Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
18 - ذو الحجة - 1435 هـ
13 - 09 - 2014 مـ
03:29 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=158533

ـــــــــــــــــــ

عـــــــــــــــــاجل وهام
Hivi Punde Na Muhimu


رد الإمام المهديّ على السائلين في دين الله الرحمة للعالمين ..
Amerudisha Al'Imam Al'Mahdi Ju Ya Waulizaji Katika Dini Ya Allah Huruma Kwa Walimwengu ..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Salam Ju Ya Wote Ma Nabi Wa Allah Na Mitume Wake Kutoka Wakwanza Wao Mpa Wamwisho Wao Muhammad Mtume Wa Allah Na Wote Waumini Na Nasalimu Salamu, Ama Baada Ya Hapo ..

Haitakiwi iwe kuna mngongano kwenye Kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim kwajili Allah Amefahamisha katika Muhakam ilio wazi maana yake kitabu chake kwamba Yeye Haja'amuru Mitume walazimishe watu kuamini ispokua ju yao ni kufikisha na ju Ya Allah ni hisabu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَقَالَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا لَوْ شَاءَ اللَّهُ مَا عَبَدْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ نَّحْنُ وَلَا آبَاؤُنَا وَلَا حَرَّمْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ ۚ كَذَٰلِكَ فَعَلَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)} صدق الله العظيم [النحل].

Allah Ta3ala Asema:
{ Na washirikina wanasema: Mwenyezi Mungu angeli taka tusingeli abudu chochote badala yake, sisi wala baba zetu, wala tusingeli harimisha chochote bila ya Yeye. Kama hivyo walifanya walio kuwa kabla yao. Basi lipo lolote juu ya Mitume isipo kuwa kubalighisha kwa uwazi (35)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahl].

Lakini Allah Ame'Wamuru Mitume kwamba walazimishe watu baada ya kupata madaraka kumakinika kwamba wajisalimu kwa sharia Za Allah Ambazo zinakataza kudulumu Binadamu ju ya nduguyake Binadamu kwakua kusmamisha mipaka Ya Allah Ni lazima ju ya Mwislamu na kafiri wote kiwango kimoja sawa, Na hivo hivo zaka ni lazima ju ya mwislamu na kafiri wote kwa kiwango kimoja, Ispokua inaitwa zaka kwa mwislamu na jizya ju ya kafiri na zinakusanywa katika beitul'mal nyumba ya hazina ya mali na kwa kafiri haki ndani yake kama vile mwislamu ana haki katika mambo ya kusaidia uchumi wao na miradi na sadaka.

Na kwa hali zote, Wakati Alipo Mpa madaraka Allah Nabi Wake Suleiman katika Ardhi imekua ju yake amri ya lazima kwamba amuru mema na akataze maovu, Na akamwita Malkia wa Sabaa na kaumu yake kwamba waje ilhali waislamu kwa yale Alio Teremsha Allah, Alafu awabainishie wao sharia Alizo Teremsha Allah awalinganie wao kumwamini Al'Rahman Mwingi Wa Huruma kwa yule atakae miongoni mwao Kua katika njia ilio nyoka, Na Haja'mwamuru Allah Kwamba awalazimishe ju ya iman kuamini bali ju uwislamu nayo ni kujisalimu kwa sharia Alizo Ziteremsha Allah, Kwakua Nabi Wa Allah Suleiman ni miongoni mwa wale Allah Amewapa madaraka Katika Ardhi na imewajibika ju yake amuru mema na akataze maovu ili aondoshe dhulma ya Binadamu ju ya nduguyake Binadamu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{الَّذِينَ إِنْ مَكَّنَّاهُمْ فِي الأَرْضِ أَقَامُوا الصَّلاةَ وَآتَوُا الزَّكَاةَ وَأَمَرُوا بِالْمَعْرُوفِ وَنَهَوْا عَنِ الْمُنْكَرِ وَلِلَّهِ عَاقِبَةُ الأُمُورِ} صدق الله العظيم [الحج:41].
Alah Ta3ala Asema:
{ Wale ambao tukiwapa madaraka katika nchi husimamisha Sala, na wakatoa Zaka, na wakaamrisha mema, na wakakataza mabaya. Na kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo ya mambo yote (41)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alhaj].

Na Uwislamu ni kujisalimu iwe sawa ajisalimu kwa jili ya Allah kabisa kwa Mola Mlezi wake ama ajisalimu kwa khalifa wake kwa kutabikisha mipaka sharia Za Allah ambazo ni za lazima na kulipa jizya, Mfano wa wale mabeduwi wale ambao wamekataa ulinganizi wa Nabi kwa kumwabudu Allah Pekeyake Hana mshirika na Yeye na hivo hivo wamekataa kulipa jizya kwa Nabi na kujisalimisha kwa sharia Alizo Ziteremsha Allah na wakachagua vita dhidi ya waislamu. Kwajili Ya Hivo Amesema Allah Ta3ala:
{قُل لِّلْمُخَلَّفِينَ مِنَ الْأَعْرَابِ سَتُدْعَوْنَ إِلَىٰ قَوْمٍ أُولِي بَأْسٍ شَدِيدٍ تُقَاتِلُونَهُمْ أَوْ يُسْلِمُونَ ۖ فَإِن تُطِيعُوا يُؤْتِكُمُ اللَّهُ أَجْرًا حَسَنًا ۖ وَإِن تَتَوَلَّوْا كَمَا تَوَلَّيْتُم مِّن قَبْلُ يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًا (16)} صدق الله العظيم [الفتح].
Allah Ta3ala Asema:
{ Waambie walio achwa nyuma katika mabedui: Mtakuja itwa kwenda pigana na watu wakali kwa vita, mpigane nao au wasalimu amri. Basi mkimt'ii, Mwenyezi Mungu atakupeni ujira mzuri. Na mkigeuka kama mlivyo geuka kwanza, atakuadhibuni kwa adhabu iliyo chungu (16)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alfath].
Kwajili wakati ule alikua ame'anza Nabi kutangaza jihad ili kusmaish Sharia Za Allah katika kisiwa cha kiarabu na Akatumana kwa ma taifa ma kuu.

Na kwa hali zote Basi nini Anacho Kusudia Allah Kwenye Kauli Yake Ta3ala:
{تُقَاتِلُونَهُمْ أَوْ يُسْلِمُونَ}؟
{ mpigane nao au wasalimu amri}?
Na je Anakusudia kuwalazimisha kuamini? Na tunasema bali awalazimishe kujisalimu kwa sharia Alizo Ziteremsha katika Muhakam ilio wazi maana yake kwenye kitabu chake, Akasema Allah Ta3ala:
{الأَعْرَابُ أَشَدُّ كُفْرًا وَنِفَاقًا وَأَجْدَرُ أَلاَّ يَعْلَمُوا حُدُودَ مَا أَنْزَلَ اللَّهُ عَلَى رَسُولِهِ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم [التوبة:97].
Allah Ta3ala Asema:
{ Mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu juu ya Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima } Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:97],
Kwakua Mipaka ya Allah hayana khiyari kwao ndani yake; Bali Amefaridhisha Allah kuitabikisha ju ya wafisidifu miongoni mwao.

Eeee Hakika ya uwislamu unagawanyika katika sehemu mbili Mwislamu kwa Mola Mlezi Wake na Mwislamu kwa Mipaka Alio Yateremsha Allah, Yani Ajisalimu kwa Mwenye madaraka kwa kulipa jizya na kukubali kutabikisha mipaka Alio'yateremsha Allah.

Na ewe mulizaji wa ki daishi, Ju yako yatakiwa ujuwe kwamba uwislamu ambao anao ukusudia Nabi Wa Allah Suleiman hakusudi nayo kwamba awalazimishe wao kuamini; Bali anawalingania kutabikisha mipaka Alio Yateremsha Allah basi wajisalimu kwa Khalifa Wa Allah Suleiman Ju Yake Sala Na Salam, Na Kwajili Ya Hivo Amesema:

{أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ﴿٣١﴾} [النمل].

{Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri (31)} [Alnaml],

Na hivo kwajili mpaka wajuwe Dini Ya Allah Ya Uwadilifu Ya Mola Mlezi Ya Kiungu Na ikingia imani kwa Nyoyo Zao Ndio Wamwamini Mola Mlezi Wao kabisa ndani ya Nyoyo zao wala sio kwa kulazimisha.

Na ewe Mulizaji wa kidaishi, Ju yako yatakiwa ujuwe kwamba Al'Quran Ndani yake iko ambao ni muhakam iko wazi maana yake na ilio fanana maana yake na inagawanyika ambao ni muhakam iko wazi maana yake kwa ma Aya ambazo za kubainisha ma Aya zilio fanana maana yake, Basi musifwate zilio fanana maana yake Al'Quran ndio iwapoteze kutoka kwa Njia Ya Allah Dhahiri ya ilio fanana, Kwakua yule ambae ndani ya moyo wake kuna zaigh ukanushi kutokana na haki anachukua moja katika Aya ilio fanana ndio aifwate na ajifunge nayo pamoja ya kwamba ajua kwa yakini kuwa ile Aya imekhalifu katika dhahiri yake ma aya zote za kitabu ambazo ni muhakamat iko wazi maana yake na ambazo ziko baini basi azikanushe nazo kama kwamba yeye hajaziskia basi ndio ajifunge na zilio fanana maana yake ambazo bado zinahitaji kutafsiriwa na Bayana kutoka kwa walio zama katika ilimu ya Kitabu. Kwajilo Ya hivo Amisema Allah Ta3ala:
{هُوَ الَّذِي أَنْزَلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ مِنْهُ آيَاتٌ مُحْكَمَاتٌ هُنَّ أُمُّ الْكِتَابِ وَأُخَرُ مُتَشَابِهَاتٌ فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُ إِلَّا اللَّهُ وَالرَّاسِخُونَ فِي الْعِلْمِ يَقُولُونَ آمَنَّا بِهِ كُلٌّ مِنْ عِنْدِ رَبِّنَا وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُوْلُوا الأَلْبَابِ} صدق الله العظيم [آل عمران:7].

Allah Ta3ala Asema:
{ Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili } Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran].


Na kwavile zilio fanana inao tafsiri sio dhahiri yake kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
{فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ}،
{ Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake},
Lakini walio na msingi mdhbuti katika ilimu wanaleta maana yake na ufafanuzi wake kutoka kwa muhaka ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim bila migongano yoyote na hio ndio tafauti baina ya wanazuoni wa waislamu na Al'Imam Al'Mahdi, Kwakua kila poti linashikilia kwa ma Aya katika kitabu ambazo ni mifano na zingine muhakama ziko wazi maana yake na kila moja wao anachukua kwake dalili na anajahidi nayao jihadi kubwa, Na mwengine anamletea dalili ingine ya kukanusha kutoka kwa Al'Quran basi amjahidi nayo jihadi kuu, Basi huyu hakumkinaisha huyu wala huyu hakumkinaisha huyu! Na kila moja wao amejifunga na dalili kutoka kwa Al'Quran kama kwamba wao wanamini kwa baadhi ya kitabu na wanakufuru kwa baadhi.

Na kama mfano wa mulizaji wa kidaishi anatuletea dalili ya kauli ya Nabi Wa Allah Suleiman kwa Malikia Sab'a Na Kwa kaumu yake:
{أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ﴿٣١﴾}،
{ Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri (31)},
Basi akadhani kwamba ni kulazimisha katika Kuamini! Hivi hujuwi jina la kuitwa mwislamu inawekwa ju ya mwislamu kwa Allah na kafiri ambae amejisalimisha kwa mipaka Alio Yateremsha Allah? Na Akasema Allah Ta3ala:
{قَالَتِ الْأَعْرَابُ آمَنَّا قُل لَّمْ تُؤْمِنُوا وَلَكِن قُولُوا أَسْلَمْنَا وَلَمَّا يَدْخُلِ الْإِيمَانُ فِي قُلُوبِكُمْ وَإِن تُطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ لَا يَلِتْكُم مِّنْ أَعْمَالِكُمْ شَيْئاً إِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ (14)} صدق الله العظيم [الحجرات].

Allah Ta3ala Asema:
{ Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu(14)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alhujurat].

Kwakua haibandikwi jina la iman ispokuwa kwa waumini kwa Mola Mlezi Wao Kwa kutaka wala sio kwa kulazimisha, Na Ama uwislamu basi wanaitwa waislamu kwa Mola Mlezi Wao na Waislamu kwa mtawala kwa kukubali kulipa jizya na kukubali kutabikisha mipaka Alio Yateremsha Allah, Eee Hakika ya mipaka ni hukmu inatimu kutabikisha kwake ili izuwie kumdhulumu binadamu ju ya ndugu yake binadamu.
Mafno hadi ya ku'uwa ju ya alio uwa kwa dhulma, Na hadi ya alio iba mali ya ndugu yake Binadamu, Na hadi ya yule anae mfanyia uwaduwi ju irdhi ya ndugu yake Binadamu, Na kutabikisha mipaka kwa jumla ju ya wafisidifu katika Ardhi ili kuwakataza kudhulumu watu.

Na ewe mulizaji wa kidaishi, Hakika Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Amemfanya Allah kwa watu imamu na wala hawakuniteuwa walioko na mimi na wala haitakiwi kwao; Bali Allah ndio Anateua ma imamu wa kitabu basi anawazidishia ukunjufu zaidi katika ilimu ju ya wanazuoni wa umma wao wote Akawafanya wenye msingi madhbuti katika ilimu ya kitabu, Na tunaamini kwa mifano yake, Na tunaifafanua ufafanuzi mkubwa, Na tunajifunga kwa muhakam yake ilio wazi maana yake, Na yote ni kutoka Kwa Mola Mlezi Wetu, Na wala hatuamini kwa baadhi ya kitabu na tunakufuru kwa baadhi, Na Akasema Allah Ta3ala:
{أَفَتُؤْمِنُونَ بِبَعْضِ الْكِتَابِ وَتَكْفُرُونَ بِبَعْضٍ فَمَا جَزَاءُ مَنْ يَفْعَلُ ذَلِكَ مِنْكُمْ إِلَّا خِزْيٌ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يُرَدُّونَ إِلَى أَشَدِّ الْعَذَابِ وَمَا اللَّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:85].

Allah Ta3ala Asema:
{ Je! Mnaamini baadhi ya Kitabu na mnakataa baadhi yake? Basi hana malipo mwenye kutenda hayo miongoni mwenu ila hizaya katika maisha ya duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali kabisa. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na yale mnayo yatenda } Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:85].
Na Ewe Mulizaji Wa Kidaishi, Je wamini Kauli Ya Allah Ta3ala: {
{وَقَالَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا لَوْ شَاءَ اللَّهُ مَا عَبَدْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ نَّحْنُ وَلَا آبَاؤُنَا وَلَا حَرَّمْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ ۚ كَذَٰلِكَ فَعَلَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)}
صدق الله العظيم
[النحل]
Allah Ta3ala Asema:
{ Na washirikina wanasema: Mwenyezi Mungu angeli taka tusingeli abudu chochote badala yake, sisi wala baba zetu, wala tusingeli harimisha chochote bila ya Yeye. Kama hivyo walifanya walio kuwa kabla yao. Basi lipo lolote juu ya Mitume isipo kuwa kubalighisha kwa uwazi(35)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahl]? Je Hio si ni fatwa kutoka Kwa Allah kwa ma Nabi Wote na Mitume kwamba hakuna kitu ju yao ispokua ni kubalighisha kwa ulinganizi kwa waja wa Allah Peke Yake Hana Mshirika Nae na Kwamba Allah Hakuwamuru walazimishe watu ili wawe waumini? Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ قَدْ تَبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنْ الغَيِّ فَمَنْ يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِنْ بِاللَّهِ فَقَدْ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَى لَا انفِصَامَ لَهَا وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ(256)} صدق الله العظيم [البقرة].

Allah Ta3ala Asema:
{ Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua (256)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].

Basi hi ni namus ya Kiungu Mola Mlezi Wa Walimwengu wote Wameitabikisha Mitume Wote Na wala hawakulazimisha watu wamwamini Al'Rahmani Mwingi Wa Huruma. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ} صدق الله العظيم.
{ Basi lipo lolote juu ya Mitume isipo kuwa kubalighisha kwa uwazi } Sadaqa Allah Al3adhim.
Kwakua Kumwamini Al'Rahman Mwingi Wa Huruma Ameifanya Allah Ni Jambo la khiyari baina ya waja, Basi sio haki kwa mja amfanyie hisabu mja kwa kumwamini Mwingi Wa Huruma kwajili hio inamhusu hisabu yake Allah Pekeyake Hana Mshirika Nae Na Akafanya Janna kwa anae Shukuru na moto kwa anae kufuru. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَإِنْ مَا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ}
صدق الله العظيم
[الرعد:40].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na ikiwa tukikuonyesha baadhi ya tuliyo waahidi au tukakufisha kabla yake, juu yako wewe ni kufikisha ujumbe na juu yetu ni hisabu } Sadaqa Allah Al3adhim [Alraad:40].
Kwakua na istikama Kwa Mola Mlezi ni khiyari baina ya waja. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَجِيمٍ (25) فَأَيْنَ تَذْهَبُونَ (26) إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ (27) لِمَن شَاء مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ (28) وَمَا تَشَاؤُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ (29)} صدق الله العظيم [التكوير].
Allah Ta3ala Asema:
{ Wala hii si kauli ya Shetani maluuni (25) Basi mnakwenda wapi (26) Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote (27) Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa (28) Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote (29)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Altakwir].
Na Kama tulivo sema kwamba kumwamini Mwingi Wa Huruma Na Kumkufuru Mwingi Wa Huruma Amelifanya Allah Ni Jambo La Khiyari basi waja haiwahusu kuingilia kufanyiana hisabu baadhi yao ju ya baadhi ju ya ukafiri na imani kwakua inamhusu hisabu yake ni Allah Pekeyake Na AkafanYa Janna kwa atakae kushukuru na moto kwa atakae kukufuru. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَقُلِ الحقّ مِنْ رَبِّكُمْ فَمَنْ شَاءَ فَلْيُؤْمِنْ وَمَنْ شَاءَ فَلْيَكْفُرْ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا وَإِنْ يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا} صدق الله العظيم [الكهف:29].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na sema: Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi atakaye, aamini. Na atakaye, akatae. Hakika Sisi tumewaandalia wenye kudhulumu Moto ambao utawazunguka kama khema. Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama mafuta yaliyo tibuka. Yatayo wababua nyuso zao. Kinywaji hicho ni kiovu mno! Na matandiko hayo ya kupumzikia ni maovu mno} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf:29]. Basi nani huyo ambae amewaruhusu muwafanyie watu hisabu ju ya kuamini! Sema leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli?

Na labda anataka da3isho aseme: " Hivi Hakusema Allah Kwa ulimi wa Dhi Al'Qrnein: Allah Ta3ala Asema:
{وَيَسْأَلُونَكَ عَن ذِي الْقَرْنَيْنِ قُلْ سَأَتْلُو عَلَيْكُم مِّنْهُ ذِكْرًا﴿٨٣﴾ إِنَّا مَكَّنَّا لَهُ فِي الْأَرْضِ وَآتَيْنَاهُ مِن كُلِّ شَيْءٍ سَبَبًا ﴿٨٤﴾ فَأَتْبَعَ سَبَبًا ﴿٨٥﴾ حَتَّىٰ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ الشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنٍ حَمِئَةٍ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًا قُلْنَا يَا ذَا الْقَرْنَيْنِ إِمَّا أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّا أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًا ﴿٨٦﴾ قَالَ أَمَّا مَن ظَلَمَ فَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَىٰ رَبِّهِ فَيُعَذِّبُهُ عَذَابًا نُّكْرًا ﴿٨٧﴾ وَأَمَّا مَنْ آمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَلَهُ جَزَاءً الْحُسْنَىٰ وَسَنَقُولُ لَهُ مِنْ أَمْرِنَا يُسْرًا ﴿٨٨﴾}
صدق الله العظيم
[الكهف]"
Allah Ta3ala Asema:
{ Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake (83) Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu (84) Basi akaifuata njia (85) Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema (86) Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana. (87) Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi tutamwambia lilio jepesi katika amri yetu (88)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf]"?

Alafu ansmamisha Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Hoja kwa haki na anasema: Na je amisema na ama alio kufuru basi tutamadhibu ama yeye amisema:
{أَمَّا مَنْ ظَلَمَفَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَى رَبِّهِ فَيُعَذِّبُهُ عَذَابًا نُكْرًا}؟
{ Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana}?

Na Anakusudia Wahalifu kwa watu wafisadi katika Ardhi na hawo ni dhati yao Yajuj na Majuj katika mlango wa kaskazini kwakua Allah Amempa madaraka dha Al'Qrnein katika Ardhi akatangaza safari yake ya kijihadi ya ulimwengu ili amrishe mema na akataze maovu na alinganie kumwamini Al'Rahman Mwingi Wa Huruma aondoshe uhalifu wa waja ju ya waja, Na Wala Hakumwamuru Allah kwamba awalazimishe ju ya kuamini.

Na je wajua kwa nini Hakuamuru Allah Mitume walazimishe watu kumwamini Al'Rahman Mwingi Wa Huruma? Kwajili Allah Hatokubali kwao imani yao wala ibada zao kwa Mola Mlezi Wao na ilhali wao wanachukia mpaka iwe ibada yao kabisa kwa Mola Mlezi Wao kutoka kwa nafsi zao kumogopa Mola Mlezi Anae Abudiwa Pekeyake wala sio kuogopa waja. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ} صدق الله العظيم[التوبة:18].
Allah Ta3ala Asema:
{ Hakika wanao amirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao muamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya Mwisho, na wakashika Sala, na wakatoa Zaka, na wala hawamchi ila Mwenyezi Mungu. Basi huenda hao wakawa katika waongofu} Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:18].
Na je mumeona wanafiki wale ambao wamedhihirisha imani wakaficha ukafiri ili wawe ni katika wanao toa ma hadithi kutoka kwa Nabi walikua wakiswali kwa Mola Mlezi wao na ilhali wao ni wavivu wala sio uvivu wa machovu kuchoka; Bali kwakua wao wamelazimika kuswali ili wasijulikane jambo lao, Na hivo hivo wanatoa mali zao kwa Mtume na wao wanachukia kwakua wao hawataki kutowa kwa Allah kitu ispokua wamelazimika kutoa ili isijulikane jambo lao? Na je waona Allah Amekubali kwao? Na jibu katika muhakam ilio wazi maana yake kitabu Amesema Allah Ta3ala:
{قُلْ أَنفِقُوا طَوْعًا أَوْ كَرْهًا لَّن يُتَقَبَّلَ مِنكُمْ ۖ إِنَّكُمْ كُنتُمْ قَوْمًا فَاسِقِينَ (53) وَمَا مَنَعَهُمْ أَن تُقْبَلَ مِنْهُمْ نَفَقَاتُهُمْ إِلَّا أَنَّهُمْ كَفَرُوا بِاللَّهِ وَبِرَسُولِهِ وَلَا يَأْتُونَ الصَّلَاةَ إِلَّا وَهُمْ كُسَالَىٰ وَلَا يُنفِقُونَ إِلَّا وَهُمْ كَارِهُونَ (54)} صدق الله العظيم [التوبة].

Allah Ta3ala Asema:
{ Sema: Toeni mkipenda msipende. Hakitopokelewa kitu kwenu, kwani nyinyi ni watu wapotovu (53) Na hawakuzuiliwa kukubaliwa michango yao ila kwa kuwa walimkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala hawaji kwenye Sala ila kwa uvivu, wala hawatoi michango ila nao wamechukia (54)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altauba].

Kwajili ya hivo Hakuwamiru Allah Mitume walazimishe watu ju ya kumwamini Al'Rahman Mwingi Wa Huruma wamwabudu Yeye na ilhali wao wanachukia kwakua Yeye Hatokubali kwao ibada yao ya kulazimishwa ila iwr ibada yao kabisa kwakili ya Allah kumogopa Anae Abudiwa sio kuogopa Waja. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ} صدق الله العظيم [التوبة:18].
Allah Ta3ala Asema:
{ Hakika wanao amirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao muamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya Mwisho, na wakashika Sala, na wakatoa Zaka, na wala hawamchi ila Mwenyezi Mungu. Basi huenda hao wakawa katika waongofu} Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:18].
Na Enyi Ma3ashara Ya poti la kidaishi, Na enyi ma3ashara ya wote wale ambao wametenganisha Dini yao ma kundi na mahizbu, Hakika Mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani hakika sisemi ju ya Allah ispokua haki nawalingania na wote walio khitilifiana katika waislamu na wakristo na mayahudi kwa kuhukumiana kwa muhakam ilio wazi maana yake kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim ili nihukumu baina yenu kwa yale munao khitilifiana ndani yake ili nikusanye mgawanyiko wenu dhidi ya alamasi7h alkadhab na jeshi lake, Basi mcheni Allah huwenda mukarehemewa.

Na wala hawatoweza wnazuoni wote wa waislamu na wa kikristo na wa kiyahudi kwamba wamzidi wote ju ya Al'Imama Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa nguvu ya utawala ya ilimu kutoka kwa Al'Quran Al3adhim hata kama watakua wakinuana mngongo na wakinusuriana baadhi yao ju ya baadhi, Na je mwajua kwa nini? Na hivo ni kwajili mimi najua muhakam ilio wazi maana yake na najua kutafsiri zilio na mifano kwa Al'Quran basi hamotonijadili nayo kitu ispokua nitawashinda kwa utawala wa ilimu na mimi nayo ni kiongozi na naongoza kwa njia ilio nyoka.

Na imefika umri wa ulinganizi wa ki mahdi kwenye mwisho wa kumalizikia mwaka wa kumi na hakuna alio itika kwa ulinganizi wa kuhukumiana kwa Al'Quran Al3adhim wanazuoni wa waislamu ambo wao wanai amini ispokua alio rehemewa na Mola Mlezi wangu! Basi mutaenda wapi na adhabu ya siku ya moshi iko katika milango kutokana na Sayari ya Adhabu? Nayo ni ile munao ita Sayari ya kumi nibero, Hio kwenu ni Sayari ya Saqar Atawapa Allah kutokana na hio kwa adhabu ya moshi ilio baini wazi ni moja katika masharti ya saa kuu na itawava kutokana nayo adhabu chungu mno, Basi mutaenda wapi enyi ma3ashara ya wakanushaji kuhusu ulinganizi wa kuhukumu kwa Allah Pekeyake Hana Mshirika Nae? Na hakuna ju ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua anawachunguzia nyinyi hukmu ya Allah kutoka kwa muhakam ilio wazi Al'Quran ikiwa nyinyi munaiamini, Basi mwitikieni mlinganizi Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

Na huwenda Da3ishi kutaka kusema: " Taratibu ewe Nasser Muhammad, Vipi utasema wewe ni Al'Imam Al'Mahdi na sisi tunaitakidi kwamba jina la Al'Imam Al'Mahdi ni ( Muhammad ibnu Abdallah ) Kusadikisha hadithi ya Muhammad Mtume Wa Allah kuhusu jina la Al'Imam Al'Mahdi, Amisema Ju yake Sala Na Salam:
[يواطئ اسمه اسمي]
[Linawafikiana jina lake na jina langu],
Kwajili ya hivo tunaitakidi kua jina la Al'Imam Al'Mahdi linakuja linatabikiana na jina la Al'Nabi".
Alafu anasmamisha Al'Imam Al'Mahdi hoja ju ya waulizaji na nasema: Na eee ajabu yangu ju ya wanazuoni wa umma wanajua kwa ilimu ya yakini kwamba "Altawatuu" kuwafikiana haikusudiwi nayo ni kutabikiana; Bali inakusudiwa kwa "altawatuu" ni kuwafikiana, Na pamoja ya ilimu yao wanafanya jina la Al'Imam Al'Mahdi linakuja linatabikiana na jina la Al'Nabi! Na alafu nasmamisha hoja kwa haki na nasema: Hakika ya atawatuu ki lugha inakusudiwa nayo yani ni kuwafikiana yani jina la Muhammad linakuja linawafikiana katika jina la Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad, Na Amefanya Alllah kuwafikiana kwa jina la Muhammad na jina langu kwenye jina la babangu na hivo kwakua Allah hajamtumiliza Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar ni Nabi wala Mtume; Bali Anamtumiliza Allah Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad yani Nasseran Munusara wa Muhammad Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi wa Salam, Kwajili ya hivo nawalingania kwa kufwata minhaj njia ya A'Nubuwa ya kwanza kitabu cha Allah na Suna anabawia za kweli basi zote ni kutoka kwa Allah ispokua zile zilio kuja katika ma hadithi za sunna ya Bayana zimekhalifu muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran basi mujuwe ile hadidhi imewajieni kutoka kwa sio Allah yani ni kutoka kwa shetani maluni, Kama mfano ya hadithi ilio zushwa ju ya Nabi Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam kua amesema:
اقتباس المشاركة :
[أمرت أن أقاتل الناس حتى يشهدوا أن لا إله إلا الله وأن محمدًا رسول الله، ويقيموا الصلاة، ويؤتوا الزكاة، فإذا فعلوا ذلك عصموا مني دماءهم وأموالهم إلا بحق الإسلام، وحسابهم على الله]
[ Nimeamirishwa nipigane na watu mpaka watoe shahada kwamba La ilaha ila Allah na Muhammad Mtume wa Allah, Na wasmamishe Swala, Na watowe zaka, Basi wakifanya hivo wamejikinga na mimi damu zao na mali yao ispokua kwa haki ya uswislamu, Na hisabu yao ju Ya Allah ]
انتهى الاقتباس
Imeisha:

Lakini hi hadithi imewajieni kutoka kwa shetani wala sio kutoka kwa Al'Rahman kwakua nayo imekuja imekhalifu muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran na baina yake na baina ya muhakam ilio wazi maana yake khitilafu nyingi, Basi njoni ili kutabikisha namus katika kitabu ili kukashifu ma hadithi zilio kadhibishwa ju ya Al'Nabi Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا (81) أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا (82)} صدق الله العظيم [النساء].

Allah Tal3ala Asema:
{ Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha(82)} Sadaqa Allah Al3aldhim [Alinisaa].

Na kutokana na hayo tunachunguza hukumu ya kweli kwamba ma hadithi Al'Nabawiya nazo ni kutoka kwa Allah ispokua hazikuhifadhiwa kulindwa kutokana na kugeuzwa kuherufishwa na kuzaifishwa kama Alivo Hifadhi Allah Al'Quran Al3adhim, Kwajili ya hivo Amefamya Allah muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim ni maregeo na inao tawala ju ya ma hadithi za ki Nabawi, Na Akawafundisha Allah kwamba mutakao pata katika ma hadithi zimekuja zimekhalifu muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran Al'3adhim basi juweni ile hadithi imezushwa ni kutoka kwa sio Allah kwajili hadithi imezushwa ju ya Al'Nabi na kwamba ile hajaisema basi hatimai mutaipata baina yake na baina ya muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran khitilafu nyingi kwa jumla na ufafanuzi, Kama mfano wa hi hadithi ambao wamewafikiana nayo baina ya wanazuoni wa waislamu nayo ni uzushi na buhtani ju ya Al'Nabi ju yake Sala Na Salam na hajaisema, Basi vipi ataleta Amri hi kwa kulazimisha watu wawe waumini pamoja ya kwamba Allah Ta3ala Yuwasema:
{لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ قَدْ تَبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنْ الغَيِّ فَمَنْ يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِنْ بِاللَّهِ فَقَدْ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَى لَا انفِصَامَ لَهَا وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ(256)} صدق الله العظيم؟
Allah Ta3ala Asema:
{ Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua (256)} Sadaqa Allah Al3adhim?
Na inakhalifu kauli Ya Aallah Ta3ala
{فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)} صدق الله العظيم.
{
Na je ju ya Mitume ispokua ni kubalighisha ilio baini (35)} Sadaqa Allah Al3adhim.
Na inakhalifu Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَقُلِ الحقّ مِنْ رَبِّكُمْ فَمَنْ شَاءَ فَلْيُؤْمِنْ وَمَنْ شَاءَ فَلْيَكْفُرْ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا وَإِنْ يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا} صدق الله العظيم.
{ Na sema: Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi atakaye, aamini. Na atakaye, akatae. Hakika Sisi tumewaandalia wenye kudhulumu Moto ambao utawazunguka kama khema. Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama mafuta yaliyo tibuka. Yatayo wababua nyuso zao. Kinywaji hicho ni kiovu mno! Na matandiko hayo ya kupumzikia ni maovu mno } Sadaqa Allah Al3adhim m.
Na yakhalifu kauli Ya Allah Ta3ala:
{إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ (27) لِمَن شَاء مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ (28) وَمَا تَشَاؤُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ (29)} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:
{ ispokua hio ni ukumbusho kwa walimwengu ( 27) Kwa yule atakae kua sawa (28) Na mukitaka ispokua mpaka Atake Allah Mola Mlezi wa ulimwengu (29)} Sadaqa Allah Al3adhim.

Na imekhalifu kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَإِنْ مَا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ} صدق الله العظيم.

{ Na tukikuonesha baadhi yaoe tunayo waahidi ama tukakufisha ispokua ju yako ni kufikisha na ju yetu ni hisabu } Sadaqa Allah Al3adhim.
Pamoja ya kwamba hi hadithi imekhalifu kwa ma Aya nyingi sana katika kitabu ambazo ni muhakamat zilio wazi maana yake amabzo baini kwa wanazuoni wa umma na waislamu kwa jumla pamoja ya hivo utakuta ni mutafaq ju yake wamewafikiana nayo kutoka kwa wanazuoni wa waislamu bila kukhitalifiana! Basi vipi wanajipoteza na wapoteza umma wao? Basi angalieni kwa wale wanao itoa riwaya kuhusu uswahihi wa hadithi hi:
اقتباس المشاركة :
عن ابن عمر رضي الله عنهما أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: [أمرت أن أقاتل الناس حتى يشهدوا أن لا إله إلا الله وأن محمدا رسول الله و يقيموا الصلاة و يؤتوا الزكاة فإذا فعلوا ذلك عصموا مني دمائهم وأموالهم إلا بحق الإسلام و حسابهم على الله تعالى] متفق عليه.
Kutoka kwa ibnu Omar Radhi Allah ju yao kwamba Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Amesema:
[Nime'amirishwa kupigana na watu mpaka watoe shahada kua La ilaha ila Allah Na Kwamba Muhammad Mtume Wa Allah Na Wasmamishe Swala Na Watoe Zaka Basi Wakifanya Hivo Wamejizuwia Kutokana Na Mimi Damu Zao Na Mali Yao ispokua Kwa Haki Ya Uwislamu Na Hisabu Yao Ju Ya Allah] Mutafaq Aleyhi
انتهى الاقتباس
.

Na eee kuvunjika moyo na eee maskitiko! Basi vipi mtuafata hadithi imezushwa ju ya Allah Na Mtume Wake kutoka kwa Mashetani watu na wanazi'husisha kwa ma ruwati wanao toa hadithi? Na labda hawajaisema alafu munaichukua, Na hata kama imesihi kutoka kwa watoaji hadithi huwenda labda wameichukua kwa kudhani kwao kua imetoka kwa Nabi Na hawakutamali kua ni hadithi imewekwa kwa hikma ya kishetani na hivoili wafanye watu wote watangaze vita ju yauwislamu na waislamu kwa sababu ya hi hadithi kwajili wao watasema: " ikiwa hatuwamaliza basi hatimai bila shaka watatulazimisha kuingia dini yao na watatulazimisha tuswali swala zao na tufunge saumu yao ama watamwaga damu yetu na wapure mali yetu na wachukuwe wanawake wetu na watoto wetu". Basi hio ndio hikma ya kikhabithi kuzuwa hadithi hi, Na sio ispokua kuwafamya ma kafiri wawe wamoja kiwapiga vita waislamu, Na hawakufahu ma ruwat watowaji hadithi mbinu ya hi hadithi ya kishetani.
Na ala kuli hal, Sisi hatuwasemi kwa ubaya kwa watowaji ma hadithi kutoka kwa Al Nabi; Bali anazichukua Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad alafu anazipitisha ju ya muhakam ilio wazi maana yake Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim alafu tunazinomoa amabazo zilio zushwa ndani yake kwa muhakam ilio wasi Al'Quran Al3adhim kubomoa wala hatujali, Na wala hana Al'Imam Al'Mahdi ju ya wanazuoni wa waislamu ispokua sharti moja pekeyake nayo ni wakubali Allh ndio Hakimu baina yao kwa yale walio kua wakikhitilifiana kwajili hakuna ju ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua awachunguzie kwao hukmumu ya Allah baina yao kutoka kwa Muhakam Al'Quran Al3adhim basi ikiwa sikufanya basi mimi sio Al'Iamam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad na hio ni baina yangu na baina yenu.

Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin ..
Ndugu Yenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
__________________


Kumbuka: Kwa wote Ma Anssar Walio Tangulia Walio Bora kwa kutangaza ulinganizi Wa Kimahdi Usiku Na Mchana Na Alhali Wao Hawachoki, Ju Yenu Kubalighisha Hi Bayana Vile Mutakavo Weza Katika Ma Tuvoti Za Binadamu Na Kwa Kila Njia Na Mbinu Kwa Umuhimu Wake Mkuu

___________________________________



اقتباس المشاركة 158549 من موضوع عاجل وهام: رد الإمام المهديّ على السائلين في دين الله الرحمة للعالمين..

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=158533

الإمام ناصر محمد اليماني
18 - ذو القعدة - 1435 هـ
13 - 09 - 2014 مـ
03:29 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
ـــــــــــــــــــ

عـــــــــــــــــاجل وهام

رد الإمام المهديّ على السائلين في دين الله الرحمة للعالمين ..

بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على كافة أنبياء الله ورسله من أولهم إلى خاتمهم محمد رسول الله وجميع المؤمنين وأسلم تسليماً، أمّا بعد..
لا ينبغي أن يكون هناك تناقضاً في كتاب الله القرآن العظيم لأنّ الله أفتى في محكم كتابه أنّه لم يأمر الرسل أن يُجبروا الناس على الإيمان وإنّما عليهم البلاغ وعلى الله الحساب. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَقَالَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا لَوْ شَاءَ اللَّهُ مَا عَبَدْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ نَّحْنُ وَلَا آبَاؤُنَا وَلَا حَرَّمْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ ۚ كَذَٰلِكَ فَعَلَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)} صدق الله العظيم [النحل].

ولكنّ الله أمر الرسل أن يُجبروا الناس من بعد التمكين على أن يُسلموا لحدود الله التي تمنع ظلم الإنسان عن أخيه الإنسان لكون إقامة حدود الله جبريّة على المسلم والكافر على حدِّ سواء، وكذلك الزكاة أمر جبريّ على المسلم والكافر على حدِّ سواء، وإنّما تسمّى زكاة على المسلم وجزية على الكافر وتُجمع في بيت المال وللكافرين الحقّ فيها كما للمسلمين من مصالح ومشاريع وصدقات.

وعلى كل حالٍ، فحين مكّن الله نبيَّه سليمان في الأرض أصبح عليه أمرٌ جبريٌّ أن يأمر بالمعروف وينهى عن المنكر، ودعا ملكة سبأ وقومها أن يأتوا مسلمين لِما أنزل الله، ومن ثم يبيّن لهم حدود ما أنزل الله ويدعوهم للإيمان بالرحمن لمن شاء منهم أن يستقيم. ولم يأمره الله أن يُجبرهم على الإيمان بل على الإسلام وهو الاستسلام لحدود ما أنزل الله، لكون نبيّ الله سليمان من الذين مكّنهم الله في الأرض ووجب عليه أن يأمر بالمعروف وينهى عن المنكر ليرفع ظلم الإنسان عن أخيه الإنسان. تصديقاً لقول الله تعالى:
{الَّذِينَ إِنْ مَكَّنَّاهُمْ فِي الأَرْضِ أَقَامُوا الصَّلاةَ وَآتَوُا الزَّكَاةَ وَأَمَرُوا بِالْمَعْرُوفِ وَنَهَوْا عَنِ الْمُنْكَرِ وَلِلَّهِ عَاقِبَةُ الأُمُورِ} صدق الله العظيم [الحج:41].

والإسلام هو الإستسلام سواء يُسلم وجهه لله خالصاً لربّه أو يستسلم لخليفته بتطبيق حدود الله الجبريّة ودفع الجزية. مثال الأعراب الذين أعرضوا عن دعوة النَّبيّ لعبادة الله وحده لا شريك له وكذلك رفضوا دفع الجزية للنبيّ والاستسلام لحدود ما أنزل الله واختاروا الحرب ضدّ المسلمين. ولذلك قال الله تعالى: {قُل لِّلْمُخَلَّفِينَ مِنَ الْأَعْرَابِ سَتُدْعَوْنَ إِلَىٰ قَوْمٍ أُولِي بَأْسٍ شَدِيدٍ تُقَاتِلُونَهُمْ أَوْ يُسْلِمُونَ ۖ فَإِن تُطِيعُوا يُؤْتِكُمُ اللَّهُ أَجْرًا حَسَنًا ۖ وَإِن تَتَوَلَّوْا كَمَا تَوَلَّيْتُم مِّن قَبْلُ يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًا (16)} صدق الله العظيم [الفتح]. لأنّ في ذلك الوقت كان قد بدأ النَّبيّ بإعلان الجهاد لتطبيق حدود الله في الجزيرة العربيّة وراسل الدول العظمى.

وعلى كل حال فما يقصد الله بقوله تعالى {تُقَاتِلُونَهُمْ أَوْ يُسْلِمُونَ}؟ فهل يقصد إجبارهم على الإيمان؟ ونقول بل يجبروهم على الاستسلام لحدود ما أُنزل في محكم كتابه. وقال الله تعالى: {الأَعْرَابُ أَشَدُّ كُفْرًا وَنِفَاقًا وَأَجْدَرُ أَلاَّ يَعْلَمُوا حُدُودَ مَا أَنْزَلَ اللَّهُ عَلَى رَسُولِهِ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم [التوبة:97]. لكون حدود الله لا خيار لهم فيها؛ بل فرضَ الله تطبيقها على المفسدين منهم.

ألا وأنّ الإسلام ينقسم إلى قسمين مُسلمٌ لربّه ومسلمٌ لحدود ما أنزل الله، بمعنى أنّه يُسلم للحاكم بدفع الجزية والقبول بتطبيق حدود ما أنزل الله.

ويا أيها السائل الداعشي، عليك أنْ تعلم أنّ الإسلام الذي يقصده نبيّ الله سليمان لا يقصد به إجبارهم على الإيمان؛ بل يدعوهم لتطبيق حدود ما أنزل الله فيستسلمون لخليفة الله سليمان عليه الصلاة والسلام، ولذلك قال:
{أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ﴿٣١﴾} [النمل]. وذلك حتى يعلموا دين العدالة الربانيّة ولمّا يدخل الإيمان إلى قلوبهم فيؤمنوا لربّهم من خالص قلوبهم وليس بالإكراه.

ويا أيها السائل الداعشي، عليك أن تعلم أنّ القرآن فيه محكمٌ ومتشابهٌ وينقسم المحكم إلى آياتٍ بيناتٍ وآياتٍ مُبيّناتٍ للمتشابه، فلا تتّبعوا متشابه القرآن فيضلّكم عن سبيل الله ظاهرُ المتشابه، لكون الذي في قلبه زيغٌ عن الحقّ يأخذ إحدى الآيات المتشابهات فيتّبعها ويعتصم بها برغم أنّه يعلم علم اليقين أنّ تلك الآية مخالفةٌ في ظاهرها كافةَ آيات الكتاب المحكمات البيّنات فيُعرض عنهنّ وكأنّه لم يسمعهنّ ويعتصم بالمتشابه الذي لا يزال بحاجةٍ للتفسير والبيان من الراسخين في علم الكتاب. ولذلك قال الله تعالى:
{هُوَ الَّذِي أَنْزَلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ مِنْهُ آيَاتٌ مُحْكَمَاتٌ هُنَّ أُمُّ الْكِتَابِ وَأُخَرُ مُتَشَابِهَاتٌ فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُ إِلَّا اللَّهُ وَالرَّاسِخُونَ فِي الْعِلْمِ يَقُولُونَ آمَنَّا بِهِ كُلٌّ مِنْ عِنْدِ رَبِّنَا وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُوْلُوا الأَلْبَابِ} صدق الله العظيم [آل عمران:7].

وبما أنّ المتشابه له تأويلٌ غير ظاهره ولذلك قال الله تعالى:
{فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ}، ولكنّ الراسخون في علم الكتاب يأتون بتأويله وتفصيله من محكم القرآن العظيم من غير أي تناقضٍ، وذلك هو الفرق بين علماء المسلمين والإمام المهديّ، لكون كلّ طائفةٍ تتمسّك بآياتٍ في الكتاب متشابهاتٍ وأخرى محكماتٍ وكلٌّ منهم يأخذ له دليلاً ويجاهد به جهاداً كبيراً، والآخر يأتيه بدليل نفيٍ آخر من القرآن فيجاهده به جهاداً كبيراً، فلا هذا أقنع هذا ولا هذا أقنع هذا! وكلٌّ معتصمٌ بدليلٍ من القرآن وكأنّهم يؤمنون ببعض الكتاب ويكفرون ببعضٍ.

وعلى سبيل المثال السائل الداعشي يأتينا بدليل قول نبيّ الله سليمان لملكة سبأ وقومها: {أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ﴿٣١﴾}، فظنّ أنه يُقصد به الإكراه على الإيمان! ألا تعلم أنَّ تسمية المسلم قد تُطلق على المُسلم لله والكافر المستسلم لحدود ما أنزل الله؟ وقال الله تعالى: {قَالَتِ الْأَعْرَابُ آمَنَّا قُل لَّمْ تُؤْمِنُوا وَلَكِن قُولُوا أَسْلَمْنَا وَلَمَّا يَدْخُلِ الْإِيمَانُ فِي قُلُوبِكُمْ وَإِن تُطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ لَا يَلِتْكُم مِّنْ أَعْمَالِكُمْ شَيْئاً إِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ (14)} صدق الله العظيم [الحجرات].

لكونه لا يُطلق اسم الإيمان إلا على المؤمنين بربّهم طوعاً وليس كرهاً، وأما الإسلام فيطلق على المسلمين لربّهم والمسلمين للحاكم بالقبول بدفع الجزية والقبول بتطبيق حدود ما أنزل الله. ألا وإنّ الحدود هي أحكامٌ يتمّ تطبيقها لتمنع ظلم الإنسان عن أخيه الإنسان.
مثال حدّ القتل على القاتل ظلماً، وحدّ السارق مال أخيه الإنسان، وحدّ المعتدي على عرض أخيه الإنسان، وتطبيق الحدود بشكلٍ عام على المفسدين في الأرض لمنعهم من ظلم الناس.

ويا أيها السائل الداعشي، إنّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني قد جعله الله للناس إماماً ولم يصطفِني مَنْ حولي ولا ينبغي لهم؛ بل الله يصطفي أئمة الكتاب فيزيدهم بسطةً في العلم على كافة علماء أمّتهم فيجعلهم راسخين في علم الكتاب، فنؤمن بمتشابهه ونفصّله تفصيلاً، ونعتصم بمحكمه، وكلٌّ من عند ربّنا، ولا نؤمن ببعض الكتاب ونكفر ببعض. وقال الله تعالى:
{أَفَتُؤْمِنُونَ بِبَعْضِ الْكِتَابِ وَتَكْفُرُونَ بِبَعْضٍ فَمَا جَزَاءُ مَنْ يَفْعَلُ ذَلِكَ مِنْكُمْ إِلَّا خِزْيٌ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يُرَدُّونَ إِلَى أَشَدِّ الْعَذَابِ وَمَا اللَّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:85].

ويا أيّها السائل الداعشي، فهل تؤمن بقول الله تعالى:
{وَقَالَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا لَوْ شَاءَ اللَّهُ مَا عَبَدْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ نَّحْنُ وَلَا آبَاؤُنَا وَلَا حَرَّمْنَا مِن دُونِهِ مِن شَيْءٍ ۚ كَذَٰلِكَ فَعَلَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)} صدق الله العظيم [النحل]؟ أليست تلك فتوى من الله تشمل كافة الأنبياء والمرسلين أنْ ليس عليهم إلا البلاغ بالدعوة إلى عبادة الله وحده لا شريك له وأنّ الله لم يأمرهم أن يُكرهوا الناس حتى يكونوا مؤمنين؟ تصديقاً لقول الله تعالى: {لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ قَدْ تَبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنْ الغَيِّ فَمَنْ يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِنْ بِاللَّهِ فَقَدْ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَى لَا انفِصَامَ لَهَا وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ(256)} صدق الله العظيم [البقرة].

فهذا ناموسٌ ربانيٌّ طبقه جميعُ الرسل من ربّهم ولم يجبروا الناس على الإيمان بالرحمن. تصديقاً لقول الله تعالى:
{فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ} صدق الله العظيم. لكون الإيمان بالرحمن جعله الله اختياريّاً فيما بين العبيد، فلا يحقّ لعبدٍ أن يحاسب عبداً على الإيمان بالرحمن لأنّ ذلك يختصّ بحسابه الله وحده لا شريك له وجعل الجنة لمن شكر والنار لمن كفر. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَإِنْ مَا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ} صدق الله العظيم [الرعد:40]. لكون الاستقامة إلى الربّ اختياريّة فيما بين العبيد. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَجِيمٍ (25) فَأَيْنَ تَذْهَبُونَ (26) إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ (27) لِمَن شَاء مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ (28) وَمَا تَشَاؤُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ (29)} صدق الله العظيم [التكوير].

وكما قلنا إنّ الإيمان بالرحمن والكفر بالرحمن جعله الله اختيارياً فلا دخل للعبيد أن يحاسب بعضهم بعضاً على الكفر والإيمان لكونه يختصّ بحسابه الله وحده وجعل الجنّة لمن شكر والنار لمن كفر. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَقُلِ الحقّ مِنْ رَبِّكُمْ فَمَنْ شَاءَ فَلْيُؤْمِنْ وَمَنْ شَاءَ فَلْيَكْفُرْ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا وَإِنْ يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا} صدق الله العظيم [الكهف:29]. فمن ذا الذي خوّلكم أنْ تحاسبوا الناس على الإيمان! قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين؟

وربما يودّ الداعشي أن يقول: "ألم يقل الله على لسان ذي القرنين؛ قال الله تعالى:
{وَيَسْأَلُونَكَ عَن ذِي الْقَرْنَيْنِ قُلْ سَأَتْلُو عَلَيْكُم مِّنْهُ ذِكْرًا﴿٨٣﴾ إِنَّا مَكَّنَّا لَهُ فِي الْأَرْضِ وَآتَيْنَاهُ مِن كُلِّ شَيْءٍ سَبَبًا ﴿٨٤﴾ فَأَتْبَعَ سَبَبًا ﴿٨٥﴾ حَتَّىٰ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ الشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنٍ حَمِئَةٍ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًا قُلْنَا يَا ذَا الْقَرْنَيْنِ إِمَّا أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّا أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًا ﴿٨٦﴾ قَالَ أَمَّا مَن ظَلَمَ فَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَىٰ رَبِّهِ فَيُعَذِّبُهُ عَذَابًا نُّكْرًا ﴿٨٧﴾ وَأَمَّا مَنْ آمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَلَهُ جَزَاءً الْحُسْنَىٰ وَسَنَقُولُ لَهُ مِنْ أَمْرِنَا يُسْرًا ﴿٨٨﴾} صدق الله العظيم [الكهف]"؟ فمن ثمّ يقيم الإمام المهديّ ناصر محمد الحجّة بالحقّ ونقول: فهل قال وأما من كفر فسوف نعذبه أم أنّه قال: {أَمَّا مَنْ ظَلَمَ فَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَى رَبِّهِ فَيُعَذِّبُهُ عَذَابًا نُكْرًا}؟ ويقصد الظالمين للناس المفسدين في الأرض وهم ذاتهم يأجوج ومأجوج في البوابة الشماليّة لكون الله مكّن ذا القرنين في الأرض فأعلن رحلته الجهاديّة العالميّة ليأمر بالمعروف وينهى عن المنكر ويدعو للإيمان بالرحمن ويرفع ظلم العبيد عن العبيد، ولم يأمره الله أن يكرههم على الإيمان.

وهل تدري لماذا لم يأمر الله الرسل أن يُكرِهوا الناس على الإيمان بالرحمن؟ وذلك لأنّ الله لن يتقبل منهم إيمانهم ولا عبادتهم لربهم وهم كارهون حتى تكون عبادتهم خالصةً لربّهم من ذات أنفسهم خوفاً من الربّ المعبود وحده وليس خشيةً من العبيد. تصديقاً لقول الله تعالى: {إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ} صدق الله العظيم[التوبة:18].

فهل رأيت المنافقين الذين أظهروا الإيمان وأبطنوا الكفر حتى يكونوا من رواة الأحاديث عن النَّبيّ فقد كانوا يصلّون لربّهم وهم كسالى وليس كسل التعب؛ بل لكونهم مجبرين على الصلاة حتى لا يُكتَشف أمرهم، وكذلك كانوا ينفقون أموالهم للرسول وهم كارهون لكونهم لا يريدون أن ينفقوا لله شيئاً وإنما مجبرين على الإنفاق حتى لا يُكتشف أمرهم؟ فهل ترى الله قد تقبّل منهم؟ والجواب في محكم الكتاب قال الله تعالى:
{قُلْ أَنفِقُوا طَوْعًا أَوْ كَرْهًا لَّن يُتَقَبَّلَ مِنكُمْ ۖ إِنَّكُمْ كُنتُمْ قَوْمًا فَاسِقِينَ (53) وَمَا مَنَعَهُمْ أَن تُقْبَلَ مِنْهُمْ نَفَقَاتُهُمْ إِلَّا أَنَّهُمْ كَفَرُوا بِاللَّهِ وَبِرَسُولِهِ وَلَا يَأْتُونَ الصَّلَاةَ إِلَّا وَهُمْ كُسَالَىٰ وَلَا يُنفِقُونَ إِلَّا وَهُمْ كَارِهُونَ (54)} صدق الله العظيم [التوبة].

ولذلك لم يأمر الله الرسل أن يُجبروا الناس على الإيمان بالرحمن فيعبدوه وهم كارهون لكونه لن يتقبل منهم عبادتهم كرهاً إلا أنْ تكون عبادتهم خالصة لله خشيةً من المعبود لا خشية من العبيد. تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ} صدق الله العظيم [التوبة:18].

ويا معشر الطائفة الداعشية، ويا معشر كافة الذين فرّقوا دينهم شيعاً وأحزاباً، إنّني الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني حقيقٌ لا أقول على الله إلا الحقّ أدعوكم وكافة المختلفين من المسلمين والنّصارى واليهود للاحتكام إلى محكم كتاب الله القرآن العظيم لنحكم بينكم فيما كنتم فيه تختلفون لنجمع شملكم ضدّ المسيح الكذاب وجنوده، فاتقوا الله لعلكم ترحمون.

ولن يستطيع كافة علماء المسلمين والنّصارى واليهود أن يهيمنوا جميعاً على الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني بسلطان العلم من القرآن العظيم ولو كان بعضهم لبعضٍ نصيراً وظهيراً، وهل تعلمون لماذا؟ وذلك لأنّني أعلم بمحكم القرآن وأعلم بتأويل متشابه القرآن فلا تجادلونني منه بشيءٍ إلا غلبتكم بسلطان العلم وأنا به زعيم وأهدي به إلى الصراط المستقيم.

ووصل عمر الدعوة المهديّة إلى مشارف نهاية العام العاشر ولم يستجب لدعوة الاحتكام إلى القرآن علماءُ المسلمين الذين هم به مؤمنون إلا من رحم ربّي! فأين تذهبون من عذاب يومٍ عقيمٍ على الأبواب من كوكب العذاب؟ وهو بما تُسمّونه بالكوكب العاشر نيبيروا، ذلكم كوكب سقر يصيبكم الله منه بعذاب الدّخان المبين أحد أشراط الساعة الكبرى ويغشاكم منه عذاب أليم، فأين تذهبون يا معشر المعرضين عن دعوة الاحتكام إلى الله وحده لا شريك له؟ وما على الإمام المهديّ ناصر محمد إلا أن يستنبط لكم حكم الله من محكم القرآن إن كنتم به مؤمنون، فأجيبوا الداعي الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.

وربما يود الداعشي أن يقول: "مهلاً يا ناصر محمد، كيف تقول أنّك الإمام المهديّ فنحن نعتقد أنّ اسم الإمام المهديّ (محمد ابن عبد الله) تصديقاً لحديث محمد رسول الله عن اسم الإمام المهديّ، قال عليه الصلاة والسلام:
[يواطئ اسمه اسمي]، ولذلك نعتقد أنّ اسم الإمام المهديّ يأتي مطابقاً لاسم النَّبيّ". فمن ثم يقيم الإمام المهديّ الحجة على السائلين وأقول: ويا عجبي من علماء أمّةٍ يعلمون علم اليقين أنّ التواطؤ لا يُقصد به التطابق؛ بل يقصد بالتواطؤ التوافق. ورغم علمهم بذلك يجعلون اسم الإمام المهديّ يأتي مطابقاً لاسم النَّبيّ! فمن ثمّ نقيم عليهم الحجّة بالحقّ وأقول: إنّ التواطؤ لغةً يقصد به التوافق أي أنّ الاسم محمد يأتي موافقاً في اسم الإمام المهديّ ناصر محمد، وجعل الله التوافق للاسم محمد في اسمي في اسم أبي وذلك لكون الله لم يبعث الإمام المهديّ المنتظر نبياً ولا رسولاً؛ بل يبعث الله المهديّ المنتظر ناصرَ محمدٍ أي ناصراً لمحمد ٍرسول الله صلّى الله عليه وآله وسلم، ولذلك أدعوكم إلى اتّباع منهاج النّبوة الأولى كتاب الله والسّنة النبويّة الحقّ فكليهما من عند الله إلا ما جاء في أحاديث سنة البيان مخالفاً لمحكم القرآن فاعلموا أنّ ذلك الحديث جاءكم من عند غير الله أي من عند الشيطان الرجيم. كمثال الحديث المفترى عن النَّبيّ صلى الله عليه وآله وسلم أنّه قال:
اقتباس المشاركة :
[أمرت أن أقاتل الناس حتى يشهدوا أن لا إله إلا الله وأن محمدًا رسول الله، ويقيموا الصلاة، ويؤتوا الزكاة، فإذا فعلوا ذلك عصموا مني دماءهم وأموالهم إلا بحق الإسلام، وحسابهم على الله]
انتهى الاقتباس
انتهى.

ولكن هذا الحديث جاءكم من عند الشيطان وليس من عند الرحمن لكونه جاء مخالفاً لمحكم القرآن وبينه وبين محكم القرآن اختلافا ًكثيراً، فتعالوا لتطبيق النّاموس في الكتاب لكشف الأحاديث المكذوبة عن النَّبيّ تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا (81) أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا (82)} صدق الله العظيم [النساء].

ومن خلال ذلك نستنبط الحكم الحقّ بأنّ الاحاديث النّبويّة هي من عند الله غير أنّها ليست محفوظةً من التّحريف والتّزييف كما حفظ الله القرآن العظيم، ولذلك جعل الله محكم القرآن العظيم هو المرجع والمهيمن على الأحاديث النبويّة، وعلّمكم الله أنّ ما وجدتم من الأحاديث جاء مخالفاً لمحكم القرآن العظيم فاعلموا أنّ ذلك حديثٌ مفترى من عند غير الله لأنّ الحديث المفترى عن النَّبيّ والذي لم يقله فحتماً سوف تجدون بينه وبين محكم القرآن اختلافاً كثيراً جملةً وتفصيلاً. كمثال هذا الحديث المتفق عليه بين علماء المسلمين وهو زورٌ وبهتانٌ على النَّبيّ عليه الصلاة والسلام ولم يقله، فكيف يأتي هذا الأمر بإكراه الناس حتى يكونوا مؤمنين برغم أنّ الله تعالى يقول:
{لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ قَدْ تَبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنْ الغَيِّ فَمَنْ يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِنْ بِاللَّهِ فَقَدْ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَى لَا انفِصَامَ لَهَا وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ(256)} صدق الله العظيم؟

ومخالفٌ لقول الله تعالى: {فَهَلْ عَلَى الرُّسُلِ إِلَّا الْبَلَاغُ الْمُبِينُ (35)} صدق الله العظيم.

ومخالفٌ لقول الله تعالى: {وَقُلِ الحقّ مِنْ رَبِّكُمْ فَمَنْ شَاءَ فَلْيُؤْمِنْ وَمَنْ شَاءَ فَلْيَكْفُرْ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا وَإِنْ يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا} صدق الله العظيم.

ومخالفٌ لقول الله تعالى: {إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ (27) لِمَن شَاء مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ (28) وَمَا تَشَاؤُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ (29)} صدق الله العظيم.

ومخالفٌ لقول الله تعالى: {وَإِنْ مَا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ} صدق الله العظيم.

ورغم أنّ هذا الحديث مخالفٌ لكثيرٍ من آيات الكتاب المحكمات البيّنات لعلماء الأمّة وعامة المسلمين وبرغم ذلك متفقٌ عليه من قِبَلِ علماء الأمّة دونما اختلاف! فكيف يضلّون أنفسهم ويضلّون أمّتهم؟ فانظروا للاتفاق بين الرواة عن صحة هذا الحديث:
اقتباس المشاركة :
عن ابن عمر رضي الله عنهما أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: [أمرت أن أقاتل الناس حتى يشهدوا أن لا إله إلا الله وأن محمدا رسول الله و يقيموا الصلاة و يؤتوا الزكاة فإذا فعلوا ذلك عصموا مني دمائهم وأموالهم إلا بحق الإسلام و حسابهم على الله تعالى] متفق عليه.
انتهى الاقتباس
ويا للخيبة ويا للحسرة! فكيف تتّبعون حديثاً مفترى على الله ورسوله من قِبَل شياطين البشر ويسندونه إلى رواةٍ؟ ولربّما لم يقولوه فمن ثم تأخذون به. وحتى ولو صحّ عن الرواة فلعلهم أخذوه ظناً منهم أنّه عن النَّبيّ ولم يدركوا أنّه حديثٌ موضوعٌ بحكمةٍ شيطانيةٍ وذلك حتى يجعلوا الناس كافةً يعلنون الحرب على الإسلام والمسلمين بسبب هذا الحديث لأنهم سوف يقولون: "إذا لم نقضِ عليهم فحتماً سوف يجبروننا على الدخول في دينهم ويجبروننا أن نصلي صلاتهم ونصوم صيامهم أو يسفكون دماءنا وينهبون أموالنا ويسبون نساءنا وأطفالنا". فتلك هي الحكمة الخبيثة من افتراء هذا الحديث، وليس إلا لتوحيد الكفار على حرب المسلمين. ولم يفقه الرواة مكر هذا الحديث الشيطاني.

وعلى كل حالٍ، نحن لا نطعن في أيٍّ من رواة الاحاديث عن النَّبيّ؛ بل يأخذها الإمام المهديّ ناصر محمد فيعرضها على محكم كتاب الله القرآن العظيم ثم ننسف المفترى منها بمحكم القرآن العظيم نسفاً ولا نبالي. وليس للإمام المهديّ على علماء المسلمين غير شرط واحد فقط هو أن يقبلوا الله هو الحَكَمُ بينهم فيما كانوا فيه يختلفون لأنّه ليس على الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني إلا أن يستنبط لهم حكم الله بينهم من محكم القرآن العظيم فإذا لم أفعل فلست الإمام المهديّ المنتظر ناصر محمد فذلك بيني وبينكم.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
__________________

ملاحظة: إلى كافة الأنصار السابقين الأخيار العاملين على نشر الدعوة المهديّة الليل والنّهار وهم لا يسأمون، عليكم بتبليغ هذا البيان ما استطعتم في مواقع البشر وبكل حيلةٍ ووسيلةٍ لأهميته الكبرى.

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..