من الإمام المهديّ إلى القول الصواب وفصل الخطاب ..


Kutoka Kwa Al'Imam Al'Mahdi Kwa Kauli Ya Sawa Na ufafnuzi wa khutba






Alimam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
12 - 11 - 1437 هـ
15 - 08 - 2016 مـ
04:09 مساءً
ــــــــــــــــــــ




من الإمام المهديّ إلى القول الصواب وفصل الخطاب ..


اقتباس المشاركة الأصلية كتبت بواسطة الوصابي مشاهدة المشاركة
يتسائل الإمام المهدي وانصاره كثيرا ماذا ينتظر الزعيم اكثر مما يجري من سفك للدماء بالمئآت يوميا شباب وشيوخ واطفال ..
حير الزعيم العالم وحير المهدي وانصاره من تصرفاته .......





Kutoka Kwa Al'Imam Al'Mahdi Kwa Kauli Ya Sawa Na ufafnuzi wa khutba





Nukulu ya kushiriki asili imeandikwa kwa njia ya Alwasabi kuangalia kushiriki
analizza Al'Imam Al'Mahdi Na Ma Anssar Wake mra nyingi nini anacho kingoja Al'Za3im zaidi kuliko kinacho tendeka kutokana na umwagaji damu kwa ma mia kila siku vijana na waze na watoto anashangaza Al'Za3imulimwengu na anamshngaza Al'Mahdi na Ma Anssar wake kutokamana na anavo fanya






Bismillah Al'Rahman Al'Rahim,Na Sala Na Salamu Ju Ya Muhammad Mtume Wa Allah Na Wote Manabi Na Muminina Wote Katika Kila Zama Na Mahali Mpaka Siku Ya Diin..




Na Ewe MpenZi Kwajili Ya Allah Ahmad Al'Wassabi Na Wote Ma'Alanssar Al'Sabikina Al'Akhyar, Na Towa Qasam Bi'llah Al'Wahid Al'Qahar Kuwa Mimi Sina Mshangao Wowote Kuhusu Jambo La Ali Abd'Allah Saleh, Na Kwanini Ni shangae Na Habari Niko Nayo Kutoka
Kwa Mola Mlezi Wangu Imergelea Mara Nane Katika Muda Tafauti Wa Miyaka Kuminambili Kuwa Hakika Yule Ambae Atanikabidhi Uongozi Wa Yaman Ni Rais Ali Abd'Allah Saleh, Na Kwanini Inishike Kushanga Kulingana Na Fatwa Yako? Kama Kwamba Yeye Ndio Ameni'Ahidi Kwa Hayo Alafu Amekhalifu Ahdi Yake; Bali Allah Ameni Ahidi Kwa Hayo Subhana Allah Al3adhim!




Na Towa Qasam Bi'Llah Al3adhim Sishuku Kwa Hayo Uzito Wa Tungu Kwakuwa Allah Atatimiza Jambo Lake Na Wla Hakuna Kinacho Rudisha kadara Yake Katika Kitabu Kilo Andikwa Mbali Kwa Yale Anayo Yafanya Ali Abda'Allah Saleh Na Siyasa Yake Hli Jambo Lamhusu Yeye, Na Sina Mawasiliano Yoyote Na Yeye Kwakuwa Sitafuti Utawala; Bali Allah Ndio Ata'Mlazimisha Na Ma'Viyam Vote Kuwa Suluhisho La Kadhia Ya Kiyamani Na Vita Vote Va Kimadh'Hebu Katika Mataifa Kwenye Zama Za Kutumilizwa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Ni Kukiri Kwa Khalif Wa Allah Katika Dunia I Azuwie Umwagaji Damu Ya Waislamu Na Makafiri Na Kumaliza Ufisadi Katika Ardhi Na Kuzuwia Umwagaji Damu Badhi Yao Ju Ya Badhi, Na Ya Kwanza Ni Kuleta'Suluhisho La Kadhiya Ya Yaman, Na Mpaka Sasa Naendelea Kutangaz Kuchallenge Kwa Kudra Ya Allah Kuwa Hawapate Suluhisho Ina'Mpa Dhamna Ya Usalama Kwa Viyama Vote Na Raiya Wa Yaman Na Sio Ila Kumkabidhi Uongozi Kwa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani, Na Ikiwa Sivo Basi Hato'Wazidishia Allah Ila Adhabu Na Kuzidi Kumalizana Kwa Kumwaga Damu Badhi Yao Ju Ya Badhi Ama Awazidishe Adhabu Kutoka Kwake Kwa Alama Kutoka Mbonguni Inabaki Mashingo Yao Kwa Utisho Wake Yanenyekea Kwa Khalifa Wa Allah Katika Dunia Na Kuhukumu kwa Kitabu Challah Allah Na Sunna Za Mtume Wake Za Kweli.




Na Lakini Kwa Maskitiko hakika ya Ba'adhi Wa Ma'Alanssar Mpindi Nikismama Muda Kidogo Kwa Kuandika Bayana Impya inawapata Mshangao Ama Wadhani Mimi Niko Kwene Kushanga Na Jambo; Bali Kwajili Ya Hikma Kubwa Hamuna Ilmu Nayo,Na Nawacha Watafiti Wote Waoni Akisadikisha Allah Kwa Bayana Ya Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Za Kweli Kwenye Waki Alhakiki Katika Kila Kitu Huwenda Kwa Waislamu Ikafanya kitu ukumbusho,Kwa Kuwa Kusadikisha Bayana Ni Miujiza Kutoka Kwa Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu Na Ni Alama Kwao Huwenda Wakakumbuka Kabla Haijawapata Adhabu Kutoka Kwake, Na Wala Hakhalifu Allah Magano Yake Kwa Yale Tunao Wandikia Kutokana Na Mahabari Kabla Haijatokea Kwenye Waki Na Tunaifafanuwa Ufafanuzi Mkubwa Katika Ma'Bayana Tafauti, Na Zuwia Ama Kutaja Ba'Adhi Yake Sababu Wasije Kudhani Kwao Ba'Adhib Ya Ma'Viyama Ju Yangu Bila Haki Kuwa Mimi Naiunga Chama Fulani Ama Najionga Nayo Na Najilinda Kwa Allah Kujiunga Na Ma'Viyama Yale Ambao Mumikuwa Kwasababu Yake Ba'Ada Kuamini Kwenu Mumikuwa Makafiri Enyi Ma3ashara Ya Waislamu Enyi Munao Piga Mashingo Badhi Ju Ya Badhi .




Na labda Anataka Moja Wa Wanazuoni Wa Waislamu katika viongozi Wa Ma'Vyama Kutaka Kusema:"Na Je Hi Ni Fatwa Kwako Ewe Nasser Muhammad Al'Yamani Kuwa Ma Viyama Va Kislamu Wale Ambao Wana'Uwana badhi Yao Ju Ya Badhi Wamekuwa Makafiri Wamirtadi Katika Dini? "'Na Alafu Narudisha Kwa Ma'Viyama Bali Na Wafawasi Wao Wote Na Nasema:Allahuma'Ndio, Pindi Mukikanusha Kwa Ulinganizi Wa Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah Na Suna Ya Mtume Wake Ya Kweli basi HioYamanisha Kuwa Nyinyi Mumirtadi".


Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabi Al3alamin..


Ndugu Yenu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al,Yamani.
__________


Read more: [COLOR=#0000ff]https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=27997]