Sun, Jun 4, 2017 at 10:28 PM


[{(Ma'Bayana Ya Al'Imam Katika Hukmu Ya Wudhu Na Swala Na Wakati Wake)}]
- 1 -
الإمام ناصر محمد اليماني
02 - 11 - 1430 هـ
21 - 10 - 2009 مـ
03:50 صباحاً
ــــــــــــــــــ

Bayana Ya Sala Zote Na Rakaa Zake Kutoka Muhkam Al'Quran Al'3Adhim ...

Bismillah Al'Rahman Al'Rahim,Subhana Rabika Rabi Al3iza Ama Yasifun,Wasalamon Ala Al'Mursalin,Wa Alhamdulillah Rabi Al3alamin ..

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ ﴿1﴾ خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ ﴿2﴾ اقْرَأْ وَرَبُّكَ الْأَكْرَمُ ﴿3﴾ الَّذِي عَلَّمَ بِالْقَلَمِ ﴿4﴾ عَلَّمَ الْإِنسَانَ مَا لَمْ يَعْلَمْ ﴿5﴾} صدق الله العظيم [العلق].

Allah Ta3ala Asema:{Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba(1)Amemuumba binaadamu kwa tone la damu(2)Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!(3)Ambaye amefundisha kwa kalamu(4)Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui(5)}Sasaqa Allah Al3adhim[Al'3alaq]

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {ن وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ} صدق الله العظيم [القلم:1].
{Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo}Sadaqa Allah Al3adhm:[Al'Qalam:1]

Na Akasema Allah Ta3ala:

وقال الله تعالى: {الرَّحْمَـٰنُ ﴿1﴾ عَلَّمَ الْقُرْآنَ ﴿2﴾ خَلَقَ الْإِنسَانَ ﴿3﴾ عَلَّمَهُ الْبَيَانَ ﴿4﴾} صدق الله العظيم [الرحمن].
Allah Ta3ala Asema:{Al'Rah'man, Mwingi wa Rehema(1)Amefundisha Qur'ani(2)Amemuumba mtu(3)Akamfundisha kubaini(4)}Sadaqa Allah Al3adhim[AlRahman]

Na Enyi Wasmamizi Wa Tovuti Ya Ulimwingu Ya Mazungumzo Baina Ya Watu haijuzu kwenu kuficha bayana Ya Haki Ya Al'Quran Iliyo Hivadhiwa Kutokana Na Kuwekwa Maherufu Kwajili Ya kubalighisha Wote Wanazuoni Wa Waislamu Na Manasara Na Mayahudi Kwamba Wajibu Ombi La Mazungumzo Na Al'Imam Al'Mahdi Kwa Kuhukumu Kwa Al'Quran Al'3adhim Ya Ukumbusho Ambao Imihifadhiwa Na Kuongezwa Maherufu Ujumbe Wa Allah Kwa Wote Binadamu Kwa Yule Atakae Awe Na Istikama Ba'ada Ishabainika Kwao Kuwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kweli Amewazidi Kwa Utawala Wa Ilmu Kutoka Muhakam Ya Al'Quran Kwa Wote wanazuoni wa waislamu Na Mayahudi Na Manasara Kwenye Meza Ya Mazungumzo Ya Ulimwengu Kwa Binadamu Wote(Tovuti Ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani),Na Mukumbuke Kauli Ya Allah Ta3ala:
وتذكّروا قول الله تعالى:
{إِنَّ الَّذِينَ يَكْتُمُونَ مَا أَنزَلْنَا مِنَ الْبَيِّنَاتِ وَالْهُدَىٰ مِن بَعْدِ مَا بَيَّنَّاهُ لِلنَّاسِ فِي الْكِتَابِ ۙ أُولَـٰئِكَ يَلْعَنُهُمُ اللَّـهُ وَيَلْعَنُهُمُ اللَّاعِنُونَ ﴿159﴾ إِلَّا الَّذِينَ تَابُوا وَأَصْلَحُوا وَبَيَّنُوا فَأُولَـٰئِكَ أَتُوبُ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنَا التَّوَّابُ الرَّحِيمُ ﴿160﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika wale wanao ficha tuliyo yateremsha -- nazo ni hoja zilizo wazi na uwongofu baada ya Sisi kuzibainisha kwa watu Kitabuni -- hao anawalaani Mwenyezi Mungu, na wanawalaani kila wenye kulaani(159)Ila wale walio tubu na wakatengeneza na wakabainisha, basi hao nitapokea toba yao, na Mimi ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu(160)}Sadaqa Allah Al'3adhim[Albaqara].

Kutoka Kwa"Al'Insan" Mtu Ambae Amefundishwa Na Al'Rahman Al'Bayan Ilio Andikwa Kwa Kalamu katika Kartasi Ilio tarifiwa Kunushuriwa; Kutoka Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Wote Wanazuoni Wa waislsmu Na Waislamu wote Alsalam Alekom Warahmatu Allah Wabarakatuhu..

Ala Wallah Ambae Hapana Mola Ispokuwa Yeye Lau Ataweka Kwa Watu Wa Ilimu Katika Nyinyi Al'Mahdi Al'Muntadhar Suali Na Niseme: Niambieni Je Munamsubiri Al'Mahdi Al'Muntadhar Amtumilize Allah Kwenu Ni Nambi Mpya ? Basi Jibu Lenu Litakuwa Moja Kwa Pamoja kama Ambao Mwatamka Kwa Ulimi Moja Na Mutasema:"Hapana Tena hapana ewe Unae'Dai Kuwa Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar,Hatotumiliza Allah Al'Mahdi Al'Muntadhar Nabi Mpya-Subhanahu- Igongane Maneno Yake Ilio Hifadhiwa Kutokana Na Kuongezwa Maherufu Katika Kauli Yake Allah Ta3ala:

في قوله تعالى: {مَا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِنْ رِجَالِكُمْ وَلَكِنْ رَسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ وَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا} صدق الله العظيم [الأحزاب:40
Allah Ta3ala Asema:{Hakuowa Muhammad Baba Wa Yoyote Katika Wanaume Wenu Ispokuwa Ni Mtume Wa Allah Na Khatim Wa Manabi Na Hakika Allah Kwa Kila Kitu Anajuwa}Sadaqa Allah Al3adhim[Alahzab:40].Kwajili Ya Hivo Sisi Twamsubiri Al'Mahdi Al'Muntadhar Nassera Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam,

Alafu Niwaweke Suwali Lingine Niseme: Na Nini Munakusudiya Kuwa Muna'Msubiri Al'Mahdi Al'Muntadhar Nassera Muhammad? Alafu Litakuwa Jibu Lenu Moja Kwa Pamoja Mutasema:"Tunakusudia Kuwa Allah Hatoleta Al'Mahdi Al'Muntadhar Ni Nabi Mpya Kwa Kitabu Kipya Bali atamtumiliza Nasser'an Li Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam,Na Haitakiwi Kwake Atuhuji Ila Kwa Yale Alio Kuja Nayo Muhammad Sala Allahu Alyhi Wa Alihi Wa salam". Na Alafu Anawambia Nyinyi Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad; Wallahi Yule Ambae Hapana Mola Ila Yeye Wala Mwenye Kuabudiwa Ispokuwa Yeye Mimi Ndio Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Na Amelifanya Mola Wangu Mlezi Kwenye Jina Langu Habari Yangu Na Bendera Ya Jambo Langu(Nasser Muhammad),Na Akalifanya Allah Jina Langu Katika Kadara Ilio Kadiriwa Katika Kitabu Kilio Andikwa Kutoka Nilipo Kuwa Mchanga Nikilelewa(Nasser Muhammad), Na ikaja kadara ya kuwafikiyana(Altawatu) Katika Jina Langu Na Jina La Muhammad-Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam-Katika Jina la babangu((Nasser Muhammad)),Na Kwa Hayo Inatimia Hikma Ya((Al'Tawatu))Kuwafikiana Kwenye Jina La Muhammad Na Jina La Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Ili Ibebe Jina Habari Na Bendera Ya Jambo,Kwajili Ya Hivo Hatomtuma Allah Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Kitabu Kipya Kwasababu Hakuna Atakae Tumwa Ba'Ada Ya Mwisho Wa Manabi Na mitume Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa salam, Bali Amenitumiliza Allah Nasser'an Li Muhammad Sallah Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Ndio Niwalinganie Na Watu Wote Kwa Kushikamana Kwa Yale Alio Kuja Nayo Muhammad Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam. Na Niwalinganie Kwa Yale Alio Walingania Babu Yangu Muhammad Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Kuwa La Illaha Ila Allah Pekeyake Hana Mshirik, Na Niwahoji Kwa Ile Alio Wahoji Watu Babu Yangu Muhammad-Sala Allahu Aleyhi Wa Aliihi Wa Salam-Al'Quran Al3adhim, Na Niwaite Ku Wahukumu Nayo Kwa Yale Munaoa Ikhtalifiyana Ndani Yake Basi Niwatole kwa undani Istinmbat Hukmu Ya Allah Ya Haki Katika Muhakam ya Kitabu Chake Al3aziz Ambo Haiji Batil Kuherufisha Mbele Ya mikono yake Kwenye Zama Za Muhammad-Sala Allahu Aleyhi Wa Alehi Wa Salam-Wala Nyuma Yake Bada Kufa Kwake, Na Akaihifadhi Kutokana Na Kuengezwa Maherufu Allah Akaifanya Ndio Maregeo Ya Wanazuoni Wa Dini Kwa Yale Wanao Ikhtaliafiana Ndani Yake, Kwajili Ya Hivo Nawalingania Kwa Allah Awahukumu Kwa Yale Munao Ikhtalifiana Ndani Yake Na Hakuna Kitu Ju Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Ila Awatole Kwenu Istinmbat Kwa Undani Hukmu Ya Allah Ya Haki Kutoka Kwa Muhakam ya Kitabu Chake Kwa Yale Munao Ikhtalifiana Ndani Yake Kwa Sharti Kutabkisha(Al'Namus)Shariya Ili Kukashifu Hadithi Zilio Shindiliwa Na Zilio Herufiwa Kwenye Al'suna Al'Nabawia, NA HIVO Kwajili Ya Hadithi Za Al'Sunna Al'Nabawia Hivo hivo Zatoka Kutoka Kwa ALLAH Ili Izidishe Al'Quran Bayana Kwa Ulimi Wa Muhammad Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Lakini Allah Amewapa Fatwa Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Kuwa Haku'Ahidi Atahifadhi Hadithi Za Al'Sunna Al'Nabawia Kwa Kuherufiwa Na Kuzawiriwa Kwajili Ya Hivo Amewamuru Allah Mutabikishe(Alnamus)Sharia Katika Kitabu Ili Kukashifu Hadithi Zilio Bandikwa Na Zilio Ni Urongo Makdhuba Katika Al'Sunna Alnabawiya Na Amewafundisha Allah Katika Kitabu chke Al3aziz Kuwa Yale Mutapata Kwa Ma'Hadithi Al'nabawi Yamekuja Kinyume Na Muhakam Kitabu Allah Al'Quran Al3adhim Basi Amewapa fatwa Allah Kuwa Hio Hadithi Ilio Kuja Imekhalifu Muhakam kitabu Allah Al'Quran Basi Hio Hadithi Yatoka Sio Kwa Allah Na Mtume Wake Bali Ni kutoka kwa Alshetn Ili Awazuwie Kwa Sirat Al'Mustakim Kwa Njiya Ya Waumini Wanafik Katika Masahaba Wa Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa salam Wale Walio Kuja Mbele Ya Mikono Yake Muhammad Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Na Wakasema: Tumetowa Shahada Kuwa La Illaha Ila Allah Na Twatoa Shahada Kuwa Muhammad Rasul Allah, Waka Dhirisha Imani Wakaficha Ukafiri Ili Wawe Ni Katika wanao tow Hadithi Wakazuwia Njiya Ya Allah,Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {إِذَا جَاءَكَ الْمُنَافِقُونَ قَالُوا نَشْهَدُ إِنَّكَ لَرَسُولُ اللَّـهِ ۗ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ إِنَّكَ لَرَسُولُهُ وَاللَّـهُ يَشْهَدُ إِنَّ الْمُنَافِقِينَ لَكَاذِبُونَ ﴿1﴾ اتَّخَذُوا أَيْمَانَهُمْ جُنَّةً فَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ۚ إِنَّهُمْ سَاءَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿2﴾} صدق الله العظيم [المنافقون].
Allah Ta3ala Asema:{Wanapo kujia wanaafiki husema: Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu anashuhudia ya kuwa hakika wanaafiki ni waongo (1) Wamevifanya viapo vyao ni kinga,Ili Wazuwie kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni mabaya kabisa waliyo kuwa wakiyafanya (2)} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Munafiqin].

Na Alafu Amewajulisha Allah Vipi Wanavo Zuwia Kwa Njiya Ya Allah, Na Aka'Wabainishia katika Muhakam Ya Kitabu Chake Njiya Ya Vitimbi Vao, Akawabainishia Nyinyi Sababu Ya Kuamini Kwo Dhahir Ya Jambo Ili Wawe Ni Katika Wanao'Towa Ma Hadithi Ya Alnabawia Ndio Wawazuwie Waislamu Kwa Njiya Ya Al'Suna Ambao Hakuahidi Allah Kuhifadhi Kwa Tahrif, Kwajili Ya Hivo Wanasema Tu'Tatii Kwa Allah Na Mtume Wake Na Wanahudhuria Vikao Va Hadithi Ya Bayana Ya Al'Sunna Al'Nabawiya Ili Wawe Katika Wanao'Towa Hadithi,Akasema Allah Ta3ala:

وقال الله تعالى:
{مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ۖ وَمَن تَوَلَّىٰ فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظًا ﴿80﴾ وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّـهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّـهِ وَكِيلًا ﴿81﴾ أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّـهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا ﴿82﴾ وَإِذَا جَاءَهُمْ أَمْرٌ مِّنَ الْأَمْنِ أَوِ الْخَوْفِ أَذَاعُوا بِهِ ۖ وَلَوْ رَدُّوهُ إِلَى الرَّسُولِ وَإِلَىٰ أُولِي الْأَمْرِ مِنْهُمْ لَعَلِمَهُ الَّذِينَ يَسْتَنبِطُونَهُ مِنْهُمْ ۗ وَلَوْلَا فَضْلُ اللَّـهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُهُ لَاتَّبَعْتُمُ الشَّيْطَانَ إِلَّا قَلِيلًا ﴿83﴾}
صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:{Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao (80) Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha (81) Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi (82) Na linapo wafikia jambo lolote lilio khusu amani au la kitisho wao hulitangaza. Na lau kuwa wangeli lipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kati yao, wale wanao chunguza wangeli lijua. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake mngeli mfuata Shet'ani ila wachache wenu tu(83)}Sagaqa Allah Al3adhim[Alnisa].


Na Kwenye Hizi Aya Ambao Ni Muhakamat Amebainisha Allah Kwenu Bayana ya haki kwenye kauli Yake Allah Ta3ala:
اتَّخَذُوا أَيْمَانَهُمْ جُنَّةً فَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّهِ إِنَّهُمْ سَاءَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ} صدق الله العظيم [المنافقون:2]

Asema Allah Ta3ala:{Wamefanya Viapo Vao ni kinga,Ili Wazuwie kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni mabaya kabisa waliyo kuwa wakiyafanya (2)} Sadaqa Allah Al3adhim[Almunafiqun], Akawafundisha Njiya Ya Kuzuwia Kwao:
وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِنْدِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ} صدق الله العظيم}
Allah Ta3ala Asema:{Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema}Sadaqa Allah Al3adh,
Akamfundisha Allah Mtume Wake Na Waumini Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Al'Quran Al3adhim Wale Ambao Wamedhirisha Imani Wakaficha Ukafiri Na Vitimbi,Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِنْدِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ وَاللَّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ}
Akasema Allah Ta3ala:{Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku}Sadaqa Allah Al3adhim, Lakini Allah Haku'Mamuru Nabi Wake Kuwakashifu Na Kuwafkuza Bali Ame'Mwamuru Nabi Wake Akasema:
وقال: {فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ وَكَفَى بِاللَّهِ وَكِيلًا} صدق الله العظيم.
Allah Ta2ala Asema:{ Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha}Sadaqa Allah Al3adhim,

Alafu Akabainisha Allah Hikma Kwa Kuto Wafukuza Ili Angalie Nani Hao Ambao Watashikiliya Maneno Ya Allah Na Nani Hao Ambao Watakanusha Maneno Ya Allah ilio Hifadhiw Al'Quran Al3adhim Alafu Wanaiwacha Nyuma Ya Migongo Yao Alafu Wanashika Maneno Ya AlShetan Alrajim Ile Ambao Wanaipata Baina Yake Na Baina Ya Muhakam Al'Qura Al3adhim Khitilafu Kubwa, Na Kwajili Ya Hivo Allah Ame'Wafundisha Alnamus Ili Kuzikashifu Ma Ha'Dithi Za Uzushi Za Al'Suna Al'Nabawiya, Akawafundisha Allah Kuwa Yale Yanao Enea Kwenu Ina Ikhtilaf Baina Yenu Katika Mahadithi Al'Nabawia Basi Amewamuru Kuwa Muhukumiane Kwenye Muakam Al'Quran, Basi Ikiwa Hio Hadithi Ya Al'Suna Al'Nabawia Imekuja Sio Kutoka Kwa Allah Basi Mutakuta Baina Yake Na Baina Ya Muhakam Al'Quran Al3adhim Ikhtilafu Nyingi Sana Kwa Sababu Haki Na batili Daima Ni Kinyume Yanatafautiana, Kwajili Ya Hivo Amefanya Allah Al'Quran Al3adhim Ndio Maregeo Na Ndio Hakimu Kwa Yale Munao'Ikhtalifiana Ndani Yake Katika Ma Hadithi Ya Al'Suna Al'Nabawia,Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ۖ وَمَن تَوَلَّىٰ فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظًا ﴿80﴾ وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّـهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّـهِ وَكِيلًا ﴿81﴾ أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّـهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا ﴿82﴾} صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:{Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao (80) Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha (81) Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi (82)}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnisa].

Na Pindi ikija Kwa Waumini

{أَمْرٌ مِنَ الْأَمْنِ}{Amri Katika Usalama} Yani Kutoka Kwa Allah Na Mtume Wake Kwajili Mwenye kumtii Allah Na Mtume Wake Basi Atapata Usalama Kutokana Na Adhabu Ya Allah Duniani Na Atakuja Siku Ya Kiyama Amesalimika Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {إِنَّ الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي آيَاتِنَا لَا يَخْفَوْنَ عَلَيْنَا ۗ أَفَمَن يُلْقَىٰ فِي النَّارِ خَيْرٌ أَم مَّن يَأْتِي آمِنًا يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۚ اعْمَلُوا مَا شِئْتُمْ ۖ إِنَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ ﴿40﴾ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا بِالذِّكْرِ لَمَّا جَاءَهُمْ ۖ وَإِنَّهُ لَكِتَابٌ عَزِيزٌ ﴿41﴾ لَّا يَأْتِيهِ الْبَاطِلُ مِن بَيْنِ يَدَيْهِ وَلَا مِنْ خَلْفِهِ ۖ تَنزِيلٌ مِّنْ حَكِيمٍ حَمِيدٍ ﴿42﴾} صدق الله العظيم [فصلت].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika wale wanao upotoa ukweli uliomo katika Ishara zetu hawatufichikii Sisi. Je! Atakaye tupwa Motoni ni bora au atakaye kuja kwa amani Siku ya Kiyama? Tendeni mpendavyo, kwa hakika Yeye anayaona mnayo yatenda (40) Kwa hakika wanayo yakataa mawaidha haya yanapo wajia (wataangamia), na haya bila ya shaka ni Kitabu chenye nguvu na utukufu (41) Hautakifikia upotovu mbele yake wala nyuma yake. Kimeteremshwa na Mwenye hikima, Msifiwa(42)}Sadaqa Allah Al3adhim[Fusilat}

Na Ama Kauli Yake {أَوِ الْخَوْفِ} {Ama Hofu} Na Hio Ni kutoka Sio Kwa Allah, Na Hatopata Mwenye Kujiamini Nayo Kutokana Na Adhabu Ya ALLAH Mwenye Kukhalifu amri Ya Allah Na Mtume Wake.
Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَذَاعُوا بِهِ}{Wanaitangaza Nayo} Na Hawo Ni Wanazuoni Wa Umma Wale Watowaji Ma'Hadithi, Basi Poti Kati Yao Linasema Kua Hi Hadithi Ni Ya Haki Kutoka Kwa Allah Na Mtume Wake, Na Poti Lingine Linakanusha Na Linaleta Hadithi Inakhalifiana Na Hio, Alafu Akahukumu Allah Baina Yao Kua Wahukumiane Kwa Mtume Wake Ikiwa Bado Anazali Baina Yao Ama Kwa Wenye Amri Kati Ya Ma'Imam Wa Waislamu Ba'Ada kufa kwake Wale Allah Anawapa Ilimu Ya Bayana Ya Al'Quran Al3adhim Katika Wale Alio'Amuru Allah Kuwatii Ba'Ada Ya Mtume Wake Basi Ndio Wanawaletea Hukmu Ya Allah Baina Yao Kwa Yale Wanao Ikhtalifiana Ndani Yake Ndio Wana'Waistanmbatia Wao Hukmu Ya Allah Baina Yao Kutoka Muhkam Kitabu Chake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {وَمَا اخْتَلَفْتُمْ فِيهِ مِنْ شَيْءٍ فَحُكْمُهُ إِلَى اللَّهِ ذَلِكُمُ اللَّهُ رَبِّي عَلَيْهِ تَوَكَّلْتُ وَإِلَيْهِ أُنِيبُ} صدق الله العظيم [الشورى:10].
Allah Ta3ala Asema:,{ Na Ile Mulio ikhtalifiana Ndani Yake Katika Kitu Basi Hukumu Yake Kwa Allah Huyo Ndio Allah Mola Wangu Mlezi Kwake Nimetawakal Na Kwake Namlekea} Sadaqa Allah Al3adhim[Alshura:10].

Na Wala Juu Ya Wenye Amri Kati Yenu Ispokua Awe Atawa'istanmbatia Kwenu Hukumu Ya Allah Baina Yenu Kutoka Kwa Muhakama Ya Kitabu Chake Kwa Yale Muliokua Muna'ikhtalifiana Ndani yake, Yani Kua Allah Yeye Ndio Hakimu Baina Ya Wanao ikhtalifina Lakini Ma'Nabi Na Ma'Imamu Wa Haki Wana'Waletea Hukmu Ya Allah Kutoka Kwa Muhakama Ya Kitabu Chake Kwa Yale Mulikua Muna'Ikhatalifiana Ndani Yake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {أَفَغَيْرَ اللّهِ أَبْتَغِي حَكَماً وَهُوَ الَّذِي أَنَزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلاً} صدق الله العظيم [الأنعام:114].
Allah Ta3ala Asema:{Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi} Sadaqa Allah Al3adhim[Alan3am].

Na Huyo Hapo Al'Mahdi Al'Muntadhar Ame'Hudhuria Kwenye Kadara Yake Ambao Imekadiriwa Katik Kitabu Kime Andikwa Katika Zama Za Ikhtilafu Ya Wanazuoni Wa Waislamu Na Kutengana Kwao Kwa Ujama Na Ma'Ahizbu Na Kila Hizbu Kwa Walio'Nayo Wanafurahia, Na Ash'Hadu Ana La Ilaha Ila Allah, Na Ash'Hadu Ana Muhammad Rasul Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Na Ash'Hadu Kua Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Nawalingania Niwahukumu kwenye Kitabu Cha Allah Kwa Yale Mulio Kua Munaikhtalifiana Ndani Yake Enye Ma3ashara Ya Wanazuoni Wa Waislamu Na Ma'Nassara Na Ma'Yahudi, Basi Ameifanya Allah Al'Quran Al3adhim Ndio Muhaimin Inaotegemewa Na Ni Maregeo Yenu Kwa Yale Mulikua Munaikhtalifiana Ndani Yake, Na Inao Khalifu Muhakama Kitabu Allah Al'Quran Al3adhim Iwe Sawa Ni Katika Al'sunna Al'Nabawiya Ama Katika Al'Tawurat Ama Katika Al'Injil Basi Mujuwe Kua Inao Kuja Ime'Khalifu Muhakama Ya Kitabu Allah hizo Zote Kua Zimekuja Kutoka Kwa Sio Allah Kutoka Kwa Al'shetan Al'Rajim, Na Kwajili Ya Hivo Hatimu Mutakuta Baina Ya batili Na Baina Ya Muhakama Ya Kitabu Ambao Haiji Batil Baina Ya Mikono Yaka Wala Nyuma Yake Ikhtilafu Nyingi Ikiwa Nyinyi Kwa Al'Quran Al3adhum Munaamini, Basi Ameifanya Allah Ndio Maregeo Ya Haki Kwa Yale Munao Ikhtalifiana Ndani Yake Enye Ma3ashara Ya Ma'Nassara Na Ma'Yahudi Na Waislamu, Na Hakumfanya Allah Al'MahdI Al'Muntadhar Mzushi Bali Ni Mfwataji Wa Ulinganizi Wa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Kwenye Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah Kwa Yale Munao Ikhtalifiana Ndani Yake Enyi Waislamu Katika Ma'Umiyin Na Ma Nassara Na Ma'Yahudi, Na Hivo Ni Kwajili Nabi Wa Allah Mussa Na Issa Na Ma'Nabi Wote Wanalingania Kwenye Uwislamu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الإِسْلاَمُ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلاَّ مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآَيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ} صدق الله العظيم [آل عمران:19].
Allah Ta3ala Asema:{Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu} Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:19].

Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
وتصديقاً لقول الله تعالى: {أَفَغَيْرَ دِينِ اللَّـهِ يَبْغُونَ وَلَهُ أَسْلَمَ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ طَوْعًا وَكَرْهًا وَإِلَيْهِ يُرْجَعُونَ ﴿83﴾قُلْ آمَنَّا بِاللَّـهِ وَمَا أُنزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ ﴿84﴾ وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿85﴾} صدق الله العظيم [آل عمران].
Allah Ta3ala Asema:{Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa(83)Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake(84)Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri(85)} Sadaqa Allah Al3adhim[Alimran].

Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
وتصديقاً لقول الله تعالى: {وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقاً لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ الْكِتَابِ وَمُهَيْمِناً عَلَيْهِ فَاحْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللّهُ وَلاَ تَتَّبِعْ أَهْوَاءهُمْ عَمَّا جَاءكَ مِنَ الْحَقِّ لِكُلٍّ جَعَلْنَا مِنكُمْ شِرْعَةً وَمِنْهَاجاً وَلَوْ شَاء اللّهُ لَجَعَلَكُمْ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَـكِن لِّيَبْلُوَكُمْ فِي مَا آتَاكُم فَاسْتَبِقُوا الخَيْرَاتِ إِلَى الله مَرْجِعُكُمْ جَمِيعاً فَيُنَبِّئُكُم بِمَا كُنتُمْ فِيهِ تَخْتَلِفُونَ} صدق الله العظيم [المائدة:48].
Allah Ta3ala Asema:{Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana} Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida:48].

Na Burhan Ya Ulinganizi Wa Nabi Wa Allah Mussa Kwa Firaon Na Wana Wa Israil Nae Alikua Anawalingania Wao Kwenye Uwislamu Na Wale Walio Mfwata Nabi Allah Mussa Katika Bani israil Wamwanzo Alikua Waki'Itwa Waislamu Na Hivo Kwajili Ya Nabi Allah Mussa Analingania Uwislamu Kwajili Ya Hivo Amesema Firaon Pindi ilipo Mfikia Kuzam:
Amesema Allah Ta3ala:
قال الله تعالى: {حَتَّى إِذَا أَدْرَكَهُ الْغَرَقُ قَالَ آمَنْتُ أَنَّهُ لا إِلَهَ إِلَّا الَّذِي آمَنَتْ بِهِ بَنُوا إِسْرَائِيلَ وَأَنَا مِنَ الْمُسْلِمِينَ} صدق الله العظيم [يونس:90].
Allah Ta3ala Asema:{Mpaka Pindi ilipo Mfikia Kuzama Akasema Nimiamini Kua Hapana Mola Ila Yule Waloamini Wana Wa Israil Na Mimi Ni Katika Waislamu}Sadaqa Allah Al3adhim [Yunis:90].

Na Hivo Ni Kwajili Allah Amemtumiliza Mtume Wake Mussa-Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa salam-ili Alinganie Al'Firaon Na Wana Wa Israil Kwenye Dini Ya Uwislamu Al'Hanif Ya Ukweli Na Haki, Na Kadhalika Ametumiliza Allah Mtume Wake Daud Na Nabi Wake Suleman ili Walinganie Watu Kwenye Uwislamu, Kwajili Ya Hivo imekuja Katika Khutba Ya Nabi Wa Allah Suleiman Kwa Malikia Sheba Na Kaumu Yake,Akasema Allah Ta3ala:
قال الله تعالى: {إِنَّهُ مِن سُلَيْمَانَ وَإِنَّهُ بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ ﴿30﴾ أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ﴿31﴾} صدق الله العظيم [النمل].
Allah Ta3ala Asema:{Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu(30)Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye Kua Waislamu (31)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnaml].

Na Kadhalika Amemtumiliza Mja Wake Na Mtume Wake Isaa Mwna Wa Maryam- Sala Allahu Aliyhi Wa Ala Umihi Wa Al'imran Al'Mukramin Wasalim Tasliman Kathiran- Ili Awa'Linganie Wana Wa israil Kwa Uwislamu, Kwajili Ya Hivo Wanaitwa Hivo Wenye Kufwata Nabi Wa Allah Issa Kua Ni Waislamu, Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَلِأُحِلَّ لَكُم بَعْضَ الَّذِي حُرِّمَ عَلَيْكُمْ ۚ وَجِئْتُكُم بِآيَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ فَاتَّقُوا اللَّـهَ وَأَطِيعُونِ ﴿50﴾ إِنَّ اللَّـهَ رَبِّي وَرَبُّكُمْ فَاعْبُدُوهُ ۗ هَـٰذَا صِرَاطٌ مُّسْتَقِيمٌ ﴿51﴾ فَلَمَّا أَحَسَّ عِيسَىٰ مِنْهُمُ الْكُفْرَ قَالَ مَنْ أَنصَارِي إِلَى اللَّـهِ ۖ قَالَ الْحَوَارِيُّونَ نَحْنُ أَنصَارُ اللَّـهِ آمَنَّا بِاللَّـهِ وَاشْهَدْ بِأَنَّا مُسْلِمُونَ ﴿52﴾رَبَّنَا آمَنَّا بِمَا أَنزَلْتَ وَاتَّبَعْنَا الرَّسُولَ فَاكْتُبْنَا مَعَ الشَّاهِدِينَ ﴿53﴾} صدق الله العظيم [آل عمران].
Allah Ta3ala Asema:{Na ninasadikisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na ili nikuhalalishieni baadhi ya yale mlio harimishiwa, na nimekujieni na Ishara kutokana na Mola Mlezi wenu. Kwa hivyo mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi(50)Hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi na ni Mola wenu Mlezi. Basi muabudni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka(51)Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu(52)Mola wetu Mlezi! Tumeyaamini uliyo yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike pamoja na wanao shuhudia(53)} Sadaqa Allah Al3adhim[Alimran].

Na Vile Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Kwa Mola Wenu Mlezi Nasadikisha Yalio Baina Ya Mikono Ya AL'Tawurat Na Al'Injil Na Al'Quran Nawalingania Kwa Yale Aliwalingania Nayo Nabi Wa Allah Mussa Na Daud Na SuleimaN Na Al'Masi7h Issa Mwana Wa Maryam Na Muhammad Mtume Wa Allah- Sala Allahu Aleyhim Kulihim Ajmain Wa Salim Tasliman Kathiran- Kwenye Dini Ya Kislamu Alhanif Na Mwenye Kutaka Mbali Na Uwislamu Dini Basi Haitokubaliwa Kwake Na Yeye Akhera Ni wenye kuhasirika, Na Nawalingania Kwenye Neno La Sawa Baina Yetu Na Baina Yenu Kua Hapana Mola Ispokuwa Allah Pekeyake Hana Mashirika Na Yeye Basi Tusiabudu Pasi Na Yeye Basi Tusimombe Mussa Wala Uzeyr Wala Almasi7h Issa Mwana Wa Maryam Wala Muhammad Pasi Na Allah Sallah Allahu Aleyhim Wa Awuliyaihim Wasalim Tasliman Kathiran Na Niwambie Nyinyi Yale Alio Niamuru Allah Niwambie Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim
{قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَى كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِنْ دُونِ اللَّهِ فَإِنْ تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ} صدق الله العظيم [آل عمران:64].

Allah Ta3ala Asema:{Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya Kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu} Sadaqa Allah Al3adhim[Alimran:64].

Na Enye Ma3ashara Ya Waislamu Al'Umiyin Wafwasi Wa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Na Kiyasi Gani Amewa'Hadharisha Allah Enyi Ma3ashara Ya Ma'Shia Na Ma'Sunni Kua Musifwate Ma'Hadithi Na Mapokezi Ambao imezushwa Ju Ya Nabi Wake Kutoka Kwa Al'Taqhut Kwa Ulimi Wa Mawali Wake Ambao Ni Wanafik Katik Maswahaba Wa Mtume Wa Allah-Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam-Basi Walikua Wana'Dhihirisha imani Ili Waonekane Ni Miongoni Mwao Na Wala Sio Miongoni Mwao Bali Ni Ma'Swahaba Wa Al'Shetan Al'Rajim Wale Ambao Walijitia Baina Ya Maswahaba Wa Mtume Wa Allah Wa Haki, Basi Ni Kiyasi Gani Mulifwata Mengi Katika iftira Zao Uzushi Wao Enye Ma3ashara Ya Wanazuoni Wa Ma'Sunni Na Wa Ma'Shia !
Wakawapa Fatwa Kua Nyinyi Ndio Wenye Kumstafu Kumteua Khalifa Wa Allah Katika Kadara Yake ilio Kadiriwa Kwenye Kitabu Kilio Andikwa, Na Hakika Nyinyi Na Wao Ni Warongo, Wala Haikuwa Kwa Malaika Wa Al'Rahman Walio Karibishwa Wa Haki kustafi kumteua Khalifa Wa Allah Katika Ardhi, Na Vipi Itakua Nyinyi Muna Haki Enye Ma3ashara Ya Ma'Shia Na Ma'Sunni? Na Ama Ma'Shia Basi Wamem'teua Kabla Ya Zaidi Ya Miyaka Alfu Na Wakampa Hukumu Na Yeye Ni Mtoto ,Na Ama Ma'Sunni Wame'Mharamisha Al'Mahdi Al'Muntadhar Pindi Akitokezea Asiseme Kuambie Wao Kua Yeye Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Khalifa Wa Allah Ambae Amemteua Allah Juu Yao Na Akamzidisha Zaidi Katika ilmu Alkitab Akamfanya Ndio Hakimu Baina Yao Kwa Haki Kwa Yale Walio Kua Wanaikhtalifiana Ndani Yake Ndio Awaite Kuwahukumu Kwenye Ukumbusho Ambao Ulio Hifadhiwa Kutokana Na Tahrif Kuongeza Ama Kupunguza Maherufu.

Na Haikua Jibu La Ambae Amem'Dhihirishia Allah Juu Ya Jambo Langu Katika Ma'Shia Na Ma'Sunni Katika Meza Ya Mazungumzo Ya Ulimwengu Ispokua Anasema:"Hakika Wewe Ni Mrongo Mwenye Shari Wala Sio Al'Mahdi Al'Muntadhar Bali Sisi Ndio Wenye Kum'istafi Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Watu Bali Tutamlazimisha Kwa Beyaa Na Yeye Mnyonge". Na Alafu Anarudisha Kwao Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Mola Wao Mlezi Na Nasema: Natoa Qasam Billah Al3adhim Al'Rahman kwenye Arshie Amestawi Hakika Nyinyi Muko Katika Zama Za Mazungumzo Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Kabla Ya Kudhihiri kwenye Kadara Yake Ilio Kadiriwa Kwenye Kitabu Kilio Andikwa Kabla Kupita Sayari ya Saqar, Sema Leteni Burhani Yenu Ikiwa Nyinyi Ni Katika Wakweli, Na Mume'istafi Mumi'mteua Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Mola Wenu Ikiwa Nyinyi Ni Katika Wakweli; Sharti Kua Mumpe ilimu Ya Kitabu Dhahiri Yake Na Ndani Yake Ili Aweze Kuhukumu Baina Yenu Kwa Yale Munao'Ikhtalifiana Ndani Yake, Basi Ham'tomjadili Katika Al'Quran Ila Atawashinda Kwa Haki ikiwa Nyinyi Ni Wakweli, Na Ikiwa Hamtofanya Na Wala Hamto Fanya Basi Mujuwe Kua Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar WA Haki Kutoka Mola Wenu Mlezi Hajani'Chaguwa Jibril Wala Mikail Wala Ma'Alsunna Wala Ma'Alshia Bali Ameniteua Khalifa WA Allah Katika Ardhi Yule Ambae Amemchagua Khalifa Wake Adam; Hakika Yeye Allah Malik Almulk Anampa Mulki Ambae Anamtaka, Basi Sio Nyinyi Ambao Munao Gawanya Rahma Ya Allah Enyi Ma3ashara Ya Ma Shia Na Ma Sunni Wale Ambao Iliwapoteza Ma'Hadithi Za Uzushi Na Mariwaya Upotevu Mkubwa Na Mukazishikilia Nazo Sio Kutoka Kwa Allah Bali Ni Kutoka Kwa Taghut, Na Mfano Wenu Kama Mfano WA buibui ( spider) amejifanyia Nyumba Na Nyumba duni Dhaifu Ni Nyumba Ya Buibui, Hivi Lakini Hamuwi Wacha'Mungu? Bali Amewa'Amuru Allah Mushikilie Kamba Inao'Aminika ilio Hifadhiwa Kutokana Na Tahrif Kuongezwa Maherufu Hakika Hio Ni Al'Quran Al3adhim Ambao Nawaita Kuhukumu Kwake Kwa Haki Kutoka Kwa Mola Wenu Mlezi, Lakini Nyinyi Kwa Haki Ni Wenye Kuchukia, Basi Kiyasi Gani Mumefanana Na Ma'Yahudi Enyi Ma3ashara Ya Ma'Shia Na Ma'Suni, Na Jee Niwajulishe Wakati Gani Hamu'Pendekezwi Na Kuhukumiwa Kwa Al'Quran Al3adhim Na Hivo Ni Wakati Mtapata Ma'sala Ambao imekhalifu Matakwa Yenu, Lakini Wakati Haki iko Na Nyinyi Munakuja Mbio Mudh'inin Na Munajadili Nayo Lakini Wakati ikija imikhalifu Sehemu Ingine Kwa Matakwa Yenu Basi Hapo munakanusha Na Munasema Hakuna Ajuwae Ta'Awil Yake Ila Allah yatutosha Yale Tulio Yakuta Kwa Waliotutangulia aslafuna Kutoka Kwa Ma'imam WA Ahlu Albeit Kama Wanavo Sema Ma'Shia Ama Masahaba WA Mtume WA Allah Kama Wanavo Sema Ahlu Al'Sunna Na Jamaa, Na Alafu Anarudisha Jibu Kwenu Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Nasema: Lakini Wakati Ikiwa Haki iko Na Nyinyi Katika Masaala Yoyote Basi Itakuja Aya Itakua Ni Burhan ya Yale Mulio Nayo Mbona Munakuja Mbio Wepesi Wala Hamusemi Haijuwi Ta'Awil Yake Ila Allah? Lakini Ikija Aya Muhakama imebainika iko Wazi Dhahiri Yake Na Ndani Yake imekhalifu Yale Mulio Nayo Hapo Munasema Hakuna Ajuwae Ta'Awil Yake Ila Allah !! Na Alfu Nasmamisha Hoja Juu Yenu Kwa Haki Na Nasema Jee Hi Si'Niile Taibia Wanayo Poti La Masahaba Wa ki'Yahudi Enyi Ma3ashara Ya Ma' Sunni Na Ma3ashara Ya Ma'Shia? Na Kwanini Mumefwata Sifa Zao Hizi? Akasema Allah Ta3alah:
وقال الله تعالى: { لَّقَدْ أَنزَلْنَا آيَاتٍ مُّبَيِّنَاتٍ ۚ وَاللَّـهُ يَهْدِي مَن يَشَاءُ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿46﴾ وَيَقُولُونَ آمَنَّا بِاللَّـهِ وَبِالرَّسُولِ وَأَطَعْنَا ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِّنْهُم مِّن بَعْدِ ذَٰلِكَ ۚ وَمَا أُولَـٰئِكَ بِالْمُؤْمِنِينَ ﴿47﴾ وَإِذَا دُعُوا إِلَى اللَّـهِ وَرَسُولِهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ إِذَا فَرِيقٌ مِّنْهُم مُّعْرِضُونَ ﴿48﴾ وَإِن يَكُن لَّهُمُ الْحَقُّ يَأْتُوا إِلَيْهِ مُذْعِنِينَ ﴿49﴾ أَفِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ أَمِ ارْتَابُوا أَمْ يَخَافُونَ أَن يَحِيفَ اللَّـهُ عَلَيْهِمْ وَرَسُولُهُ ۚ بَلْ أُولَـٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ ﴿50﴾ إِنَّمَا كَانَ قَوْلَ الْمُؤْمِنِينَ إِذَا دُعُوا إِلَى اللَّـهِ وَرَسُولِهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ أَن يَقُولُوا سَمِعْنَا وَأَطَعْنَا ۚ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ ﴿51﴾ }صدق الله العظيم [النور].
Allah Ta3ala Asema:{Kwa yakini tumeteremsha Ishara zinazo bainisha. Na Mwenyezi Mungu hummwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka(46)Na wanasema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na Mtume, na tumet'ii. Kisha kikundi katika hao hugeuka baada ya hayo. Wala hao si wenye kuamini(47) Na wanapo itwa kumuendea Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina yao, kipo kikundi katika wao kinakataa(48)Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii(49)Je! Wana maradhi katika nyoyo zao, au wanaona shaka, au wanaogopa ya kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake watawadhulumu? Bali hao ndio madhaalimu(50)}Sadaqa Allah Al3adhm[Alnur].

Na Enyi Ma3ashara Ya Ma Shia Na Ma Sunni Na Madhehebu Zote Za Kislamu Na Jee Nyinyi Ni Waislamu Ama Ma'Yahudi Munakata Kuhusu Mwaliko WA Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah? Na Kiyasi Gani Nime'Wauliza Basi Kwanini Hamuitiki Mwaliko Wa Kuhukumiana Kwenye Kitabu Na Wala Hamjarudisha Jibu ! Alfu Nasmamisha Hoja Juu Yenu Kwa Haki Kua Al'Mahdi Al'Muntadhar WA Kweli Kutoka Mola Wenu Mlezi Amemfanya Allah Ni Mfwataji Wala Sio Mzuwaji, Na Jee Amewaita Muhammad'an Rasul Allah Walio khitilifiana Katika Dini Yao Watu WA Kitabu( Ahlu'Alkitab) Ispokuwa Ni Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim? Ama Nasser Muhammad Al'Yamani Ni Mzuwaji Wala Sio Mfwataji Kama Anavo Dai Kwamba Allah Amemtumiliza Ni Nasser'an li'Muhammad Sala Allahu Aleyhi Wa'Alihi Wa Salam ? Lakini Mimi Ni Katika Wakweli Na Vile Mimi Ni Katika WA Kweli Ni Mfwataji WA Muhammad Mtume WA Allah Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam Wala Sio Mzuwaji, Na Mimi Nawaletea Burhan Ushuhuda Kutoka Muhakam Al'Quran Al3adhim, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:111].
Allah Ta3ala Asema:{Sema Leteni Burhan Yenu Ikiwa Nyinyi Ni Wakweli} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara: 111].

Kwa'Hivo Kila Ulinganizi Una"BURHAN" (Usuhuda) Ikiwa Mutatia Akili? Na Alfu Nalekeza Kwenu Suali Lingine Nataka Jibu Juu Yake Kutoka Ma Hadithi Ya Sunna Al'Nabawia Za Kweli, Na Jee Amewa'Eleza Mummad Mtume WA Allah. Na Jee Amewa'Eleza Muhammad Mtume WA Allah Kama Vile Alivo Julishwa Na Allah Kwamba Nyinyi Mutaenda Ku'Khitilifiana Kama Walivo Khitilifiana Ahlu Alkitab? Na Jibu Lenu Lajulikana Basi Mutasema:[Amesema Muhammad Mtume WA Allah- Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salsm- Ambae Hatamki Kwa Matamanio: Wametengana Ma'Yahudi Makundi Sabini Na Moja Na Wametengana Ma'Nassara Kwa Makundi Sabini Na Mbili Na Watatengana Umma Wangu Kwa Makundi Sabini Na Tatu, Wote WA Motoni Ila Moja] Sadaqa Rasul Allah Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam.
*Alhadith*
*قال مُحمد رسول الله - صلى الله عليه وآله وسلم - الذي لا ينطق عن الهوى: افترقت اليهود على إحدى و سبعين فرقة افترقت النصارى على اثنتى وسبعين فرقة وستفترق أمتي على ثلاث و سبعين فرقة، كلهم في النار إلا واحدة] صدق محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم.*****

Na Alafu Nawambia Nyinyi Ndio Kukhitilifiana Inakuweko Baina Ya Waislamu Wote Katika Wote Ma Umma WA Ma'Nabi Kutoka Wakwanza Wao Mpaka Khatim Wao Al'Nabi Al'Umii Muhammad Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam, Na Kila Umma Wanafwata Nabi Wao Basi AnWaongoza Katika Njiya Ilio Nyoka Basi Atawa'Wacha Katika Njia Ilio Nyoka, Lakini Allah Amefanya Katika Kila Nabi Aduwi Kutokana Na Mashetani Katika Majini Na Watu Wana'Wapoteza Ba'Ada Ya Hapo Kwa Kuzawiri Juu Ya Allah Na Mtume Wake Kutoka Kwa Mtungaji Shetani Mkuu Al'Taghut, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {وَكَذَٰلِكَ جَعَلْنَا لِكُلِّ نَبِيٍّ عَدُوًّا شَيَاطِينَ الْإِنسِ وَالْجِنِّ يُوحِي بَعْضُهُمْ إِلَىٰ بَعْضٍ زُخْرُفَ الْقَوْلِ غُرُورًا ۚ وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ مَا فَعَلُوهُ ۖ فَذَرْهُمْ وَمَا يَفْتَرُونَ ﴿112﴾ وَلِتَصْغَىٰ إِلَيْهِ أَفْئِدَةُ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ وَلِيَرْضَوْهُ وَلِيَقْتَرِفُوا مَا هُم مُّقْتَرِفُونَ ﴿113﴾ أَفَغَيْرَ اللَّـهِ أَبْتَغِي حَكَمًا وَهُوَ الَّذِي أَنزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلًا ۚ وَالَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يَعْلَمُونَ أَنَّهُ مُنَزَّلٌ مِّن رَّبِّكَ بِالْحَقِّ ۖ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ ﴿114﴾ وَتَمَّتْ كَلِمَتُ رَبِّكَ صِدْقًا وَعَدْلًا ۚ لَّا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِهِ ۚ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿115﴾ وَإِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الْأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ وَإِنْ هُمْ إِلَّا يَخْرُصُونَ ﴿116﴾ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ مَن يَضِلُّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ ﴿117﴾} صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah Ta3ala Asema:{Na kadhaalika tumemfanyia kila Nabii maadui mashet'ani wa kiwatu, na kijini, wakifundishana wao kwa wao maneno ya kupamba-pamba, kwa udanganyifu. Na angeli penda Mola wako Mlezi wasingeli fanya hayo. Basi waache na wanayo yazua (112) Na ili nyoyo za wasio amini Akhera zielekee hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma (113) Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka (114) Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye Kujuwa (115) Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu (116) Hakika Mola wako Mlezi ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio potea Njia yake, na ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio hidika (117)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanam].

Na Alafu Analekeza Kwenu Al'Mahdi Al'Muntadhar Suali Lingine: Na Jee Hebu Nipeni Fatwa Wakati Anapo Mtumiliza Allah Nabi Ba'Ada Ya kuhitilifiana Umma WA Nabi Ambe Alikua Kabla Yake Kwa Kitu Gani Anawalika Kuhukumu Ndani Yake? Na Jee Analingania Kuhukumu Kwa Taghut Ama Anawalika Kuhukumu Kwa Allah Pekeyake Na Mtume Wake Alio Tumiluzwa Hana Ispokua Awatole istinmbat Kwao Hukmu Ya Allah Kutoka Muhakam Ya Kitabu Ambacho Allah Alio Mteremshia Juu Yake? Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {كَانَ النَّاسُ أُمَّةً وَاحِدَةً فَبَعَثَ اللّهُ النَّبِيِّينَ مُبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَ وَأَنزَلَ مَعَهُمُ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ لِيَحْكُمَ بَيْنَ النَّاسِ فِيمَا اخْتَلَفُواْ فِيهِ وَمَا اخْتَلَفَ فِيهِ إِلاَّ الَّذِينَ أُوتُوهُ مِن بَعْدِ مَا جَاءتْهُمُ الْبَيِّنَاتُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ فَهَدَى اللّهُ الَّذِينَ آمَنُواْ لِمَا اخْتَلَفُواْ فِيهِ مِنَ الْحَقِّ بِإِذْنِهِ وَاللّهُ يَهْدِي مَن يَشَاء إِلَى صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ} صدق الله العظيم [البقرة:213].
Allah Ta3ala Asema:{ Walikuwa Watu Umma Moja Akatumiliza Allah Ma Nabi Wanabashiria Na Waonyaji Na Akateremsha Na Wao Kitabu Kwa Haki ili kihukumu Baina Ya Watu Kwa Yale Wanao khitilifiana Ndani Yake Na Hawaku'Kitilifiana Ndani Yake Ila Wale Ambao Waliletewa Ba'Ada Kuwafikia Zilizo Bainika Kwa'Kutaka Baina Yao Basi Akaongoza Allah Wale Ambao Wamiamini Kwa Yale Wamekhitilifiana Ndani Yake Kutokana Na Haki Kwa idhini Yake Na Allah Anamomgoza Anae Taka Kwenye Njiya Ilio Nyoka} Sadaqa Allahu Al3adhim [Albaqara:213].

Na Namna Hio Khitilafu Inaendelea Baina Ya Ma Umma Katika Wafwasi WA Mitume Mpaka ikafikia hili Jambo Kwa Ahlu Alkitab Basi Waliwawacha Ma'Nabi Wao Juu Ya Njiya Ilio Nyoka Alafu Wana'Anza Ma'Shetani WA Kijini Na Mashetani Watu Kutabikisha Mbinu Zao Ambazo Ni Za Kuendelea Kwa Wahyu Kutoka Kwa Taghut Mkuu Iblisi Kwa Mashetani Majini Ili wawpeleke Maelezo Kuwafahamisha Mawali Wao Katika Mashetani Watu Kuwa Hivi Na Hivi Uzushi Juu Ya Allah Na Mtume Wake Ili iwe Dhidi Ya Haki Ambayo Imekuja Kutoka Kwa Allah Kwa Njiya Ya Ndimi Ya Ma'Nabi Wake, Alafu Wakawatoa Ahlu Alkitab Kutoka Kwa Haki Wakatenganisha Dini Yao Kwa Ujama Na Wakatupa Kitabu Cha Allah Taurati Na injili Nyuma Ya Migongo Yao Wakafwata Uzushi Ambao Ulio Kuja Kutoka Kwa Sio Allah Bali Ni Kutoka Kwa Al'Taghut Al'Shetan Al'Rajim, Ndio Wakawatoaa Ma'Shetani Waislamu Katika Ahlu Alkitab Katika Njia Ilio Nyoka, Na Badae Alafu Akamtumiliza Allah Khatimu WA Ma'Nabi Na Mitume Al'Nabi Al'Umii Al'Amin Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim Imekusanya Mkusanyiko WA Vitabu Va Ma'Nabi Na Mitume, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ هَذَا ذِكْرُ مَن مَّعِيَ وَذِكْرُ مَن قَبْلِي بَلْ أَكْثَرُهُمْ لَا يَعْلَمُونَ الْحَقَّ فَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [الأنبياء:24].

Allah Ta3ala Asema:{Sema Leteni Ushahidi Wenu Haya Ukumbusho WA Wale Walio Nami Na Ukumbusho WA Wallio Kabla Yangu Bali Wengi Wao Hawajuwi Ukweli Na Kwahivo Wanapuza} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Anbia:24].

Na Alfu Amempa Amri Allah Nabi Wake Kutabikisha Namus Ya Hukmu Katika ikhtilafu Kua Wam'Weke Allah Ndio Hakimu Baina Yao Basi Anampa Amri Nabi Wake Awatole istinmbat Kwao Hukmu Ya Kweli Kutoka Muhakm Kitabu Chake Kwa Yale Wao Wanakhitilifiana Ndani Yake, Alafu Akasimama Muhammad Mtume WA Allah- Sala Allahu Aleyhi WA Alehi WA Salam- Kwa Kutabikisha Namus Kwa Kuwaita Wanao Khitalifiana Kwa Kitabu Cha Allah Ili Kuhukumu Baina Yao Kwajili Allah Yeye Ndio Hakimu Baina Wanao Khitilifiana Ispokuwa Wana'Waistanmbatia Wao Hukumu Ya Allah Baina Yao Kwa Haki Kutoka Muhakam Ya Kitabu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {كَانَ النَّاسُ أُمَّةً وَاحِدَةً فَبَعَثَ اللّهُ النَّبِيِّينَ مُبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَ وَأَنزَلَ مَعَهُمُ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ لِيَحْكُمَ بَيْنَ النَّاسِ فِيمَا اخْتَلَفُواْ فِيهِ وَمَا اخْتَلَفَ فِيهِ إِلاَّ الَّذِينَ أُوتُوهُ مِن بَعْدِ مَا جَاءتْهُمُ الْبَيِّنَاتُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ فَهَدَى اللّهُ الَّذِينَ آمَنُواْ لِمَا اخْتَلَفُواْ فِيهِ مِنَ الْحَقِّ بِإِذْنِهِ وَاللّهُ يَهْدِي مَن يَشَاء إِلَى صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:{Walikuwa Watu Umma Moja Akatumiliza Allah Ma Nabi Wanabashiria Na Waonyaji Na Akateremsha Na Wao Kitabu Kwa Haki ili kihukumu Baina Ya Watu Kwa Yale Wanao khitilifiana Ndani Yake Na Hawaku'Kitilifiana Ndani Yake Ila Wale Ambao Waliletewa Ba'Ada Kuwafikia Zilizo Bainika Kwa'Kutaka Baina Yao Basi Akaongoza Allah Wale Ambao Wamiamini Kwa Yale Wamekhitilifiana Ndani Yake Kutokana Na Haki Kwa idhini Yake Na Allah Anamomgoza Anae Taka Kwenye Njiya Ilio Nyoka} Sadaqa Allahu Al3adhim [Albaqara:213].

Kwa Hivo Imibainika Kwenu Kuwa Allah Yeye Ndio Hakimu Na Hakuna Juu Ya Muhammad Mtume WA Allah-Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam- Na Al'Mahdi Al'Muntadhar Ila Awa'istanmbatie Kwa Undani Hukmu Ya Allah Baina Ya Wanao Khitilifiana Kutoka Muhkam Kitabu Chake Hivo Ni Kwajili Allah Yeye Ndio Hakimu Baina Yao, Kusadiki Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {أَفَغَيْرَ اللَّـهِ أَبْتَغِي حَكَمًا وَهُوَ الَّذِي أَنزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلًا} صدق الله العظيم [الأنعام:114].
Allah Ta3ala Asema:{Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwaz} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanam:114].

Na Alafu Akatabikisha Muhammad Mtume WA Allah Namus Ya Ma'Nabi Wote Na Al'Mahdi Al'Muntadhar Kuwalika Wanao Khitalifiana Kwa Kitabu Cha Allah Ili Iwahukumu Baina Yao Basi Atakae Geuka Kwa Kuhukumiwa Kwenye Kitabu Cha Allah Basi Amekufuru Kwa Yale Alio Teremshiwa Muhammad Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam, Na Akasema Alla Ta3ala:

وقال الله تعالى: {أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوْتُواْ نَصِيباً مِّنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَى كِتَابِ اللّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّى فَرِيقٌ مِّنْهُمْ وَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [آل عمران:23].
Allah Ta3ala Asema:{Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa} Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:23].

Akasema Allah Ta3ala
وقال الله تعالى: {إِنَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ لِتَحْكُمَ بَيْنَ النَّاسِ بِمَا أَرَاكَ اللّهُ وَلاَ تَكُن لِّلْخَآئِنِينَ خَصِيماً} صدق الله العظيم [النساء:105].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa haki ili upate kuhukumu baina ya watu kwa alivyo kuonyesha Mwenyezi Mungu. Wala usiwe mtetezi wa makhaaini} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisa:105].
Akasema Allah Ta3ala

وقال الله تعالى: {يَا أَهْلَ الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ كَثِيرًا مِّمَّا كُنتُمْ تُخْفُونَ مِنَ الْكِتَابِ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ ۚ قَدْ جَاءَكُم مِّنَ اللَّـهِ نُورٌ وَكِتَابٌ مُّبِينٌ ﴿15﴾ يَهْدِي بِهِ اللَّـهُ مَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَهُ سُبُلَ السَّلَامِ وَيُخْرِجُهُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِهِ وَيَهْدِيهِمْ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿16﴾} صدق الله العظيم [المائدة].
Allah Ta3ala Asema:{Enyi Watu wa Kitabu! Amekwisha kujieni Mtume wetu anaye kufichulieni mengi mliyo kuwa mkiyaficha katika Kitabu, na anaye samehe mengi. Bila shaka imekujieni kutoka kwa Mwenyezi Mungu nuru na Kitabu kinacho bainisha(15)Mwenyezi Mungu huwaongoa wenye kufuata radhi yake katika njia za salama, na huwatoa katika giza kuwapeleka kwenye nuru kwa amri yake, na huwaongoa kwenye njia iliyo nyooka(16)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ الْكِتَابِ وَمُهَيْمِنًا عَلَيْهِ ۖ فَاحْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّـهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ عَمَّا جَاءَكَ مِنَ الْحَقِّ ۚ لِكُلٍّ جَعَلْنَا مِنكُمْ شِرْعَةً وَمِنْهَاجًا ۚ وَلَوْ شَاءَ اللَّـهُ لَجَعَلَكُمْ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَـٰكِن لِّيَبْلُوَكُمْ فِي مَا آتَاكُمْ ۖ فَاسْتَبِقُوا الْخَيْرَاتِ ۚ إِلَى اللَّـهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا فَيُنَبِّئُكُم بِمَا كُنتُمْ فِيهِ تَخْتَلِفُونَ ﴿48﴾ وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّـهُ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ وَاحْذَرْهُمْ أَن يَفْتِنُوكَ عَن بَعْضِ مَا أَنزَلَ اللَّـهُ إِلَيْكَ ۖ فَإِن تَوَلَّوْا فَاعْلَمْ أَنَّمَا يُرِيدُ اللَّـهُ أَن يُصِيبَهُم بِبَعْضِ ذُنُوبِهِمْ ۗ وَإِنَّ كَثِيرًا مِّنَ النَّاسِ لَفَاسِقُونَ ﴿49﴾} صدق الله العظيم [المائدة].
Allah Ta3ala Asema:{Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana(48)Na wahukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao. Nawe tahadhari nao wasije kukufitini ukaacha baadhi ya aliyo kuteremshia Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka, basi jua kwamba hakika Mwenyezi Mungu anataka kuwasibu kwa baadhi ya dhambi zao. Na hakika wengi wa watu ni wapotofu(49)} Sadaqa Allah Al3adhim[Almaida].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَهَـٰذَا كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ مُبَارَكٌ فَاتَّبِعُوهُ وَاتَّقُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ ﴿155﴾ أَن تَقُولُوا إِنَّمَا أُنزِلَ الْكِتَابُ عَلَىٰ طَائِفَتَيْنِ مِن قَبْلِنَا وَإِن كُنَّا عَن دِرَاسَتِهِمْ لَغَافِلِينَ ﴿156﴾ أَوْ تَقُولُوا لَوْ أَنَّا أُنزِلَ عَلَيْنَا الْكِتَابُ لَكُنَّا أَهْدَىٰ مِنْهُمْ ۚ فَقَدْ جَاءَكُم بَيِّنَةٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَهُدًى وَرَحْمَةٌ ۚ فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّن كَذَّبَ بِآيَاتِ اللَّـهِ وَصَدَفَ عَنْهَا ۗ سَنَجْزِي الَّذِينَ يَصْدِفُونَ عَنْ آيَاتِنَا سُوءَ الْعَذَابِ بِمَا كَانُوا يَصْدِفُونَ ﴿157﴾} صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah Ta3ala Asema:{Na Hichi Ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa. Basi kifuateni, namchenimngu, ili mrehemewe(155)Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma(156). Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao(157)} Sadaqa Allah Al3adim[Alanam].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {كِتَابٌ أُنزِلَ إِلَيْكَ فَلَا يَكُن فِي صَدْرِكَ حَرَجٌ مِّنْهُ لِتُنذِرَ بِهِ وَذِكْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ﴿2﴾ اتَّبِعُوا مَا أُنزِلَ إِلَيْكُم} صدق الله العظيم [الأعراف:2-3].
Allah Ta3ala Asema:{Kitabu kilicho teremshwa kwako - basi isiwe dhiki kifuani kwako kwa ajili yake, upate kuonya kwacho, na kiwe ni ukumbusho kwa Waumini(2)Fuateni mliyo teremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu}Sadaqa Allah Al3adhim[Alaaraf:2-3].

Akasema Allah Ta3ala:

وقال الله تعالى: {وَلَقَدْ جِئْنَاهُم بِكِتَابٍ فَصَّلْنَاهُ عَلَى عِلْمٍ هُدًى وَرَحْمَةً لِّقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ} صدق الله العظيم [الأعراف:52].
Allah Ta3ala Asema:{Na hakika tumewaletea Kitabu tulicho kipambanua kwa ilimu, uwongofu na rehema kwa watu wenye kuamini} Sadaqa Allah Al3adhim[ Alaraf:52].
Na Akasema Allah Ta3ala:

وقال الله تعالى: {وَالَّذِينَ يُمَسَّكُونَ بِالْكِتَابِ وَأَقَامُواْ الصَّلاَةَ إِنَّا لاَ نُضِيعُ أَجْرَ الْمُصْلِحِينَ} صدق الله العظيم [الأعراف:170].
Allah Ta3ala Asema:{Na Wale Ambao Wamekishikilia Kitabu Na Wakasmamisha Swala Hakika Hatupotezi Ujira Ya Watenda Mema} Sadaqa Allah Al3adhim[ Alaaraf:170].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {قُلْ يَا أَيُّهَا النَّاسُ قَدْ جَاءكُمُ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ فَمَنِ اهْتَدَى فَإِنَّمَا يَهْتَدِي لِنَفْسِهِ وَمَن ضَلَّ فَإِنَّمَا يَضِلُّ عَلَيْهَا وَمَا أَنَاْ عَلَيْكُم بِوَكِيلٍ} صدق الله العظيم [يونس:108].
Allah Ta3ala Asema:{Sema Enyi Watu Haki imekwisha kukujieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Basi anaye ongoka anaongoka kwa faida ya nafsi yake, na anaye potea anapotea kwa khasara ya nafsi yake. Na mimi si mwakilishi juu yenu}Sadaqa Allah Al3adhim[Yunus:108].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {أَفَمَن كَانَ عَلَى بَيِّنَةٍ مِّن رَّبِّهِ وَيَتْلُوهُ شَاهِدٌ مِّنْهُ وَمِن قَبْلِهِ كِتَابُ مُوسَى إَمَاماً وَرَحْمَةً أُوْلَـئِكَ يُؤْمِنُونَ بِهِ وَمَن يَكْفُرْ بِهِ مِنَ الأَحْزَابِ فَالنَّارُ مَوْعِدُهُ فَلاَ تَكُ فِي مِرْيَةٍ مِّنْهُ إِنَّهُ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ وَلَـكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لاَ يُؤْمِنُونَ }صدق الله العظيم [هود:17].
Allah Ta3ala Asema:{Basi je, mtu aliye na dalili wazi itokayo kwa Mola wake Mlezi, inayo fuatwa na shahidi anaye toka kwake, na kabla yake kilikuwa Kitabu cha Musa kilicho kuwa mwongozi na rehema - hao wanamuamini, na anaye mkataa katika makundi, basi Moto ndio pahala pa miadi yao. Basi usiwe na shaka juu ya hayo. Hii ni Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi; lakini watu wengi hawaamini} Sadaqa Allah Al3adhim[Hud:17].
Na Aksema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَكَذَلِكَ أَنزَلْنَاهُ حُكْماً عَرَبِيّاً وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءهُم بَعْدَ مَا جَاءكَ مِنَ الْعِلْمِ مَا لَكَ مِنَ اللّهِ مِن وَلِيٍّ وَلاَ وَاقٍ} صدق الله العظيم [الرعد:37].
Allah Ta3ala Asema:{Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa ni hukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata matamanio yao baada ya kukujia ilimu hii, hutakuwa na rafiki wala mlinzi mbele ya Mwenyezi Mungu}Sadaqa Allah Al3adhim[Alraad:37].


Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {إِنَّ هَـذَا الْقُرْآنَ يِهْدِي لِلَّتِي هِيَ أَقْوَمُ وَيُبَشِّرُ الْمُؤْمِنِينَ الَّذِينَ يَعْمَلُونَ الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ أَجْراً كَبِيراً} صدق الله العظيم [الإسراء:9].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika hii Qur'ani inaongoa kwenye ya yaliyo nyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema ya kwamba watapata malipo makubwa}Sadaqa Allah Al3adhim[Alisra:9].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَأَنْ أَتْلُوَ الْقُرْآنَ ۖ فَمَنِ اهْتَدَىٰ فَإِنَّمَا يَهْتَدِي لِنَفْسِهِ ۖ وَمَن ضَلَّ فَقُلْ إِنَّمَا أَنَا مِنَ الْمُنذِرِينَ ﴿92﴾ وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ سَيُرِيكُمْ آيَاتِهِ فَتَعْرِفُونَهَا ۚ وَمَا رَبُّكَ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ ﴿93﴾} صدق الله العظيم [النمل].
Allah Ta3ala Asema:{Na niisome Qur'ani. Na mwenye kuongoka, basi ameongoka kwa faida ya nafsi yake; na aliye potea - basi sema: Hakika mimi ni miongoni mwa waonyaji(92) Na sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni Ishara zake, na mtazijua. Na Mola wako Mlezi si mwenye kughafilika na myatendayo(93)} Sadaqa Allah Al3adhim[Alnaml].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {قُلْ أَيُّ شَيْءٍ أَكْبَرُ شَهَادةً قُلِ اللّهِ شَهِيدٌ بِيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَذَا الْقُرْآنُ لأُنذِرَكُم بِهِ} صدق الله العظيم [الأنعام:19].
Allah Ta3ala Asema:{Sema: Kitu gani ushahidi wake mkubwa kabisa? Sema: Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye shahidi baina yangu na nyinyi. Na nimefunuliwa Qur'ani hii ilikwayo nikuonyeni nyinyi na kila inayo mfikia. Ati kweli nyinyi mnashuhudia kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu wapo miungu wengine? Sema: Mimi sishuhudii hayo. Sema: Hakika Yeye ni Mungu mmoja tu, nami ni mbali na mnao washirikisha} Sasaqa Allah Al3adhim[Alanam:19].
Akasema Allah Ta3ala:{
وقال الله تعالى: {كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ ﴿200﴾ لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ ﴿201﴾ فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿202﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].
Allah Ta3ala Asema:{Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu(200)Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu(201)Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari(202)}
Sadaqa Allah Al3adhim[Alshuara].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {إِنَّ الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي آيَاتِنَا لَا يَخْفَوْنَ عَلَيْنَا ۗ أَفَمَن يُلْقَىٰ فِي النَّارِ خَيْرٌ أَم مَّن يَأْتِي آمِنًا يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۚ اعْمَلُوا مَا شِئْتُمْ ۖ إِنَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ ﴿40﴾ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا بِالذِّكْرِ لَمَّا جَاءَهُمْ ۖ وَإِنَّهُ لَكِتَابٌ عَزِيزٌ ﴿41﴾ لَّا يَأْتِيهِ الْبَاطِلُ مِن بَيْنِ يَدَيْهِ وَلَا مِنْ خَلْفِهِ ۖ تَنزِيلٌ مِّنْ حَكِيمٍ حَمِيدٍ ﴿42﴾} صدق الله العظيم [فصلت].

Allah Ta3ala Asema:{Hakika wale wanao upotoa ukweli uliomo katika Ishara zetu hawatufichikii Sisi. Je! Atakaye tupwa Motoni ni bora au atakaye kuja kwa amani Siku ya Kiyama? Tendeni mpendavyo, kwa hakika Yeye anayaona mnayo yatenda(40)Kwa hakika wanayo yakataa mawaidha haya yanapo wajia (wataangamia), nahaya bila ya shaka ni Kitabu chenye nguvu na utukufu(41)Hautakifikia upotovu mbele yake wala nyuma yake. Kimeteremshwa na Mwenye hikima, Msifiwa(42)}Sadaqa Allah Al3adhim [Fusilat].

Akasema Allah Ta3ala:
و قال الله تعالى: {قُلْ هُوَ لِلَّذِينَ آمَنُوا هُدًى وَشِفَاءٌ وَالَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ فِي آذَانِهِمْ وَقْرٌ وَهُوَ عَلَيْهِمْ عَمًى أُوْلَئِكَ يُنَادَوْنَ مِنْ مَكَانٍ بَعِيدٍ} صدق الله العظيم [فصلت:44].
Allah Ta3ala Asema:{Sema: Hii Qur'ani ni uwongofu na poza kwa wenye kuamini. Na wasio amini umo uziwi katika masikio yao, nayo kwao imezibwa hawaioni. Hao wanaitwa nao wako pahala mbali}Sadaqa Allah Al3adhim[Fusilat:44].
Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {تِلْكَ آيَاتُ اللَّـهِ نَتْلُوهَا عَلَيْكَ بِالْحَقِّ ۖ فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَ اللَّـهِ وَآيَاتِهِ يُؤْمِنُونَ ﴿6﴾ وَيْلٌ لِّكُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ ﴿7﴾ يَسْمَعُ آيَاتِ اللَّـهِ تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ثُمَّ يُصِرُّ مُسْتَكْبِرًا كَأَن لَّمْ يَسْمَعْهَا ۖ فَبَشِّرْهُ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ ﴿8﴾ وَإِذَا عَلِمَ مِنْ آيَاتِنَا شَيْئًا اتَّخَذَهَا هُزُوًا ۚ أُولَـٰئِكَ لَهُمْ عَذَابٌ مُّهِينٌ ﴿9﴾ مِّن وَرَائِهِمْ جَهَنَّمُ ۖ وَلَا يُغْنِي عَنْهُم مَّا كَسَبُوا شَيْئًا وَلَا مَا اتَّخَذُوا مِن دُونِ اللَّـهِ أَوْلِيَاءَ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ ﴿10﴾ هَـٰذَا هُدًى ۖ وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ رَبِّهِمْ لَهُمْ عَذَابٌ مِّن رِّجْزٍ أَلِيمٌ ﴿11﴾} صدق الله العظيم [الجاثية].
Allah Ta3ala Asema:{Hizi Aya za Mwenyezi Mungu tunakusomea kwa haki; basi hadithi gani watakayo iamini baada ya Mwenyezi Mungu na Aya zake(6) Ole wake kila mzushi mwenye dhambi(7) Anaye sikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, na anajivuna, kama kwamba hakuzisikia. Basi mbashirie adhabu chungu(8) Na anapo kijua kitu kidogo katika Aya zetu hukifanyia mzaha. Watu hao ndio watakao kuwa na adhabu ya kufedhehesha(9) Na nyuma yao ipo Jahannamu. Na walio yachuma hayatawafaa hata kidogo, wala walinzi walio washika badala ya Mwenyezi Mungu. Na watapata adhabu kubwa(10) Huu ni uwongofu. Na wale wale walio zikataa Ishara za Mola wao Mlezi watapata adhabu inayo tokana na ghadhabu iliyo chungu(11)}Sadaqa Allah Al3adhim[Aljathia].
Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَلَوْ أَنَّا أَهْلَكْنَاهُمْ بِعَذَابٍ مِنْ قَبْلِهِ لَقَالُوا رَبَّنَا لَوْلَا أَرْسَلْتَ إِلَيْنَا رَسُولًا فَنَتَّبِعَ آيَاتِكَ مِنْ قَبْلِ أَنْ نَذِلَّ وَنَخْزَى} صدق الله العظيم [طه:134].
Allah Ta3ala Asema:{Na lau kuwa tuliwaangamiza kwa adhabu kabla yake, wangeli sema: Ewe Mola wetu Mlezi! Kwa nini usituletee Mtume tukazifuata ishara zako kabla hatujadhilika Na Kuhizika}Sadaqa Allah Al3adhim[Taha:134].

Aksema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ اتَّبِعُوا مَا أَنزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا وَجَدْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا أَوَلَوْ كَانَ الشَّيْطَانُ يَدْعُوهُمْ إِلَى عَذَابِ السَّعِيرِ} صدق الله العظيم [لقمان:21].
Allah Ta3ala Asema:{Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, husema: Bali tunafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je! Ijapo kuwa Shet'ani anawaita kwenye adhabu ya Moto uwakao}Sadaqa Allah Al3adhim[Luqman].

Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ اتَّبِعُوا مَا أَنزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:170].
Allah Ta3ala Asema:{Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka}Sadaqa Allah Al3dhim[Albaqara:170].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {يَاأَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا آمِنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي نَزَّلَ عَلَى رَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي أَنزَلَ مِنْ قَبْلُ وَمَنْ يَكْفُرْ بِاللَّهِ وَمَلَائِكَتِهِ وَكُتُبِهِ وَرُسُلِهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَالًا بَعِيدًا} صدق الله العظيم [النساء:136].
Allah Ta3ala Asema:{Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnisa:136].
Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {أَوْ تَقُولُوا لَوْ أَنَّا أُنزِلَ عَلَيْنَا الْكِتَابُ لَكُنَّا أَهْدَى مِنْهُمْ فَقَدْ جَاءَكُمْ بَيِّنَةٌ مِنْ رَبِّكُمْ وَهُدًى وَرَحْمَةٌ فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنْ كَذَّبَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَصَدَفَ عَنْهَا سَنَجْزِي الَّذِينَ يَصْدِفُونَ عَنْ آيَاتِنَا سُوءَ الْعَذَابِ بِمَا كَانُوا يَصْدِفُونَ} صدق الله العظيم [الأنعام:157].
Allah Ta3ala Asema:{Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao}Sadaqa Allah Al3adhim[Alanam:157].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {الْأَعْرَابُ أَشَدُّ كُفْرًا وَنِفَاقًا وَأَجْدَرُ أَلَّا يَعْلَمُوا حُدُودَ مَا أَنزَلَ اللَّهُ عَلَى رَسُولِهِ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم [التوبة:97].
Allah Ta3ala Asema:{Mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu juu ya Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima}Sadaqa Allah Al3adhim[Altawuba:97].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَيَقُولُونَ لَوْلَا أُنْزِلَ عَلَيْهِ آيَةٌ مِنْ رَبِّهِ فَقُلْ إِنَّمَا الْغَيْبُ لِلَّهِ فَانْتَظِرُوا إِنِّي مَعَكُمْ مِنْ الْمُنْتَظِرِينَ} صدق الله العظيم [يونس:20].
Allah Ta3ala Asema:{Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu ni ya Mwenyezi Mungu. Basi nyinyi ngojeni, namimi ni pamoja nanyi katika wanao ngojea}Sadaqa Allah Al3adhim[Yunus:20].

Akasema Allah Ta3ala
و قال الله تعالى: {إِن نَّشَأْ نُنَزِّلْ عَلَيْهِم مِّن السَّمَاء آيَةً فَظَلَّتْ أَعْنَاقُهُمْ لَهَا خَاضِعِينَ} صدق الله العظيم [الشعراء:4].
Allah Ta3ala Asema:{Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao}Sadaqa Allah Al3adhim[Alshuara:4].

Akasema Allah Ta3ala:
و قال الله تعالى: {فَارْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِي السَّمَاءُ بِدُخَانٍ مُّبِينٍ ﴿10﴾ يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَـٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿11﴾ رَّبَّنَا اكْشِفْ عَنَّا الْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ ﴿12﴾} صدق الله العظيم [الدخان].
Allah Ta3ala Asema:{Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri(10) Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu(11) Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini(12)} Sadaqa Allah Al3adhim [Aldokhan].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {إِنَّا كَاشِفُو الْعَذَابِ قَلِيلًا ۚ إِنَّكُمْ عَائِدُونَ ﴿15﴾ يَوْمَ نَبْطِشُ الْبَطْشَةَ الْكُبْرَىٰ إِنَّا مُنتَقِمُونَ ﴿16﴾} صدق الله العظيم [الدخان].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile(15) Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa(16)}Sadaqa Allah Al3adhim[Aldokhan].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَلَقَدْ ضَرَبْنَا لِلنَّاسِ فِي هَذَا الْقُرْآنِ مِن كُلِّ مَثَلٍ وَلَئِن جِئْتَهُم بِآيَةٍ لَيَقُولَنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا إِنْ أَنتُمْ إِلَّا مُبْطِلُونَ} صدق الله العظيم [الروم:58].
Allah Ta3ala Asema:{Na hakika tulikwisha wapigia watu kila mfano katika hii Qur'ani. Na ukiwaletea Ishara yoyote hapana shaka walio kufuru watasema: Nyinyi si chochote ila ni waongo}Sadaqa Allah Al3adhim[Alrum].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {تَنزِيلٌ مِّنَ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ ﴿2﴾ كِتَابٌ فُصِّلَتْ آيَاتُهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ﴿3﴾ بَشِيرًا وَنَذِيرًا فَأَعْرَضَ أَكْثَرُهُمْ فَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ ﴿4﴾} صدق الله العظيم [فصلت].
Allah Ta3ala Asema:{Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu(2) Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua(3)Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii(4)} Sadaqa Allah Al3adhim[Fusilat].

Na Kwanini Munakanusha Ulinganizi WA Kuhukumu Kwa Kitabu Allah Enyi Ma3ashara Ya Wanazuoni WA Waislamu Ikiwa Nyinyi Munamini Nacho? Basi Kwanini Munakanusha Kwa Mwaliko WA Kuhukumu Ndani Yake Ikiwa Nyinyi Ni Wakweli? Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {فِي بُيُوتٍ أَذِنَ اللَّهُ أَن تُرْفَعَ وَيُذْكَرَ فِيهَا اسْمُهُ} صدق الله العظيم [النور:36].
Allah Ta3ala Asema:{Katika Manyumba Ametoa idhini Allah Kwamba Inuliwe Na Itajwe Ndani Yake Jinalake}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnur:36].

Na Enyi Ma3ashara ya Wanazuoni WA Waislamu Hakika Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Namshudisha Allah Kwamba Allah Amefaradhisha Juu Ya Nabi Wake Sala Hamsini Kwa Usiku Na Mchana Wake, Na Akafaridhisha Katika Kila Sala Raka Mbili, Na Kwavile Sala Zote Zilio'Faridhishwa Ni Sala Hamsini ikawa Idadi Ya Raka Zote Ni Mia Moja Ziko Sawa Na Majina Ya Allah Mia Moja: Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فِي بُيُوتٍ أَذِنَ اللَّهُ أَن تُرْفَعَ وَيُذْكَرَ فِيهَا اسْمُهُ} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:{Katika Manyumba Amidhinisha Allah Kwamba Inuliwe Na Itajwe Ndani Yake Jina Lake}Sadaqa Allah Al3adhim.
Na Kwavile Allah Ana Majina Mia'Moja Kwajili Ya Hivo Ameifanya Sala Zote Katika Ma'Nyumba Ya Allah Kwenye Usiku Na Mchana Wake Sala Hamsini Na Kwa Kil Ya Sala Raka Mbili Ikawa Idadi Ya Raka Inasawi Sawa Na Idadi Ya Majina Ya Allah Al'Husna Raka Mia'Moja Katika Sala Zilio'Fardhishwa Katik Usiku Moja Na Mchana Wake,
Lakini Mola Wangu Mlezi Ni Ghafur Shakur Basi Akakhafifisha Juu Ya Waislamu Kwa Sala Tano Zimefaradhishwa Kila Sala Raka Mbili, Alafu Akafanya Sala Moja Malipo Mara Kumi Katika Mezani Ili Iwe Sawa Na Sala Hamsini, Na Raka Inasawi Raka Mia'Moja Ili Iwe Sawa Na Majina Ya Allah Tukufu Na Hivo Ni Kwajili Allah Anayo Majina Mia'Moja Subhanahu, Na Nyinyi Munajua Majina 99 Tisini Na Tisa Akamtumiliza Allah Al'Mahdi Al'Muntadhar Abd'Alnaeem Ala3dham Nasser Muhammad Al'Yamani ili Awafundishe Watu Uhakika Wa Jina Kuu La Allah (Ism Allah Al'A3dham) Katika Kitabu, Na Awali Tuli Fafanua Wazi Wazi Kutoka Muhakam Kitabu Cha Allah Tukathibitisha Kua Allah Anayo Majina Mia'Moja Na Kwajili Ya Hivo Ikawa Sala Zilio Faridhishwa Kwa Usiku Moja Na Mchana Wake Sala Hamsini, Akafanya Raka Mbili Katika Kila Sala Ili Isawi Sawa Raka Idadi Ya Ma'Jina Ya Allah Al'Husna Raka Mia'Moja, Na Al'Hamdulillah Rabi Al3alamin Al'Rahman Al'Rahim Yule Ambae Amekhafifisha Juu Ya Waislamu Kutoka Sala Hamsini Kwa Usiku Moja Na Mchana Wake Kwa Sala Tano Zimefaradhishwa Na Katika Kila Sala Raka Mbili Ili Iwe Jumla Ya Raka Ni Kumi Kwa Sala Tano Zilio'Faradhishwa, Na Kila Sala Raka Mbili Alafu Akazidisha Allah Malipo Mara Kumi Kwa Raka Ili Iwe Sawa Na Majina Ya Allah Al'Husna Majina Mia'Moja, Na Kwavile Sala Zilio Faradhishwa Ni Sala Tano Na Sala Malipo Yake ni Kwa Kumi Basi Ikawa Katika Mizani Kama Sala Hamsini Na Raka Kama Raka Mia'Moja, Na Sisi Hakika Ni WA Kweli, Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {‏وَلَقَدْ آتَيْنَاكَ سَبْعًا مِّنَ الْمَثَانِي وَالْقُرْآنَ الْعَظِيمَ‏}‏ صدق الله العظيم [الحجر:87].
Allah Ta3ala Sema:{Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara na Qur'ani Tukufu}Sadaqa Allah Al3adhim [Alhijir:87].

Basi Nini Hio "Sab3n Minal Mathani" ? Nayo Ni Fatihati Alkitab Ambazo Ni Aya Saba, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
: {بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ ﴿1﴾ الْحَمْدُ لِلَّـهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿2﴾ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ ﴿3﴾ مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ ﴿4﴾ إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ ﴿5﴾ اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ ﴿6﴾ صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ ﴿7﴾} صدق الله العظيم [الفاتحة].
Allah Ta3ala Asema:{MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU (1) Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote (2) Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu (3) Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo (4) Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada (5) Tuongoe njia iliyo nyooka (6) Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea (7)}Sadaqa Allah Al3adhim[Alfatiha].

Ama Inao'Kusudiwa Katika Kauli Ya Allah Ta3ala: { مِّنَ الْمَثَانِي } Na Hivo Ni Kwajili Allah Amewa'Amuru Kwa Kuisoma Mara Mbili Katika Kila Sala ilio'Faradhishwa Alafu Akawa'Amuru Kwa Kasri Kupunguza Katika Sala Ikiwa Wapigana Katika Njia Ya Allah Mukaogopa Wawafitini Wale Ambao Wamekufuru Wawamalize Wakati WA Sala, Kwajili Ya Hivo Amewa'Amuru Allah Kwamba Mupunguze Kwenye Sala Kutoka Raka Mbili Kwa Raka Moja Ispokua Imam Ambae Anawasawalisha Basi Allah Hajamwa'Muru Kupunguza Sala Bali Ana'iswali Kamili, Lakini Kasri Kupunguza Ni Kwa Jama Wanao'Sali Nyuma Yake, Akazigawanya Allah Kwa Jama Mbili Ili Waswali Jama Ya Kwanza Nyuma Ya imam Raka Moja Alafu Wanatoa Salamu Alafu Wanaondoka Basi Wanaingia Pahala Pao Jama Wingine Waswali Nyuma Ya imam Raka Ya Pili, Na Hivo Ndio Nayo Yajua Kwa Salati Al'Qasri Sala Ya Kupunguza Katika Kitabu Kua Inapunguzwa Raka Kutoka Raka Mbili Kwa Raka Moja Ispokua Imam Sijaona Katika Kitabu Cha Allah Kua Asali Sala Ya Kasri Kupunguza, Kwajili Ya Hivo Amewahutubia Allah Wale Walio Amini Wala Hakulekeza Khitab Yake Kwa Mtume Wake Kwajili Allah Haja'Mwamuru Kua Apunguze Katika Sala Yake, Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا ضَرَبْتُمْ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ فَتَبَيَّنُوا وَلَا تَقُولُوا لِمَنْ أَلْقَىٰ إِلَيْكُمُ السَّلَامَ لَسْتَ مُؤْمِنًا تَبْتَغُونَ عَرَضَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا فَعِندَ اللَّـهِ مَغَانِمُ كَثِيرَةٌ ۚ كَذَٰلِكَ كُنتُم مِّن قَبْلُ فَمَنَّ اللَّـهُ عَلَيْكُمْ فَتَبَيَّنُوا ۚ إِنَّ اللَّـهَ كَانَ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرًا ﴿94﴾لَّا يَسْتَوِي الْقَاعِدُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ غَيْرُ أُولِي الضَّرَرِ وَالْمُجَاهِدُونَ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنفُسِهِمْ ۚ فَضَّلَ اللَّـهُ الْمُجَاهِدِينَ بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنفُسِهِمْ عَلَى الْقَاعِدِينَ دَرَجَةً ۚ وَكُلًّا وَعَدَ اللَّـهُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَفَضَّلَ اللَّـهُ الْمُجَاهِدِينَ عَلَى الْقَاعِدِينَ أَجْرًا عَظِيمًا ﴿95﴾ دَرَجَاتٍ مِّنْهُ وَمَغْفِرَةً وَرَحْمَةً ۚ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿96﴾ إِنَّ الَّذِينَ تَوَفَّاهُمُ الْمَلَائِكَةُ ظَالِمِي أَنفُسِهِمْ قَالُوا فِيمَ كُنتُمْ ۖ قَالُوا كُنَّا مُسْتَضْعَفِينَ فِي الْأَرْضِ ۚ قَالُوا أَلَمْ تَكُنْ أَرْضُ اللَّـهِ وَاسِعَةً فَتُهَاجِرُوا فِيهَا ۚ فَأُولَـٰئِكَ مَأْوَاهُمْ جَهَنَّمُ ۖ وَسَاءَتْ مَصِيرًا ﴿97﴾ إِلَّا الْمُسْتَضْعَفِينَ مِنَ الرِّجَالِ وَالنِّسَاءِ وَالْوِلْدَانِ لَا يَسْتَطِيعُونَ حِيلَةً وَلَا يَهْتَدُونَ سَبِيلًا ﴿98﴾ فَأُولَـٰئِكَ عَسَى اللَّـهُ أَن يَعْفُوَ عَنْهُمْ ۚ وَكَانَ اللَّـهُ عَفُوًّا غَفُورًا ﴿99﴾ وَمَن يُهَاجِرْ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ يَجِدْ فِي الْأَرْضِ مُرَاغَمًا كَثِيرًا وَسَعَةً ۚ وَمَن يَخْرُجْ مِن بَيْتِهِ مُهَاجِرًا إِلَى اللَّـهِ وَرَسُولِهِ ثُمَّ يُدْرِكْهُ الْمَوْتُ فَقَدْ وَقَعَ أَجْرُهُ عَلَى اللَّـهِ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿100﴾ وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم [النساء].

Allah Ta3ala Asema:{Enyi mlio amini! Mnapo safiri katika Njia ya Mwenyezi Mungu basi hakikisheni, wala msimwambie anaye kutoleeni salamu: Wewe si Muumini; kwa kutaka manufaa ya maisha ya dunia hii, hali ya kuwa kwa Mwenyezi Mungu zipo ghanima nyingi. Hivyo ndivyo mlivyo kuwa nyinyi zamani, naMwenyezi Mungu akakuneemesheni. Basi chunguzeni sawa sawa. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda (94) Hawawi sawa Waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao. Mwenyezi Mungu amewatukuza cheo wale wanao pigana kwa mali yao na nafsi zao kuliko wale wanao kaa tu. Ingawa Mwenyezi Mungu amewaahidi wote mashukio mema, lakini Mwenyezi Mungu amewafadhili wanao pigana kwaujira mkubwa kuliko wanao kaa tu (95) Ni vyeo hivyo vinavyo toka kwake, na maghfira na rehema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira na Mwenye kurehemu (96)Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa. Watawaambia: Kwani ardhi ya Mwenyezi Mungu haikuwa na wasaa wa kuhamia humo? Basi hao makaazi yao ni Jahannamu, nayo ni marejeo mabaya kabisa (97) Isipo kuwa wale walio kuwa wanyonge miongoni mwa wanaume nawanawake na watoto wasio na uweza wa hila ya kuongoza njia ya kuhama (98)Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe. Na Mwenyezi Mungu niMwingi wa kusamehe, Mwingi wa maghfira (99) Na mwenye kuhama katika Njia ya Mwenyezi Mungu atapata pengi duniani pa kukimbilia, na atapata wasaa. Na anaye toka nyumbani kwake kuhama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, kisha yakamfika mauti njiani basi umethibiti ujira wake kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu (100) Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi (101) Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na wachukue silaha zao. Na watakapo maliza sijida zao, basi nawende nyuma yenu, na lije kundi jingine ambalo halijasali, lisali pamoja nawe. Nao wachukue hadhari yao na silaha zao. Walio kufuru wanapenda mghafilike na silaha zenu na vifaa vyenu ili wakuvamieni mvamio wa mara moja. Wala si vibaya kwenu ikiwa mnaona udhia kwa sababu ya mvua au mkawa wagonjwa, mkaziweka silaha zenu. Na chukueni hadhari yenu. Hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia
makafiri adhabu ya kudhalilisha (102)}Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisa].

Na Hi Ndio Sala Ya Kasri Kupunguza Katika Muhakam Kitab Allah Mutaipata Kasr Kutoka Raka Mbili Kupunguza Kwa Raka Moja Ispokua imam Basi Anaswali Raka Mbili Kama Alivo Faridhisha Allah Katika Muhakam Ya Kitabu Chake, Eee Hakika Sala Ya Kasri Inajuzu Kwenu Ndani Yake Mubunguze Sala Ya Alfajiri Kutoka Raka Mbili Kwa Raka Moja Ila Imamu Basi imetangulia Fatwa Kwa Haki Kwamba Imam WA Jamaa Haja'Mwamuru Allah Kwa Kupunguza Sala Imefaridhishwa; Bali Anasali Alfajiri Raka Mbili Kama Ilivo Katika Muhakam Kitabu Cha Allah, Na Ama Jamaa Basi Watagawanyika Kwa Makundi Mawili Kundi Moja litaswali Pamoja Na Imamu Raka Ya Kwanza Na Ama Kundi La Pili Basi Wataswali Na Imam Raka Ya Pili, Na Hi Kuhusu Sala Ya Kasri Kupunguza Basi Inayo Sharti Iko Wazi Muhakam Katika Kitabu Cha Allah:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُواْ مِنَ الصَّلوةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُواْ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُواْ لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا} صدق الله العظيم [النساء:101].
Allah Ta3ala Asema:{Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnissa:101].

Na Ama Kuhusu Sala Ya Safari Ambao Hamuogopi Ndani Yake Fitna Ya Wale Ambao Wamekufuru Wakati WA Sala Zenu Bsi Nayo Inatafautiana Na Sala Ya Kasri Kupunguza Kwa Jili Allah Ame'Wamuru Kua Muzi'Kusanye Kati Yao Peke Yake Bila Kasri Kupunguza, Bali Munakusanya(Al'Asri Na ADhuhuri)Na(Al'Maghrib Na Isha). Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ} صدق الله العظيم [هود:114].
Allah Ta3ala Asema:{Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana} Sadaqa Allah Al3adhim[Hud:114].

Na Ama Ncha Mbili Za Mchana: Sala Ya Dhuhuri Na Al'Asri Mkusanyiko Katika Sala Ya ADhuhuri Kwajili Sala Ya ADhuhuri Iko Katika Nyakati Za Ncha Ya Mchana,
Na Labda Anata Kunikatiza Moja Katika Ma'Alqura'aniyin Katika Wale Ambao Wanasema Juu Ya Allah Yale Waso Yajua Ndio Aseme:"Tartibu Tartibu ewe Nasser Muhammad Al'Yamani; Bali Bayana ya Kweli Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:

{وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ} صدق الله
Allah Ta3ala Asema:{Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana} Sadaqa Allah Al3adhim, Ispokua Anakusudia Mwanzo WA Mchana Na Mwisho Wake". Na Alafu Anarudisha Jibu Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Anawahoji Watu Kwa Bayana Ya Haki Kwa Ukumbusho Na Nasema: Sikiza Ewe Wewe, Hakika Wewe Unahojiana Na Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Anawzidi Juu Yenu Kwa Bayana Ya Haki Kwa Ukumbusho; Bali Ncha Za Mchana Yani Mchana WA Kwanza Na Mchana WA Kuingia Usiku Na Wakati WA Sala Ya ADhuhuri Baina Yao Ncha Za Mchana WA Kwanza Na WA Mwisho, Na Ama Bayana Ya Haki Ya Wakati Ncha Ya Mchana Katika Sala Ya ADhuhuri Na Al'Asri Kwa'Kukusanya Pamoja, Na Tumitangulia Kuwafundisha Kabla Kwamba Ncha Za Mchana Anakusudia Nayo Ni Sala Ya ADhuhuri Lakini Mimi Sikuweza Kufafanua Haki Kuzifanya Wazi Wazi Nikashugulika Kwa Kuthibitisha Sala Tano, Lakini Ba'Ada Kunionesha Ndoto Babu Yangu Muham Mtume Wa Allah- Sala Allah Aleyhi WA Alihi WA Salam- Akaniambia Mimi:
قال لي: {وَقُلْ الْحَقُّ مِنْ رَبِّكُمْ فَمَنْ شَاءَ فَلْيُؤْمِنْ وَمَنْ شَاءَ فَلْيَكْفُرْ} صدق الله العظيم [الكهف:29].
Allah Ta3ala Asema:{Na Useme Haki Kutoka Mola Wenu Basi Atakae Basi Amini Na Atakae Akufuru} Sadaqa Allah Al3dhim[Alkahf:29].

Na Alafu Natoa Fatwa Katika Muhakam Ya Kitabu Allah Ta3ala Moja Kwa Moja Na Nasema: Hakika Ya Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ} صدق الله العظيم [هود:114]،
Allah Ta3ala Asema:{Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana} Sadaqa Allah Al3adhim[Hud:114].
Basi Hio Ni Sala Ya ADhuhuri Na Alasiri Kuzikusanya Pamoja, Basi Njoni Ili Niwafundishe Nini Kinacho Kusudiwa Kutokana Na Kauli Ya Allah Ta3ala:
{طَرَفَيِ النَّهَارِ} صدق الله العظيم.

{Ncha Za Mchana}Sadaqa Allah Al3adhim. Na Akasema Allah Ta3ala:

{فَاصْبِرْ عَلَى مَا يَقُولُونَ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ وَقَبْلَ غُرُوبِهَا وَمِنْ آنَاءِ اللَّيْلِ فَسَبِّحْ وَأَطْرَافَ النَّهَارِ لَعَلَّكَ تَرْضَى} صدق الله العظيم [طه:130].
Allah Ta3ala Asema:{Yavumilie haya wayasemayo. Na umtakase Mola wako Mlezi kwa kumsifu kabla ya kuchomoza jua, na kabla halijachwa, na nyakati za usiku pia umtakase, na ncha za mchana ili upate ya kukuridhisha}Sadaqa Allah Al3adhim[Taha:130].
Mwanzo Basi Nini Kinacho Kusudiwa Kwa Wakati WA Tasbihi Zilio Faradhishwa Ambazo Ameamuru Allah Nazo Nabi Wake? Na Jibu Kua Yeye Anakusudia Tasbihi Katika Sala, Sala Ni Tasbihi Kwa Allah, Kusadiki Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فِي بُيُوتٍ أَذِنَ اللَّهُ أَن تُرْفَعَ وَيُذْكَرَ فِيهَا اسْمُهُ يُسَبِّحُ لَهُ فِيهَا} صدق الله العظيم [النور:36].
Allah Ta3ala Asema:{Katika Manyumba Ame'Idhinisha Allah Kua Inuliwe Na Kutajwa Ndani Yake Jina Lake Wanamsabehi Yeye Ndani Yake}Sadaqa Allah Al3adhim [Alnur:36].

Na Tunajua Nini Kinacho Kusudiwa Kwa Tasbihi Katika Wakati Ulio Malum Kwajili Ni Sala; Kwajili Ya Hivo Akasema Allah Ta3ala:
{فَاصْبِرْ عَلَى مَا يَقُولُونَ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ وَقَبْلَ غُرُوبِهَا وَمِنْ آنَاءِ اللَّيْلِ فَسَبِّحْ وَأَطْرَافَ النَّهَارِ لَعَلَّكَ تَرْضَى} صدق الله العظيم [طه:130].
Allah Ta3ala Asema:{Yavumilie haya wayasemayo. Na umtakase Mola wako Mlezi kwa kumsifu kabla ya kuchomoza jua, na kabla halijachwa, na nyakati za usiku pia umtakase, na ncha za mchana ili upate ya kukuridhisha}Sadaqa Allah Al3adhim[Taha:130].

Na Ama Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ}
{Na Usabih Kwa Himdi Ya Mola Wako Mlezi Kabla Kuchomoza Juwa} Na Akusudia Kawa Hio Wakati WA Sala Ya Alfajiri.

Na Ama Kauli Yake Allah Ta3ala:
{وَقَبْلَ غُرُوبِهَا} {Na Kabla Kuzama Kwake} Na Akusudia Kwa Hio Ni Wakati WA Sala Ya Alasiri.{ وَمِنْ آنَاءِ اللَّيْلِ فَسَبِّحْ} {Na Mwanzo WA Usiku} Na Hiyo Ni Wakati WA Mwanzo WA Usiku Nazo Ni Wakati Sala Ya Magharibi Na Sala Ya Isha Kutoka Shafaq Mpaka Ghasaq.
Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ وَأَطْرَافَ النَّهَارِ لَعَلَّكَ تَرْضَى }{Na Ncha Ya Mchana Huwenda Ukaridhika} Na Hio Ni Wakati WA Sala Ya ADhuhuri Baina Ya Ncha Ya Mchana WA Mwanzo Na Mchana WA Mwisho, Na Hajakusudia Allah Kabisa Kwamba"Al3ishi" Ni Usiku Bali 3ishi Hadi Kutoka Wakati Kuvunjika Juwa Ba'Ada Kuondoka Katikati Ya Mbingu Na Inamalizika Madhbuti Kwenye Kuzama Juwa, Ndio Yamalizika Mchana WA 3ishi Kwa Kuisha Wakati WA Sala Ya Alasiri Kwa Kuzama Juwa Na Kuingia Wakati WA Sala Ya Magharibi Kwa Kudhihirika Alshafaq Ba'Ada Ya Kuzama Juwa, Na Akasema Allah Ta3ala:
{فَسُبْحَانَ اللَّـهِ حِينَ تُمْسُونَ وَحِينَ تُصْبِحُونَ ﴿17﴾ وَلَهُ الْحَمْدُ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَعَشِيًّا وَحِينَ تُظْهِرُونَ ﴿18﴾} صدق الله العظيم [الروم].
Allah Ta3ala Asema:{Basi Subhanallah! Mtakaseni Mwenyezi Mungu jioni na asubuhi (17) Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri na adhuhuri (18)}

Na Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:{ فَسُبْحَانَ اللَّهِ حِينَ تُمْسُونَ } {Basi Subhanallah! Mtakaseni Mwenyezi Mungu jioni} Na Hio Ni Mwanzo Wa Usiku Wakati Katika Mwanzo Kuzama Juwa Mpaka Jioni Nazo Ni Wakati Sala Ya Magharibi Na isha.

Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala: { وَحِينَ تُصْبِحُونَ }{Na Asubuhi} Na Hio Ni Wakati Wa Sala Ya Alfajiri Pindi ikibainika Uzi Wa Asubuhi Anaita Mwitaji Kwajili Ya Sala Ya Alfajiri.
Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ وَلَهُ الْحَمْدُ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَعَشِيًّا }
{Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri} Akusudia Sala Ya Alasiri Kwa Kutaja"Al'Ashi" Alasiri.

Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ وَحِينَ تُظْهِرُونَ }{na adhuhuri } Anakusudia Sala Ya Adhuhuri Baina Ncha Za Mchana Wa Mwanzo Na Mchana Wa Alasiri, Na ili Mujuwe Kwamba Anakusudia Wakati Wa"Al'Ashi" Alasiri kutoka Kuvunjike Kutoka Katika Kati ya Mbingu Mpaka Wakati Wa Kuzama Basi Angalieni Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَوَهَبْنَا لِدَاوُودَ سُلَيْمَانَ ۚ نِعْمَ الْعَبْدُ ۖ إِنَّهُ أَوَّابٌ ﴿30﴾ إِذْ عُرِضَ عَلَيْهِ بِالْعَشِيِّ الصَّافِنَاتُ الْجِيَادُ ﴿31﴾ فَقَالَ إِنِّي أَحْبَبْتُ حُبَّ الْخَيْرِ عَن ذِكْرِ رَبِّي حَتَّىٰ تَوَارَتْ بِالْحِجَابِ ﴿32﴾ رُدُّوهَا عَلَيَّ ۖ فَطَفِقَ مَسْحًا بِالسُّوقِ وَالْأَعْنَاقِ ﴿33﴾} صدق الله العظيم [ص].
Allah Ta3ala Asema:{Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wakutubia (30) Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti (31) Basi akasema: Navipenda vitu vizuri kwa kumkumbuka Mola wangu Mlezi. Kisha wakafichikana nyuma ya boma (32) Akasema Nirudishieni! Akaanza kuwapapasa miguu na shingo} Sadaqa Allah Al3adhim[Saad].
Na Alafu mutajua kwamba kinacho Kusudiwa kwa"Alashi" Nayo: Ba'Ada Ya Kuvunjika Juwa Kutoka Katikakti Ya Mbingu Mpaka Wakati Wa Kuzama Juwa, ndipo Yamalizikia mchana Wa Alasiri Kwa Kuzama Juwa, Basi Ndio Inaisha Sala Ya Alasiri Kwa Kumalizika Mchana Ya Alasiri, Na Ama Mchana Wa Kwanza Nayo kutoka Ncha Ya Mchana Katika Upande Wa Alfajiri basi inamalizikia Wakati wakuvunjika Kutoka Katikati Ya Mbingu Ndio inaingia Mchana Wa"Alashi" Alasiri na Kukusanya Baina Yao Ni Wakati Wa Sala Ya Dhuhuri, Na Akahalalisha Allah Kwenu Kuzikusanya Kwenye Safari Basi Mutakusanya Paoja Kutangili Adhuhuri Na Alasiri Katika Sala Ya Adhuhuri, Na Akahalailsha Allah Kwenu kukusanya Sala Ya Magharibi Na Isha kukusanya Kuchelewa Mwanzo Wa Usiku Kisadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ} صدق الله العظيم [هود:114]
Allah Ta3ala Asema:{Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana} Sadaqa Allah Al3adhim[hud:114]

Na Hio Ni Sala Ya Dhuhuri Na Alasiri Kwa Pamoja Na Sala Ya Magharibi Na ishaa kwa Pamoja Wala Sio Kasri, lakini Kasri Kupunguza Wakati Munapo Kuwa Katika Njia Ya Allah Na Munaogopa Kuwafitini Wale Ambao Wamekufuru Wakati Wa Sala ya Jama kama vile tulivo wafafunilia Kwenu hiyo, Na Sala Hio Inaitwa Sala Ya Kasri Kupunguza Munapaswa Kwenu Kupunguza Ndani Yake Alfajiri Kutoka Raka Mbili Kwa Raka Moja ila imamu Na Mfano Wa Sharti Yake Kama Mfano Wa Sala ya Kasri Kupunguza Katika Sala Zote Nayo Ni Pindi Mukiogopa Kwamba Awavamie Kuwamaliza Wale Ambao Wamekufuru Sawa iwe Sala Ya Alfajiri Ama Sala Zingine Basi Ame'idhinisha Allah Kuwa Mupunguze Ndani Yake Zote, Na Sala Ya Kasri Kupunguza Kama Tulivo Wapa Fatwa Kwa haki ya kwamba unapunguza kutoka raka mbili kwa raka moja sawa iwe alfajiri ama sala zingine (Raka moja pekeyake) ispokua imamu, lakini sala ya kasri pekeyake ni ya jama wanao swali nyuma ya imamu, na inaisha sala ya kasri kupunguza kuisha kuogopa kuvamiwa na kumalizwa nyinyi wakati wa sala.

Na ama sala ya safari basi amewamuru Allah kwamba muiswali kwa kuzikusanya pekeyake wala Sio Kasri Kupunguza Ndani Yake Kitu Bali Hio Ni Kukusanya Kwa Pamoja Kama Alivo Kusanya Muhammad Mtume Wa Allah- Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Katika Hija Alasiri Na Dhuhuri (Jam3 Taqdim) Kukusanya Kutanguliza Na Magharibi Na Isha (Jam3 Ta'akhir) Kukusanya Kuchelewesha, Na Hivo Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِنَ اللَّيْلِ} صدق الله العظيم [هود:114].
Allah Ta3ala Asema:{Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana} Sadaqa Allah Al3adhim[hud:114].

Na Enyi Ma3ashara Ya Ma Al'Anssar Al'Sabiqina Al'Akhyar Hakika Al'Mahdi Al'Muntadhar Ana'Wamuru Kwa Amri Kwa Kuto Jilazimisha Kwa Hi Bayana Mpaka Awanyamazishe Al'imam Al'Mahdi Wanazuoni Wa Umma Katika Kufafanua Wazi Wazi Sala Zote Na Raka Zake Kutoka Muhakam Al'Quran Al3adhim, Basi Bado Twazali Tunayo Mengi Katika Burhan Ushuhuda Mkuu Katika Kufafanua Wazi Wazi Nguzo Ya Pili Katika Nguzo za kislamu Nguzo Ya Sala, Na Juu Yenu Kubalighisha Hi Bayana Adhimu Katika Kufafanuwa Wazi Wazi Sala Na Raka Zake kwa Wote Wanao Towa Fatwa Katika Miji Ya Kislamu Kuwa Juu Yao Kufika Kwenye Meza Ya Mazungumzo Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Minbari Huru Tovuti Ya Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Ili Watete Mwenye Kupotosha Dini ili Wasipotolewe Waislamu ikiwa Nasser Muhammad Al'Yamani yuko Katika upotevu ulio wazi Ama Awazidi Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Kwa Bayana Ya Haki Ya Al'Quran Al3adhim Juu Ya Wanazuoni Wote Wa Umma, Lakini Nashuhudisha Allah Kwamba Mimi Na Kuanzia Sasa Natangaza Ushindi Kutoka Mwanzo Kuwa Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Atawazidi Juu Ya Wote Wanazuoni Wa Waislamu Na Ma'Nasara Na Ma'Yahudi Pakeyake Katika Al'Quraan Al3adhim Ambayo Imihifadhiwa Kutokana Na Tahrif Kuongezwa Maherufu, Na Wakihudhuria Watowaji Fatwa Katika Miji Ya Kislamu Basi Neema Kutoka Kwa Allah Ambayo Haiwakalifishi Safari Na Kuondoka Bali Hakuna Kitu Juu Yao Ispokua Kufungua Mashini Na Wao Wako Kwenye Nyumba Zao Ili Wazumgumze Na Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

Na Wala Haijuzu Kwenu Enyi Ma3ashara Ya Ma'Alanssar Mukhalifu Amri Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar ! Na Nakariri Kwenu Fatwa Mimi Hakika Sija Wamuru Kujilazimu Na Hi Bayana Mpaka Muone Natija Ya Mazungumzo Baina Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Na Baina Ya Mufti Wa Miji Katika Pembe Zote Za Kiarabu Na Kislamu, Na Hivi Ni vipi Mutaswali Raka Mbili Kwenye Sala Ya Jamaa Alafu Muondoke Ndio Wawaseme Watu Kwa Ndimi Zao Kali Alafu Muwe Sababu ya Kuwafitini Bali Semeni: {رَبَّنَا لاَ تَجْعَلْنَا فِتْنَةً للقوم الظالمين} صدق الله العظيم [يونس:85].
Allah Ta3ala Asema:{Ewe Mola Wetu Mlezi Usitufanye Fitna Kwa Kaumu Madhalimu} Sadaqa Allah Al3adhim[ Yunus:85].

Kwajili Wao Pindi Wakiwaudhi Ama Kuwatukana Ndio Wawapotoe Alafu Waseme:" Hivi Lakini Hamuwaoni hili Poti Lilio Potea Vipi Wanaswali Na Sisi Raka Mbili Katika Kila Sala !" Ndio Wawabughudhi Ama Wawaudhi, Na Kwa Hivo Hakuna Tathrib Juu Yenu Basi Swalini Na Watu Katika Nyumb Za Allah Kama Wanavo Swali Mpaka Watambuwe Wanazuoni Wa Umma kwa Haki Ama Animakinishe Allah Katika Ardhi Juu Yao Na Wao Hali Ni Wanyonge ndio Nismamishe Sala Kama Alivo Niamuru Allah, Na Ama Katika Zama Za Mazungumzo Basi Bado Anazali Al'Mahdi Al'Muntadhar Ana'Sali Kama Wanavo Sali Ahlu Alsuna Na Jamaa Na Hapana Na Wala Sitowamuru Mutoke Kwenye Jamaa Kabisa, Na Hapana Na Wala Sitowamuru Muwe Poti Jipya Bali Kuweni Ni Walinganizi Wa Umma kwa Kukusanya Mgawanyiko Wa Umma ikiwa Munataka Kuwafanya Wamoja Umma Wenu, Na Mujuwe Kwamba Bado Tunazali Tunayo Mengi Mengi Katika Mfuko Wetu Katika Bayana Kuhusu Sala Zilio Faridhishwa Kutoka Kwa Muhakam Al'Quraan Al3adhim Na Zaidi Katika Kufafanua Wazi Wazi Na Kauli Mzito Kwa idhini Ya Allah, Na Pindi Mukingia Nyumba Za Allah Kabla Haijakimu Sala Basi Muswali Raka Mbili Za Sunna Za Haki Katika Nyumba Za Mwenyezi Mungu Bsi Musikae Mpaka Muswali Raka Mbili Za Sunna Na Wakati Wake Baina Ya Adhana Na Ikama, Na Ikiwa Hamukuwahi Mumichelewa Wakati Wa Raka Zilio Faridhishwa Basi Swalini Faradhi Na Wala Hamna Sunna Ba'Ada Sala Ya Faradhi Bali Sala Ni Raka Mbili Faradhi Na Raka Mbili Sunna lakini Nyinyi Mumikusanya Sunna Pamoja Na Raka Mbili Za Faradhi Mukazifanya Raka Inne Faradhi, Lakini Sunna Pindi Munapo Ingia Nyumba Za Allah Basi Musikae Mpaka Muruku Kwa Allah Raka Mbili, Na Wakati Wake Ni Baina Ya Adhana Ya Sala Na Ikama.
Na Lakini Sisi Tuna Subiri Kufika Watowaji Fatwa Katika Miji Ya Kislamu mpaka Tuwafikiane juu Ya Haki Sote Kwa Ilimu Na Mantik, Na Wala Hajamtumiliza Allah Al'Imam Al'Mahdi ili azidishe Umma Mgawanyiko Juu Ya Mgawanyiko Wao Na Kuwa Mbali Mbali Kwao, Heihat Heihat.. Na Wala Sitowafanya wagawanyike Ma'Jamaa; Bali Amenitymiliza Allah Ili Nikusanye Mgawanyiko Na ili Nifafanuwe Wazi Wazi Sala Zilio Faridhishwa Moja Kwa Moja Kutoka Kwa Kitabu Cha Allah Ufafanuzi Mkuu, Na Sijasema Bado ispokuwa kitu kidogo, Na Wala Sitokubali Mazungumzo ila na wenye Kutoa Fatwa Katika Miji ya Kislamu Kuhusu Bayana Ya Sala Hata Kama Japokua Mtowaji Fatwa Moja Ambae Anajulikana Kwamba Yeye Ni Moja Wa Ma'Mufti Katika Moja Za Inchi Za Kislamu Sawa iwe Ni Za Kiarabu Ama Za Kiajemi, Na Kwajili Ya Hivo Na'Wamuru Wote Ma Al'Anssar Kwamba Watume Hi Bayana Kwa Wote Watowaji Fatwa Katika Miji Ya Kislamu iwe Sawa Ni Za Kiarabu Ama Za Kiajemi Kwa Mwaliko Wa Kuhudhuria Katika Meza Ya Mazungumzo Ya Ulimwengu (موقع الإمام ناصر محمد اليماني) (Tovuti Ya Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani), Na Pindi Hawakuhudhuria Basi Tumismamisha Hoja Juu Yao Kwa Haki, Na Atakae Kukanusha Ukumbusho Wa Allah Basi Atahukumu Allah baina Yangu Na Baina Yake Kwa Haki Na Yeye Ni Mbora Wa Kuhukumu.

Na Enyi Ma3ashara Al'Anssar Al'Sabikina Al'Akhyar, Hakika Mimi Nakariri Juu Yenu Amri Kwa Mara Yatatu kwamba Musitekeleze Hi Bayana Ya Haki Mpaka Asmamisha Allah Haki Ndio Mutapata Kwamba Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Kweli Amewazidi Kwa Bayana Ya Haki Ya Al'Quraan Al3adhim Juu Ya Mufti Wa Miji Ya Kislamu Mpaka Watambuwe Kwa Haki Kutoka Kwa Mola Wao Mlezi Ama Amdhihirishe Allah Khalifa Wake Juu Yao Na Watu Wote KTika Usiku Na Wao Hali Ni Wanyonge, Na Wakiwa Watafanya Kibri Juu Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Alafu Wasihudhurie Wala Moja Kati Yao Basi Ngojeni Na Mungoje Kutekeleza Hi Bayan Bayana Ya Sala Zote Na Muswali Pamoja Na Waislamu Kama Wanavo Sali, Na Mujuwe Kwamba Allah Anakubali Sala Zenu Mazali Hazina Shirki Ndani Yake,

Na Hakika Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Namshuhudisha Allah Shahad Ya Haki Ya Yakini Katika Dunia Na Siku Watakapo Simama Watu Kwa Mola Mlezi Wa Ulimwengu Hakika Wale Wanao Sali Na Mchanga Wa Al'Husen Lakini Hakika Allah Hakubali Sala zao Kwa Sababu Ya Mchanga Wa babu Yangu Al'imam Al'Husen Aleyhi Asalat wa Asalam, Na Mimi Nimeji'Bariisha Nao Na Babu Yangu Al'Husen Anaji'Barisha Nao Mpaka Wajitakase Kutokana Na Shirki Kujitakasa, basi hio ni bidaa hajateremsha Allah nayo utawala Sio Kwa Kitabu Cha Allah Wala Sunna Ya Mtume wake za haki, Alaa Hakika Kila Bidaa Katika dini ni upotevu inapeleka kwa shirki, Na Atakae Kumshirikisha Allah basi Amianguka Na Akameangamia kama Kwamba Ame'Anguka Kutoka Mbinguni Wakamvamia ndege ama ikamchukua upepo pahala pabaya, Na Kadhalika Nyinyi Enyi Ma3asha Wanao Sabeh Katika Usiku Wa Manane Mafatanin Wale Ambao Wanafitini Waislamu Walio Lala Katika Wakati Sio Wa Sala Ya Faradhi Asikubali Allah Tasbihi Yenu, Lakini Istighfar Katika Usiku Wa Manane Nayo Ni Siri Baina Ya Mja Na Mola Wake Mlezi Na Watu Wamelala Katika Utulivu Wa Usiku Siri, Lakini Nyinyi Munaitangaza Katika Ma'Spika Ambazo Za Panua Sauti Kwa Ukubwa Mpaka Muna'Wafitini Walio Lala Alafu Hatokubali Allah Tasbihi Zenu Wala Istighfari Zenu madamu mumiwafitini Waja Wamelala Hasa Wale Wanao Ka Karibu Na Manyumba Za Allah Basi Munawaudhi katika Thuluthi Tatu Ya Usiku Ya Mwisho Kwa Maspika Katika Wakati Sio Wa Sala Ya Faradhi, Bali ikibainika Uzi Mweusi Kutoka Na Uzi Mweupe Wa Alfajiri basi hapo yatimu kuita kwa Kupitia spika kubwa za Kutoa Sauti Kuba Zaidi basi hamna ubaya juu yenu, Lakini Hakupasa Allah Kwenu Kuwaudhi Watu Walio lala kwa tasbihi na Istighfari Katikati Ya Usiku, Na Jee Ame'Wamuru Allah Kwa Hayo Kutoa sauti ? Sema Leteni Burhan Yenu Ikiwa Nyinyi Ni Wa Kweli.

Na Lakini mwito Nayo Ni Ya Sala pekeyake katika wakati wa sala basi hamna ubaya juu yenu, lakini Allah haja'wapa idhini kwenu kwamba muwafitini waja wake katika wakati sio ya sala za faradhi, Basi Nani Atawaokoa Kutoka Kwa Allah enyi wenye bidaa ambo haimridhishi Allah basi haiwazidishi Kwake ispokua kuwa mbali zaidi? na kwajili ya hivo hamtopata nyoyo zenu zinapata khushu wala macho yenu kutoa machozi enyi ambao wanao tangaza ma'tasbihi zao kwenye usiku wa manane kabla sala ya alfajiri, hivi hamukumbuki kauli ya Allah Ta3ala:
{وَاذْكُرْ رَبَّكَ فـي نَفْسِكَ تَضَرُّعًا وَخِيفَةً وَدُونَ الْجَهْرِ مِنْ الْقَوْلِ بِالْغُدُوِّ وَالآصَالِ وَلا تَكُنْ مِنْ الْغَافِلِينَ}صدق الله العظيم [الأعراف:205].
Allah Ta3ala Asema:{Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga kelele kwa kauli, asubuhi na jioni. Wala usiwe miongoni wa walio ghafilika}Sadaqa Allah Al3adhim[Alaaraf:205].

Lakini nyinyi munapiga kelele kupitia maspika basi munasema:" Tusikizeni enyi watu hakika sisi ndio tunao sabeh", Asipoke tasbihi yenu enyi mafatani wa walio lala basi munawafanya wanakirihika kwa utajo wa Allah ndio munakua sababu katika fitna yao, Basi tubieni kwa Allah na mukumbuke kauli ya Allah Ta3ala:
{وَاذْكُرْ رَبَّكَ فـي نَفْسِكَ تَضَرُّعًا وَخِيفَةً وَدُونَ الْجَهْرِ مِنْ الْقَوْلِ بِالْغُدُوِّ وَالآصَالِ وَلا تَكُنْ مِنْ الْغَافِلِينَ} صدق الله العظيم
Allah Ta3ala Asema:{Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga kelele kwa kauli, asubuhi na jioni. Wala usiwe miongoni wa walio ghafilika}Sadaqa Allah Al3adhim; Na akabainisha Muhammad mtume wa Allah-sala Allahu aleyhi wa alihi wa salam-Kwenu hayo Akasema:
[ خَيْرُ الذِّكْرِ الْخَفِيُّ ] [Bora wa dhikri ni ilio Fichika], Na hivo ni kwajili anae mtaja Allah pekeyake bila kutangaza kwa watu kwa kumtaja mola wake mlezi ikamwagika machozi macho yake kwa utajo wa mola mlezi wake, wala sio wale wanao wasikizisha watu dhikiri yao basi wawaudhi na wao wamelala, Basi hio sio katika ikhlasi kitu, na wala hakuwamuru Allah kuwa wamshe waja wake na wao wamelala katika utulivu wa Allah, Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
وَجَعَلَ اللَّيْلَ سَكَنًا} صدق الله العظيم [الأنعام:96]
Allah Ta3ala Asema:{na ameufanya usiku kwa mapumziko na utulivu}Sadaqa Allah Al3adhim[Alanaam:96], Kwa mana kuwa imeharamishwa kuwasumbua watu walio lala katika utulivu wa usiku, Na akawapa thawabu Allah Wanao towa tasbihi kwenye utulivu wa Allah wale ambao hawasikizishi watu sauti zao katika upweke wao kwa Mola wao Mlezi, Basi hamna tasbihi kupitia maspika lakini zimeandaliwa kwajili ya kuita kwa sala na khutba na mawaidha kwa watu sio wakati usiku kumilaliwa na utulivu wa alio lala, Hivi hamumchi Allah?

Na Sisi Tuko Katika Kungoja Ma Mufti Ww Miji Ya Kislamu ili itimu Mazungumzo Baina Ya Wote Katika Pembezoni Mwa Taifa Ya Kislamu, Na Atakae Fika Kwetu Basi Juu Yake Adhihirishe Sura Zake Kama Alivo Onesha Al'imam Al'Mahdi Sura Zake Za Kweli Na Kadhalika Jina Lake La Kweli, Na Ambae Ni muoga Na Hatodhihirisha Kwetu sura Zake Wala Jina Lake Basi Asizungumze Nasi Wala Hatuna Haja Ya Mazungumzo Na Waoga, Basi Hakika Ya Mtu Muoga Basi Yeye Hashindi Sio Kwenye Kiwanja Cha vita Wala Kwenye Meza Ya Mazungumzo, Na Lau Wangetoka Katiyenu Hawange Wazidishia Ispokua Ujinga, Na Haya Masharti Hakuna Ila Ni Peke Katika Hi Bayana Na Ambayo Tumeifanya Kwa inwani (( Bayana Ya Sala Na Raka Kutoka Muhakam Al'Quraan Al3adhim)) Kulingana Na Umuhimu Wake Mkuu.

Na Bado Inazali Nyingi Katika Ufafanuzi Wa Wazi Wazi Enyi Ma3ashara Al'Anssar Al'Sabiqina Al'Akhyar Basi Haijuzu Kwenu Kunikhalifu Amri Yangu, Na Kwajili Ya Hivo Haijuzu Kwenu Kutekeleza Hi Bayan Katik Fatwa Ya Raka Ngapi Kutoka Muhakam Al'akitab Mpaka Mupate Kuwa Wanazuoni Wa Umma Na Ma'Mufti Wa Miji Ya Kislamu Wamemzidi Juu Ya Nasser Muhammad Al'Yamani Kwa ilimu Inao'Ongoa Zaidi Kuliko ilimu Ya Nasser Muhammad Al'Yamani, Na Ina Tamko Ya Ukweli Zaidi Na Njia Ya Uongofu Zaidi, Na Haihat haihat, Na Ninani Kuliko Allah Ana Ukweli Zaidi? Lakini Nataka Kuwafundisha Musiwe Vipofu Basi Mukafwata Walinganizi Bila Ilimu Kiyasi Wanapo Towa Fatwa Tu Munawafata ! Hapana Tena Alafu Hapana, Bali Amewamuru Allah Kuwa Mutumie Akili Zenu Musifwate Ufwato Wa Upofu Kwa Amri Ya Allah Kwa Mwenye kutafuta ilimu Kati Yenu, Akasema Allah Ta3ala:
{وَلَا تَقْفُ مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ إِنَّ السَّمْعَ وَالْبَصَرَ وَالْفُؤَادَ كُلُّ أُولَئِكَ كَانَ عَنْهُ مَسْئُولًا} صدق الله العظيم [الإسراء:36].
Allah Ta3ala Asema:{Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa} Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraai:36].

Na Kadhalika Basi Na Wajuwe Wote Kwamba hakika Al'imam Al'Mahdi Ni Katika zaidi kabisa Katika Watu Kushikilia Kwa Kitabu Cha Allah Na Kwa Sunna Za Mtume Wake Za Kweli Na Kwamba Wasitudhanie Sisi Bila Ya Haki, Lakini Nawalika Kwa Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah Kilio Hifadhiwa Kutokana Na Tahrif Kuwekwa Maherufu Kama Alivo Amuru Allah Wote Ma'Nabi Na Mitume Kwa Kutekeleza Amri Kwa Kuhukumu Pekeyake Kwenye Kitabu.

Na Enyi Ma3Shara Ya Wanazuoni Wa Umma, Hivi Basi Hamjuwi Kuwa Al'Imam Al'Mahdi Anauwezo Kuwa Awafafanulie Wazi Wazi Kwenu Nguzo Zote Za Kislamu Kwenye Kitabu Cha Allah Peke Kuzifafanuwa Ufafanuzi Ulio Wazi Wazi Kama Anavo Fafanua Wazi Wazi Muhammad Sala Allah Aleyhi Wa Alihi Wa Salam? Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَنْزَلْنَا إِلَيْكَ الذِّكْرَ لِتُبَيِّنَ لِلنَّاسِ مَا نُزِّلَ إِلَيْهِمْ وَلَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ} صدق الله العظيم [النحل:44].
Allah Ta3ala Asema:{ Na Tumiteremsha Ukumbusho Ili Uwabaimishie Watu Yale Yalio Teremshwa Kwao Huwenda Wakatafakari} Sadaqa Allah Al3adhim[Alnahl:44].

Na Lakini Kwa Maskitiko Mimi Nimika Muda Wa Miyaka Mitano Nawafafanulia Wazi Wazi Ikhlas Katika Akida Ya La Ilaha Ila Allah Pekeyake Hana Mshirika Na Yeye Na Wala Hamkujibu Ulinganizi Wa mwaliko Wa Ikhlas Katika Kumwabudu Allah Na Kukufuru Kwa Washufaia Wenu Baina Mikono Ya Allah Na Wamekata Wengi Wenu ila Wawe Washirikina, Na Hawo Hapo Sisi Tumingia Katika Nguzo Ya Pili Katika Nguzo Za Kislamu(Kusmamisha Sala) Na Tunataka Kuifafanua Pekeyake Katika Ktababu Cha Allah Kuifafanua Ufafanuzi Wazi Wazi Katika Idadi Ya Raka Zake Na Vitendo Vake Na Mwatakao Kusema Katika Vitendo Vote Vake, Na Huwenda Akasema Mwenye Kusema:" Kwahivi Hatokubali Allah Sala Zetu Muda Wote wa Maisha Yetu Ilio Pita". Alafu Tunamrudishia Jibu Kwake; Bali Ameikubali Allah Ikiwa Nyinyi Mumijilazimisha Kwa Sharti Yake Ambao Ni Msingi Katika Muhakam Kitabu Cha Allah:
{وَأَنَّ الْمَسَاجِدَ لِلَّهِ فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّهِ أَحَداً} صدق الله العظيم [الجن:18].

Allah Ta3ala Asema:{Na Hakika Misikiti Ni Ya Allah Basi Musiombe Pasi Na Allah mtu yoyote} Sadaqa Allah Al3adhim [Aljin:18].
وتصديقاً لقول الله تعالى: {إِنَّ اللَّهَ لَا يَغْفِرُ أَنْ يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَلِكَ لِمَنْ يَشَاءُ وَمَنْ يُشْرِكْ بِاللَّهِ فَقَدِ افْتَرَى إِثْمًا عَظِيمًا} صدق الله العظيم [النساء:48].
Allah Ta3ala Asema:{Hakika Mwenyezi Mungu hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa amtakaye. Na anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu basi hakika amezua dhambi kubwa} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisa:48].

Na Lakini Kwa Maskitiko Amesema Allah Ta3ala:
وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [يوسف:106].

Allah Ta3ala Asema:{Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf:106].

Na Ina lillah Wa ina ileyhi Rajiun, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabi'alalamin..

Nduguyenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani
وإنّا لله وإنا إليه لراجعون، وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.
_______________

Kifurushi Cha Bayana
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=34