na Akamuliza Mwenye Khamabri Ya Arrahman Mwingi wa Rehema Kuhusu Hali Ya Arrahman Mwingi wa Rehema Basi Nikasema; Ewe Mpendwa Wangu Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyika Wa Alika Alakhyar Wa Salam Tasliman, Vipi umepata maskitiko yako ju ya waja wa Allah katika moyo wako? Akasema: Ewe Mpendwa wa Allah na Mtume Wake, Hakika Amewapa fatwa Allah kuhusu hali ya mja Wake na Mtume Wake Muhammad katika kauli Yake ya haki:
{Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia. Hakika Mwenyezi Mungu anajua wanayo yafanya} Sadaqa Allah Al3adhim,
Aksema Al'imam Al'Mahdi: Basi je waonaje ewe mpendwa wa Allah na mja Wake kwa uwadhimu wa Maskitiko ya Yule ni Mrehemu kwa watu kuliko Muhammad mja wake na Mtume Wake, Allah Arrhama Arrahimin? Kisha nikajistajabia nafsi yangu na kwa ma Nabi wa Allah wote katika ma jini na watu vipi hatukutafakari kwa Hali ya Allah na tumejua uwadhimu wa maskitiko yetu katika nafsi yetu ju ya waja wake wanao kataa kufwata uwongofu! Kwahivo basi vipi uwadhimu wa Maskitiko kwa Yule Mrehemu kwa waja Wake kuliko waja wake wote? Allah Arrhama Arrahimin.] Imeisha.
[فقد أطاع محمد رسول الله أمر ربَّه. وسأل الخبير بالرحمن عن حال الرحمن فقلت: يا حبيبي محمد رسول الله صلّى الله عليك وآلك الأخيار وسلم تسليماً، كيف وجدتَ تحسرك على عباد الله في قلبك؟ فقال: يا حبيب الله ورسوله، قد أفتاكم الله عن حال عبده ورسوله محمد في قوله الحقّ: { فَلا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَاتٍ } صدق الله العظيم، فقال الإمام المهدي: فما بالك يا حبيب الله وعبده بعظيم حسرة من هو أرحم بالناس من محمدٍ عبده ورسوله، الله أرحم الراحمين؟ ومن ثم تعجبتُ من نفسي ومن أنبياء الله أجمعين في الجنّ والإنس كيف لم نتفكر بحال الله وقد علمنا بعظيم حسرتنا في أنفسنا على عباده المعرضين عن اتّباع الهدى! إذاً فكيف عظيم حسرة من هو أرحم بعباده من عبيده جميعا؟ الله أرحم الراحمين. ] اِنتهى.

Basi kuweni katika wanao shukru basi nyinyi sio zaidi kumpenda Allah kuliko Mitume Wake na Ma Nabi Wake kwa Mola Mlezi wao basi wao hivo hivo mapenzi yao ni zaidi kwa nyoyo zao ni Ya Allah kama nyinyi Munavo Mpenda:
{Lakini walio amini wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana}
Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:165].

{وَالَّذِينَ آمَنُواْ أَشَدُّ حُبّاً لِّلّهِ}
صدق الله العظيم [البقرة:165].

Kwakua hio ni ushuhuda wa imani kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Lakini walio amin i wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana},
{وَالَّذِينَ آمَنُواْ أَشَدُّ حُبّاً لِّلّهِ}،
Na hivo hivo wanajua kua Allah Yeye ni Mrahimu kwa waja Wake kuliko wao ispokua hawakuskitika kwa Maskitiko Ya Allah Arrahama Arrahimini kwakua Allah Haja'wafufunulia kwa Hali Yaliomo Katika Nafsi Yake kutokana Na Maskitiko ju ya walio potea katika waja Wake, Kwajili ya hivo hawa kuharamisha Bustani ya neema mpaka Aridhike pamoja kua wao hawajapenda Bustani ya neema na ma huruleni zaidi kuliko Allah, Hasha Kwa Allah! Bali ni katika wanao taka haraka Radhi Ya Allah zaidi katika watu, Kwajili ya hivo amesema Musa Ju Yake Sala na Salam:
{Na nimefanya haraka kukujia, Mola wangu Mlezi, ili uridhike} Sadaqa Allah Al3adhim
[Twaha:84].
{وَعَجِلْتُ إِلَيْكَ رَبِّ لِتَرْضَى} صدق الله العظيم [طه:84].
Hivi hukuona ewe aba hamza ambae afanya bidi yeye na kundi lake ili afitini ma ansar usiku na mchana na ikawa hila yako matokeo yake ni kinyume sio vile ulikua ukitaka na tunayo ya zaidi katika utawala wa ilimu kwa yale Alio Nifundisha Mola Mlezi wangu Ametakasika ili tukitishe nayo waislamu.

Basi kuweni wenye kushukuru enye ma3ashara ya watu katika zama hizi pindi Amewajalia katika zama za kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Mwenye khabari kwa Hali ya Allah Arrahman Alio Stawi Kwa enzi Kuu Al3rsh Al3adhim Arrhama Mrehemu zaidi kuliko wenye rehema Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu basi mumabudu Yeye hi ni njia ilio nyoka, Na wala isi'washughulishe maskitiko yenu ju ya watu kutokana na kutafakari kwa Maskitiko Ya Yule Ni Mrahimu kwa waja Wake kuliko nyinyi Allah Mwenye Huruma kuliko wenye huruma, Ispokua Amefanya Allah maskitiko katika nyoyo za ma Nabi Wake ili wajuwe kiasi gani Maskitiko ya Yule Ambae Yeye Mwenye Huruma kwa waja wake kuliko ma Nabi Wake na Mitume Wake Allah Arrhama Arrahimin,

Basi siri ya Maskitiko Ya Arrahman Kwenye Nafsi Yake imeghibu kwao kwa sababu kua ime'washughulisha maskitiko yao ju ya waja kuto Tafakari kwa Maskitiko ya ambae Yeye ni Mrahimu zaidi kuliko wao, Na lau wangeli jitahidi kwa ulinganizi kwa Allah kwa kujua kutoka Kwa Mola Mlezi wao Ange Ongoa watu wote wala sio kuskitika ju yao basi kwahivo wange faulu Mitume kutimiza ipatikane uongofu wa watu, Basi haikumsaidia maskitiko babu yangu Muhammad Mtume wa Allah ju ya waja wa Allah kwajili ya hivo Alimkemea Allah Nabi Wake Akasema Allah Kumwambia Nabi Wake:
{Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu. Basi usiwe miongoni mwa majahili} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam:35],
{وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَى فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْجَاهِلِينَ} صدق الله العظيم
[الأنعام:35]،

Kwa kua yeye ataka kutoka kwa Allah ampe ishara za miujiza kubwa ili itimu kupatikane uwongofu wao kwakua yeye imekua nyingi kwa nafsi yake maskitiko na huzuni kwa sababu ya kukataa kwao, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
{Tunajua ya kwamba yanakuhuzunisha wanayo yasema. Basi hakika wao hawakukanushi wewe, lakini hao madhaalimu wanazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu (33) Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo wafikia nusura yetu. Na hapana wa kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu. Na bila ya shaka zimekujia baadhi ya khabari za Mitume hao (34) Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini kwa chini ya ardhi, au ngazi kwendea mbinguni ili uwaletee Ishara -- Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu. Basi usiwe miongoni mwa majahili (35)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].
{قَدْ نَعْلَمُ إِنَّهُ لَيَحْزُنُكَ الَّذِي يَقُولُونَ فَإِنَّهُمْ لَا يُكَذِّبُونَكَ وَلَـٰكِنَّ الظَّالِمِينَ بِآيَاتِ اللَّـهِ يَجْحَدُونَ ﴿٣٣﴾ وَلَقَدْ كُذِّبَتْ رُ‌سُلٌ مِّن قَبْلِكَ فَصَبَرُ‌وا عَلَىٰ مَا كُذِّبُوا وَأُوذُوا حَتَّىٰ أَتَاهُمْ نَصْرُ‌نَا وَلَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِ اللَّـهِ وَلَقَدْ جَاءَكَ مِن نَّبَإِ الْمرسلين ﴿٣٤﴾ وَإِن كَانَ كَبُرَ‌ عَلَيْكَ إِعْرَ‌اضُهُمْ فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أنْ تَبْتَغِيَ نَفَقًا فِي الأرض أَوْ سُلَّمًا فِي السَّمَاءِ فَتَأْتِيَهُم بِآيَةٍ وَلَوْ شَاءَ اللَّـهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَىٰ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَالْجَاهِلِينَ ﴿٣٥﴾} صدق الله العظيم [الأنعام].

Na Akasema Allah Ta3ala:
{{Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia. Hakika Mwenyezi Mungu anajua wanayo yafanya(8)} Sadaqa Allah Al3adhim [Fatir].
{فَلَا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَ‌اتٍ إنَّ اللَّـهَ عَلِيمٌ بِمَا يَصْنَعُونَ ﴿٨﴾} صدق الله العظيم [فاطر].

Basi Hatowaongoa Allah wote kwa sababu ya uwadhimu wa maskitiko yenu na huzuni yenu; Bali mutafakari kwenye Maskitiko na Huzuni Ya Yule Ni Mrahimu kwa waja wake kuliko nyinyi Allah Marahimu zaidi ya wenye huruma Arrhama Arrahimin, Na mujitahidi kwa ulinganizi kwa Allah kwa kusudio la kuondosha Maskitiko na Huzuni Kwenye Nafsi Ya Allah Mrahimu kuliko nyinyi kwa waja wake kisha Atawaongoza Allah kwajili yenu ili Atimize kupatikane lengo lenu Aridhike, Na kwajili ya hivo Amewaumba, Na katika hayo siri ya kufaulu ulinganizi wa Al'Mahdi Al'Muntadhar ambae Atafanya Allah watu kwa sababu yake umma moja bila kukhitilifiana, Ispo kua Ameongoza Allah watu kwajili yake Kumhurumia yeye kwakua maskitiko yake na huzuni yake sio kwajili ya watu; Bali maskitiko yangu na huzuni yangu kuondoka kwa Neema yangu katika Nafsi Ya Allah Mola Mlezi Wangu, Basi sitoridhika mpaka aridhike kwakua mimi nabudu Radhi ya Allah kama lengo wala sio njia ili ipatikane Bustani yake na kwajili ya hivo Amewaumbeni. Akasema Allah Ta3ala:
{Na Mola wako Mlezi angeli penda ange wafanya watu wote wakawa umma mmoja. Lakini hawaachi kukhitalifiana (118) Isipo kuwa yule ambao Mola wako Mlezi amemrehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud:118:119].
{وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النَّاسَ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ﴿١١٨﴾ إِلَّا مَن رَّحِمَ رَبُّكَ وَلِذَٰلِكَ خَلَقَهُمْ} صدق الله العظيم [هود:118-119].


Na tuje kwa Bayana ya haki katika Kauli ya Allah Ta3ala:
{Na Mola wako Mlezi angeli penda ange wafanya watu wote wakawa umma mmoja}
{وَلَوْ شَاءَ ربّك لَجَعَلَ النّاس أُمَّةً وَاحِدَةً}

Na mutakuta Bayana Kwenye Kauli ya Allah Ta3ala:
{Angeli taka Mola wako Mlezi wangeli amini wote waliomo katika ardhi. Je, wewe utawalazimisha watu kwa nguvu mpaka wawe Waumini?} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus:99].
{وَلَوْ شَاء ربّك لأمَنَ مَنْ فِي الأرض كُلُّهُمْ جَمِيعاً أَفَأنت تُكْرِهُ النّاس حَتَّى يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ} صدق الله العظيم [يونس:99].

Na tuje kwa Bayana ya Kauli Allah Ta3ala:
{وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ﴿١١٨﴾}
{Lakini hawaachi kukhitalifiana (118)} Sadaqa Allah Al3adhim,
Na Anakusudia katika zama za Ma Nabi Na Mitune haikutimu kuongoka waliomo katika dunia wote, Basi hawa kuwafanya umma moja katika njia ilio nyoka, Kusdikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu} Sadaqa Allah Al3adhim [Anahli:36].
{وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كلّ أُمَّةٍ رَسُولًا أَن اُعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ فَمِنْهُمْ مَنْ هَدَى اللَّهُ وَمِنْهُمْ مَنْ حَقَّتْ عَلَيْهِ الضَّلالَةُ}
صدق الله العظيم [النحل:36].
Na kisha tuje kwa Bayana Ya Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Isipo kuwa yule ambao Mola wako Mlezi amemrehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba} Sadaqa Allah Al3adhim,
{إِلا مَنْ رَحِمَ ربّك وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ}
صدق الله العظيم،
Basi huyo ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Amembagua Allah katika zama zake ili Amalize khitilafu katika zama zake ndio Aongoe nae umma wote awafanye umma moja ju ya njia ilio nyoka, Mpaka itimie lengo la Al'Imam Al'Mahdi na ma ansar wake kwakua wao wamechukua Radhi ya Allah ni lengo wala sio njia
{na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba} Sadaqa Allah Al3adhim.
{وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ} صدق الله العظيم.

Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulullah Rabil3alamin..
Ndugu Yenu Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Ya Kudhihiri: Mwenye Khabari Ya Arrahman Ambae Amewajulisha Yale Ambao Hamukua Mukiyajua: Abdulnaim Alaadham Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani.
عبد النّعيم الأعظم الإمام ناصر محمد اليماني.
____________

اقتباس المشاركة 110818 من موضوع السبب الحقيقي للإشراك بالله وسرّ الشفاعة ..

- 35 -
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=21033

الإمام ناصر محمد اليماني
02 - 10 - 1432 هـ
01 - 09 - 2011 مـ
02:37 صباحاً
ـــــــــــــــــــــ


عاجل من المهديّ المنتظَر إلى كافة الأنصار السابقين الأخيار ..

بسم الله الواحد القهار، والصلاة والسلام على جدّي محمد رسول الله وآله الأطهار ما تعاقب الليل والنهار..
ويا معشر الأنصار، فلا تزعموا أنّكم تحبّون الله أكثر من حبّ الأنبياء والمرسلين لربّهم! ألا والله لو وُجِدَ المهديّ المنتظَر الخبير بحال الرحمن في عصرهم وأفتاهم عن حال ربّهم أنّه متحسرٌ وحزينٌ على الضالين من عباده أعظم من حسرتهم على الناس؛ إذاً لما دعا نبيٌّ على قومه ولحرَّم جميع أنبياء الله ورسله جنّة النّعيم على أنفسهم حتى يرضى ربّهم في نفسه ويحقق لهم هدى النّاس جميعاً، ولكنّ الله لم يُحِطْهم بحال ما في نفسه سبحانه من أوّلهم إلى خاتمهم جدّي محمد رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلم، ولذلك قال الله تعالى:
{‏الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ الرَّحْمَٰنُ فَاسْأَلْ بِهِ خَبِيرًا ‎﴿٥٩﴾‏} صدق الله العظيم [الفرقان:59].

ولذلك قال محمدٌ رسول الله في رؤيا البشرى:
[فقد أطاع محمد رسول الله أمر ربَّه. وسأل الخبير بالرحمن عن حال الرحمن فقلت: يا حبيبي محمد رسول الله صلّى الله عليك وآلك الأخيار وسلم تسليماً، كيف وجدتَ تحسرك على عباد الله في قلبك؟ فقال: يا حبيب الله ورسوله، قد أفتاكم الله عن حال عبده ورسوله محمد في قوله الحقّ: {فَلا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَاتٍ} صدق الله العظيم، فقال الإمام المهدي: فما بالك يا حبيب الله وعبده بعظيم حسرة من هو أرحم بالناس من محمدٍ عبده ورسوله، الله أرحم الراحمين؟ ومن ثم تعجبتُ من نفسي ومن أنبياء الله أجمعين في الجنّ والإنس كيف لم نتفكر بحال الله وقد علمنا بعظيم حسرتنا في أنفسنا على عباده المعرضين عن اتّباع الهدى! إذاً فكيف عظيم حسرة من هو أرحم بعباده من عبيده جميعاً؟ الله أرحم الراحمين. ] اِنتهى.

فكونوا من الشاكرين فلستُم بأشدّ حبّاً لله أكثر من حبّ رسله وأنبيائه لربّهم فهم كذلك أشدّ حبّاً في قلوبهم هو لله كما تحبّونه:
{وَالَّذِينَ آمَنُوا أَشَدُّ حُبًّا لِّلَّهِ} صدق الله العظيم [البقرة:165].

كون ذلك هو برهان الإيمان تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَالَّذِينَ آمَنُوا أَشَدُّ حُبًّا لِّلَّهِ}، وكذلك يعلمون أنّ الله أرحم بعباده منهم وإنّما لم يتحسّروا من حسرة الله أرحم الراحمين كون الله لم يُحِطهم بحال ما في نفسه من الحسرة على الضالين من عباده، ولذلك لم يحرِّموا جنّة النّعيم حتى يرضى برغم أنّهم لم يحبّوا جنّة النّعيم والحور العين أكثر من الله، حاشا لله؛ بل من أعجل النّاس إلى نعيم رضاه، ولذلك قال موسى عليه الصلاة والسلام: {وَعَجِلْتُ إِلَيْكَ رَبِّ لِتَرْضَى} صدق الله العظيم [طه:84].

ألم ترَ يا أبا حمزة الذي يسعى وزمرته لفتنة الأنصار الليل والنهار أنّ مكرك أصبحت نتيجته عكسيّة غير ما كنت تريد ولدينا مزيدٌ من بسطة العلم مما علّمني ربي سبحانه لنُثَبِّت به المؤمنين.

فكونوا من الشاكرين يا معشر البشر في هذا العصر إذ جعلكم في زمن بعث المهديّ المنتظَر الخبير بحال الله الرحمن المستوي على العرش العظيم الله أرحم الراحمين ربي وربكم فاعبدوه هذا صراط مستقيم، ولا تُلهِكم حسرتكم على النّاس عن التفكّر بحسرة من هو أرحم بعباده منكم الله أرحم الراحمين. وإنّما جعل الله الحسرة في قلوب أنبيائه حتى يعلموا بمدى حسرة من هو أرحم بعباده من أنبيائه ورسله، الله أرحم الراحمين.

فَسِرُّ تحسّر الرحمن في نفسه غاب عنهم بسبب أنّه قد ألهتهُم حسرتهم على العباد عن التفكّر في حسرة من هو أرحم منهم بعباده الله أرحم الراحمين، ولو ناضلوا بالدعوة إلى الله على بصيرةٍ من ربّهم لهدى الناس وليس حسرةً عليهم إذا لنجح المرسلون بتحقيق هدى الناس أجمعين. فما أغنى تحسر جدّي محمد رسول الله على عباد الله ولذلك عاتب الله نبيه وقال الله مخاطباً نبيه: {وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَى فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْجَاهِلِينَ} صدق الله العظيم [الأنعام:35]، كونه كان يريد من الله أن يمدّه بآيات المعجزات الكبرى حتى يتحقّق هداهم كونه كَبُر على نفسه الحسرة والحزن بسبب إعراضهم، ولذلك قال الله تعالى: {قَدْ نَعْلَمُ إِنَّهُ لَيَحْزُنُكَ الَّذِي يَقُولُونَ ۖ فَإِنَّهُمْ لَا يُكَذِّبُونَكَ وَلَٰكِنَّ الظَّالِمِينَ بِآيَاتِ اللَّهِ يَجْحَدُونَ ‎﴿٣٣﴾‏ وَلَقَدْ كُذِّبَتْ رُسُلٌ مِّن قَبْلِكَ فَصَبَرُوا عَلَىٰ مَا كُذِّبُوا وَأُوذُوا حَتَّىٰ أَتَاهُمْ نَصْرُنَا ۚ وَلَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِ اللَّهِ ۚ وَلَقَدْ جَاءَكَ مِن نَّبَإِ الْمُرْسَلِينَ ‎﴿٣٤﴾‏ وَإِن كَانَ كَبُرَ عَلَيْكَ إِعْرَاضُهُمْ فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَن تَبْتَغِيَ نَفَقًا فِي الْأَرْضِ أَوْ سُلَّمًا فِي السَّمَاءِ فَتَأْتِيَهُم بِآيَةٍ ۚ وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَىٰ ۚ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْجَاهِلِينَ ‎﴿٣٥﴾} صدق الله العظيم [الأنعام].

وقال الله تعالى:
{فَلَا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَ‌اتٍ إنَّ اللَّـهَ عَلِيمٌ بِمَا يَصْنَعُونَ ﴿٨﴾} صدق الله العظيم [فاطر].

فلن يهديهم الله جميعاً بسبب عظيم حسرتكم وحزنكم؛ بل تفكّروا في حسرة وحزن من هو أرحم بعباده منكم الله أرحم الراحمين، وناضِلوا بالدعوة إلى الله بقصد أن تُذهِبوا الحسرة والحزن من نفس الله أرحم منكم بعباده ثم يهديهم الله من أجلكم ليحقق غايتكم فيرضى، ولذلك خلقكم، وفي ذلك سرّ نجاح دعوة المهديّ المنتظَر الذي سيجعل الله النّاس بسببه أمّةً واحدةً من غير اختلاف، وإنّما هدى الله النّاس من أجله رحمة به كونه ليس حزيناً ومتحسراً على الناس؛ بل حسرتي وحزني ذهاب نعيمي من نفس ربي، فلن أرضى حتى يرضى كوني أعبد رضوان الله كغاية وليس وسيلة لتحقيق جنّته ولذلك خلقكم. وقال الله تعالى:
{وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النَّاسَ أُمَّةً وَاحِدَةً ۖ وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ‎﴿١١٨﴾‏ إِلَّا مَن رَّحِمَ رَبُّكَ ۚ وَلِذَٰلِكَ خَلَقَهُمْ} صدق الله العظيم [هود:118-119].

ونأتي إلى البيان الحقّ لقول الله تعالى:
{وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النَّاسَ أُمَّةً وَاحِدَةً} وتجدون البيان في قول الله تعالى: {وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَآمَنَ مَن فِي الْأَرْضِ كُلُّهُمْ جَمِيعًا ۚ أَفَأَنتَ تُكْرِهُ النَّاسَ حَتَّىٰ يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ} صدق الله العظيم [يونس:99].

ونأتي لبيان قول الله تعالى:
{وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ﴿١١٨﴾} صدق الله العظيم، ويقصد في عصر بعث الأنبياء والمرسلين لم يتحقّق هُدى مَن في الأرض جميعاً، فلم يجعلونهم أمّةً واحدةً على صراطٍ مستقيم، تصديقاً لقول الله تعالى: {وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ ۖ فَمِنْهُم مَّنْ هَدَى اللَّهُ وَمِنْهُم مَّنْ حَقَّتْ عَلَيْهِ الضَّلَالَةُ} صدق الله العظيم [النحل:36].

ومن ثم نأتي لبيان قول الله تعالى:
{إِلَّا مَن رَّحِمَ رَبُّكَ ۚ وَلِذَٰلِكَ خَلَقَهُمْ} صدق الله العظيم، فذلك هو المهديّ المنتظَر الذي استثنى اللهُ في عصره ليُنهي الاختلاف في عصره فيهدي به الأمّة كلها فيجعلهم أمّةً واحدةً على صراطٍ مستقيم، حتى يتحقّق هدف الإمام المهديّ وأنصاره كونهم اتّخذوا رضوان الله غايةً وليس وسيلةً {وَلِذَٰلِكَ خَلَقَهُمْ} صدق الله العظيم.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم المهديّ المنتظَر في عصر الحوار من قبل الظهور؛ الخبير بحال الرحمن الذي علَّمكم بما لم تكونوا تعلمون؛ عبد النّعيم الأعظم الإمام ناصر محمد اليماني.
________________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..